Isingekuwa CCM, Ghana na Tanzania walipaswa kuwa mababa wa siasa za kistaarabu Afrika

Isingekuwa CCM, Ghana na Tanzania walipaswa kuwa mababa wa siasa za kistaarabu Afrika

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Niliposikia pongezi toka kwa mgombea wa chama tawala aliyeshindwa uchaguzi mkuu wa kule Ghana akimpongeza mpinzani aliyeshinda ikanifanya nikumbuke kwamba Ghana iliwahi kuongozwa na kiongozi mashuhuri sana wa siasa za Afrika na ndio maana ya ustaarabu tunaoushushudia

Ndipo zikanijia kumbukumbu kwamba Africa ilijaaliwa kuwa na hawa vinara wawili ila bahati mbaya huyu wa kwetu aliiacha ccm waroho wa madaraka huijapata kutokea

Kusema kweli sina hakika kama kuna nchi yoyote hapa Africa inayotamani kuiga siasa za Tanzania labda kama ni kuiga ukandamizaji.
 
Ghana wasingekuwa wa huo ustaaraabu wa leo bila Mapinduzi ya Kijeshi.

Same applies to Bongo. Tutakuja kufikia hivyo viwango pale tutakapopeana adabu kupitia Mapinduzi
 
Shida ya nchi hii SI CCM tuu
Shida na watanzania wote
Hebu Leo tuseme CCM itengwe na Dola kura ziwe fair kbsaaa
CHADEMA au ICT Hawa tunaowaona watatubadilishia nini??

Solution ya nchi hii ni kupatikana mambo mawili
Katiba Bora
Na upinzani imara
 
Niliposikia pongezi toka kwa mgombea wa chama tawala aliyeshindwa uchaguzi mkuu wa kule Ghana akimpongeza mpinzani aliyeshinda ikanifanya nikumbuke kwamba Ghana iliwahi kuongozwa na kiongozi mashuhuri sana wa siasa za Afrika na ndio maana ya ustaarabu tunaoushushudia

Ndipo zikanijia kumbukumbu kwamba Africa ilijaaliwa kuwa na hawa vinara wawili ila bahati mbaya huyu wa kwetu aliiacha ccm waroho wa madaraka huijapata kutokea

Kusema kweli sina hakika kama kuna nchi yoyote hapa Africa inayotamani kuiga siasa za Tanzania labda kama ni kuiga ukandamizaji.
Tatizo nchi nyingi za kiafrica wanafikiria nzi anaweza kuzalisha asali(fidasi wa Japan anajiua,fisadi wa China ananyongwa,fisadi wa ulaya anafungwa).Fisadi wa Africa anagombea uongozi na anapewa.Hatari sana
 
Ghana wasingekuwa wa huo ustaaraabu wa leo bila Mapinduzi ya Kijeshi.

Same applies to Bongo. Tutakuja kufikia hivyo viwango pale tutakapopeana adabu kupitia Mapinduzi
Naunga mkono hoja yako, hapa bila kupasuana hawa wajinga hawataki siasa za kistaarabu
 
Ghana wasingekuwa wa huo ustaaraabu wa leo bila Mapinduzi ya Kijeshi.

Same applies to Bongo. Tutakuja kufikia hivyo viwango pale tutakapopeana adabu kupitia Mapinduzi
Yale mapinduzi ya themanini na tatu yangefanikiwa ungekuta hatuna huu upuuzi
 
Back
Top Bottom