Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
- Thread starter
- #21
Thank you ; Nimependa your rhetoric style ya kuuma na kupuliza. If the the president is sorrounded by PhD holders …. Then what is not happening ? Au ndio give them sseets take them Gold and Uchawa uchwa ?Akizungukwa na wa degree mambo yatakuwa sawa?
Don't USE FORM FOUR (IV) Level embarrassed way. Rais anazungukwa na Phds & alike, so state the case meticulously & pragmatically not otherwise.
Nchi inahitaji umeme ili shughuli za watu ziboreke hata kama ni kutoka EGYPT ilimradi umeme upatikane na huku tunajipanga kuongeza uwezo ndani ya Nchi.
A point of discussion can be on the capacity of JNHP referring the previous statements from the ministry concerned & the President's office.
Nazani Wizara itoe ufafanuzi kuhusu uwezo wa Bwawa la Mwalimu Nyerere maana matarajio baada ya kutumia Pesa nyingi na tulijitoa kama Nchi kuhakikisha Bwawa linakamilika ili kupata umeme toshelezi na Viongozi wetu walisema huo ndio mwarubaini wa ukosefu wa umeme Nchini. Swali;
Nini kimetokea ghafla hivyo ?
Bwawa letu sio tegemeo tena ?
Hii wizara ina historia ya upigaji nazani ndio mashaka ya wengi yanakuja.
Nb: Wananchi tunahitaji umeme, umeme ni maisha, ni furaha na maendeleo ya watu. Kama hata ni kutoa USA uletwe haraka ili kuondoa usumbufu wa kukatika.
Regarding the JNHP, what is the cost-benefit analysis so far? Have we ever been informed about the cost implications and investment over the years, it does not seem to have been fruitful for the country….. ni upigaji na
Wizi
Narudia Tena , hatuna viongozi wazalendo na wenye akili za kusimamia our resources with regard to practical implication for the country .
I know viongozi wengi wa sasa wana Billions kwenye Bank za Dubai, SA , Canada, USA ….. where do they get the money? Hawana Official business wanazofanya ; pesa zote hizo wanatoa wapi ?
Kuna website moja ya l’intelligence huku majuu ya kulipia liliweka wqzi viongozi wa Africa mostly
TZ wameongeza wimbi la kudeposit fund kwenye foregin countries
What a shame