Ishu ya Umeme hata Dotto Biteko ameingia kwenye ulaghai wa maneno

Thank you ; Nimependa your rhetoric style ya kuuma na kupuliza. If the the president is sorrounded by PhD holders …. Then what is not happening ? Au ndio give them sseets take them Gold and Uchawa uchwa ?
Regarding the JNHP, what is the cost-benefit analysis so far? Have we ever been informed about the cost implications and investment over the years, it does not seem to have been fruitful for the country….. ni upigaji na
Wizi

Narudia Tena , hatuna viongozi wazalendo na wenye akili za kusimamia our resources with regard to practical implication for the country .

I know viongozi wengi wa sasa wana Billions kwenye Bank za Dubai, SA , Canada, USA ….. where do they get the money? Hawana Official business wanazofanya ; pesa zote hizo wanatoa wapi ?
Kuna website moja ya l’intelligence huku majuu ya kulipia liliweka wqzi viongozi wa Africa mostly
TZ wameongeza wimbi la kudeposit fund kwenye foregin countries
What a shame
 
1. Nchi makini źenye wingi wa rasilimali km Tanzania suala la umeme ni namba moja ili kustawisha uchumi hatimae hali ya maisha ya raia..si suala la kufanya utegemezi kwa kisingizio cha gharama..No!
2. Tukiwalaumu ccm sidhani km tunawatendea haki, hawana maamuzi! kwa sasa ccm inamilikiwa na kuendeshwa na baadhi ya wastaafu kwa kushirikiana na tiss..
3. Je, energy masterplan ya nchi inasema nini? Ni kweli mikoa ya kaskazini lazima ipate umeme huo wa Ethiopia sabb hakuna namna nyingine isipokuwa hiyo..?
3. Hapo Longido kuna potential ya umeme wa jua..kipi bora kutoa nafuu ya uwekezaji kwa ajili ya solar farm ili umeme uwe nafuu kuziba hilo gap la megawat zinazosemwa kununuliwa kutoka Ethiopia au kununua umeme toka huko wanakosema..!
4. Ni ajabu mambo haya ya kununua umeme kwa jirani huwa hayasemwi..yanaletwa km dharula, na hapo ndio penye tatizo..! Sabb huwezi kuishi na tatizo miaka na miaka pasina kutafuta jibu lkn unangoja muda unaoujua wewe ili ulilete tatizo km dharula..kuna shida kubwa hapo ya kutumia tatizo linaloweza kutatulika kawaida unali-sharpen ili kuhalalisha wizi! na hii si ishu ya wanasiasa, ni hao wanaotaka kina Biteko wawe mawaziri sabb hawawezi kusema No! halafu maamuzi ya uwaziri wanafanya wao..
 
Usiwaamini Kamwe CCM Ni Wajanja Na Wezi
 
Halafu watu wanahadaika na data za kupika na mabango ya mchongo

miaka 60 tunazungumzia mashimo ya Choo

CCCM na mwenyekiti wao wamchongo WATOKE ……. Hakuna wanachoweza kufanya
 
Acha watanzania waangamie kwa ujinga na utahira,hakuna asiye jua matatizo ya umeme yanatokana na viongozi kutumia miradi ya umeme kama njia za wao kujipatia fedha..
 
Hao TISS unaowataja kazi yao kuu ni kuhakikisha watawala wanadumu
 
Vipi tumuamini dikteta uchwara domokaya?
Ilikuwaje mkawq mnawaza kuuza umeme nje 🤣

Haki ngozi nyeusi ni LAAANA
 

Attachments

  • 1b4add58-dda7-4c31-903c-e159f2832924.mov
    5 MB
Ilikuwaje mkawq mnawaza kuuza umeme nje 🤣

Haki ngozi nyeusi ni LAAANA
Kweli nimeqmini unabvery low iq

Sqfety-wise countries need NOT to depend on pne grid

We buy from zambia and we will sell to kenya and buy from etjiopia and sell to rwanda

Huwezi elewa

This is similar to commofities trading kabisa eith an exceprion ya securiry in terms of disasters
 
Very low IQ ni overstatement

Andika vema, changamoto ni nini?

Ni aibu kuona kijana kama wewe in your 40s unaitetea CCM . Hopeless
 
Tuhamie Nchii ya wagagagigikoko.

Lakini hapana kususa.

Hawa ni kwenda nao Nyama kwa nyama kwa jino kwa jino.

Kuishi ama kuishia 2025.
 
Very low IQ ni overstatement

Andika vema, changamoto ni nini?

Ni aibu kuona kijana kama wewe in your 40s unaitetea CCM . Hopeless
Actually I am above 55

Na hawa wadogo zangu akina ucwhara domo nimekua nawaona tangu wadogo… walianza vizuri lakini tayari sasa hivi hawa tena agenda ya Maana
 
Anayetulaghai si yeye pekee bali hata rais anayeendelea kumvumilia na kutengeneza vyeo feki ili awaingize choo ya kike wafuasi wa Magufuli na kuwatema baada ya uchaguzi. Angekuwa daktari wa kweli, angeliona hili.
 
Njaa tu inakusumbua katafute namna ya kuingia afisi kuu. Umeandika Canada so what? Tujue ni mkimbizi? Tuliza tako endelea kubeba maboksi huko.
 
Actually I am above 55

Na hawa wadogo zangu akina ucwhara domo nimekua nawaona tangu wadogo… walianza vizuri lakini tayari sasa hivi hawa tena agenda ya Maana
Sasa Umri wote huo unashindwaje kuona kuwa CCM ni matapeli

Anyway ……. Chadema itakuokoa kutoka kwenye umasikini kupitia katiba mpya.

We Mzee bila katiba mpya maisha yako yatakuwa magumu sana…… hata bimq za afya za wazee ni ulaghai
 
Njaa tu inakusumbua katafute namna ya kuingia afisi kuu. Umeandika Canada so what? Tujue ni mkimbizi? Tuliza tako endelea kubeba maboksi huko.
Sina Njaa. Kama ningetakq kufanya kazi Serikali ya Tanzania ningekuwa ofisi za juu. But hamna hela za kunilipa…….unless niwe mwizi na mla rushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…