Halafu aka murderKwa upole aliokua nao ghafla itakua kweli alichapiwa
Duh....Kwa upole aliokua nao ghafla itakua kweli alichapiwa
Ukichapiwa lazma ulegeze masharti.Kwa upole aliokua nao ghafla itakua kweli alichapiwa
Katibu aliharibuNikabaki najiuliza kumbe hii ishu ya mchungaji ilikua ni kweli na ilitokea kweli ila aliamua kufunika kombe
Jaribu na wewe bahati yako katibu alishafungua njia halafu utupe mrejesho.Samahanini wana jamvi
Siku ya valentine day Masanja mkandamizaji alikua akihojiwa kwenye kipindi cha leo tena..
Nilimsikia akisema inawezekana Yy ndo alikua chanzo cha matatzo ya mke wake na akasema inawezekana yy amewahi kutenda dhambi nyingi aliyofanya mke wake
Nikabaki najiuliza kumbe hii ishu ya mchungaji ilikua ni kweli na ilitokea kweli ila aliamua kufunika kombe
Mkuu, ebu naomba ID yake nimzamie PM chap...😋
Flavian MatataMkuu, ebu naomba ID yake nimzamie PM chap...😋
Siku hyo nilimsikiliza na kwa jinsi alivyokuwa anazungumza ilionekana anakiri kabisa kuwa alichapiwa
Kuna wakati alisema hata msukuma wake afanye nini kamwe hawezi kuachana nae akatoa na mfano wa joseph ambavyo hakumuacha bikra maria pamoja na kupata ujauzito usiokuwa wake
Unauhakika amejitia kitanzi ??Usifurahie matatizo ya wengine, haujui yaliyo mbele yako. Unaweza kuja kuibiwa mkeo na ukapewa na kipigo juu au kufungwa jela kabisa.
Yeye mkandamizaji mgoni wake amejitia kitanzi mwenyewe, what better revenge that that? Your enemy is dead, you are alive!
Si ndio taarifa iko hivyo?? Hauamini taarifa ya mamlaka?Unauhakika amejitia kitanzi ??
Taarifa ya mamlaka kuhusu lissu inasemaje?? Rushwa na mauongoSi ndio taarifa iko hivyo?? Hauamini taarifa ya mamlaka?