system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Imagine ishu ya ngorongoro; halafu ndani ya Bunge yupo:
1. Tundu Lissu
2. John Mnyika
3. Godbless Lema
4. Peter Msigwa
5. John Heche
6. Sugu
7. Freeman Mbowe
8. Ezekiel Wenje
9. Halima Mdee (enzi hizo akiwa Chadema)
10. Ester Bulaya (akiwa Chadema)
Halafu, anakuwa na flanks toka kwa Ole Sendeka na wabunge wengine jamii ya kifugaji
Orodha inaendelea.
Silaha kubwa ya Tulia ingekuwa ni kuzima mic na kuwatoa nje. Halafu, angekuwa anapanic balaa.
Bunge lingekuwa very amazing to watch.
Now, Tulia anachukua points kiulaniiiii, anamtesa Ole Sendeka halafu Ole hana hata back up maskini. Hahahahaha
Mijadala mikali km hii tungemkumbuka sana Anna Makinda alikuwa one of my best speaker ever!
Wamasai hameni imeisha hiyo!
1. Tundu Lissu
2. John Mnyika
3. Godbless Lema
4. Peter Msigwa
5. John Heche
6. Sugu
7. Freeman Mbowe
8. Ezekiel Wenje
9. Halima Mdee (enzi hizo akiwa Chadema)
10. Ester Bulaya (akiwa Chadema)
Halafu, anakuwa na flanks toka kwa Ole Sendeka na wabunge wengine jamii ya kifugaji
Orodha inaendelea.
Silaha kubwa ya Tulia ingekuwa ni kuzima mic na kuwatoa nje. Halafu, angekuwa anapanic balaa.
Bunge lingekuwa very amazing to watch.
Now, Tulia anachukua points kiulaniiiii, anamtesa Ole Sendeka halafu Ole hana hata back up maskini. Hahahahaha
Mijadala mikali km hii tungemkumbuka sana Anna Makinda alikuwa one of my best speaker ever!
Wamasai hameni imeisha hiyo!