Ishu ya Naibu Waziri wa madini iangaliwe upya, kuna hii kitu inaitwa Anxiety na Panic Attack

Ishu ya Naibu Waziri wa madini iangaliwe upya, kuna hii kitu inaitwa Anxiety na Panic Attack

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Wakuu kwenye matatizo ya kisaikolojia kuna ishu inaitwa anxiety na panic attack. Mara nyingi huenda pamoja.

Anxiety ni hali ya kuwa na wasiwasi au uwoga uliopitiliza, usioendana na hatari. Sometimes bila sababu yeyote. Hii inaweza kupelekea mtu ukashindwa kufunction. Inaweza kutokea mtu ukiweka kwenye stessful situation kama kuongea mbele za watu.

Panic attack ni pale uoga huu huambatana na dalili kama kutokwa jasho kwa wingi na mapigo ya moyo kwenda mbio. Mtu anaweza dhani anakufa kwa shambulio la moyo kumbe ni Panic Attack.

Kuna vidonge fulani watu huwa wanatumia kabla ya kuongea mbele za watu. Hivyo huwa vinashusha ukali au uwezekano wa panic attack.

Ishu yake wataalamu wangeiangalia upya badala ya kudhani kuwa ni mzembe.
 
Au angepiga balimi mbili tu za kuondoa lock au angepuliza mmea..mbona solution ni nyiingi sana kuzuia hiyo panic attack?
 
Sasa mkuu wa kaya keshatoa maamuzi kuwa atafutwe naibu mwingine. Dah! Ukisikia miti kuteleza ndio kama huku sasa
 
The level of Adrenaline hormone was very high to the MP was unable to speak
 
Huyo anavuna alichopanda na bado kuna watu wanateseka garezani kwa ajili yake.
 
Nimeirudia video marakadhaa mimi sijaona tatizo umeelezea vizuri sana
 
Mbona mkuu kasema na wakaweka wazi, hatavkwennye documents za madini atakuwa hivyohivyo
 
Bila clip Ni uzushi, Kama unapinga thibitisha
 
Sio kwamba anahitaji miwani ya kusomea?
 
Hahaha mambo ya ccm hata usiyaingilie wanajijua elimu zao ni za kuunga unga tu, lakini utasikia ni mjumbe wa NEC, mara katibu wa wanawake, ilimradi wana vyeo.
 
Angepiga k-vant dkk 15 kabla ya kiapo mambo yangekua freshh
 
Back
Top Bottom