Isiolo Airport Launched Danganyika Republic Kujeni na Hate sasa

Isiolo Airport Launched Danganyika Republic Kujeni na Hate sasa

My friend your giving me news. I need Statistical Information like one from World Bank.
Am trying to show you what exactly is in Kenya and what reporters reporting about your issues.

This down is a classroom in Nairobi.
Africa_Photo_01.jpg
 
Siwezi kujibu cooked information.
Leta taarifa toka kwenye source za kuaminika siyo hizo zenu za kupika.
Kweli kabisa annael, hawa jamaa uwezo wao wa kitakwimu upo chini sana, Data nyingi zinapikwa huko. Binafsi I never trust anything from tje source with the link containing ( .ke. com)
wanafake hata maisha yao.
Mtu kama huyu unaona anarudi kwake Kibera kwa machale watu wasimwone,
Ukute akiwa maeneo anadai anaishi Karen wakati anaishi kibera.
tapatalk_1500993566545.jpeg
 
Hiv kwanin wakenya wanapenda kujilinganisha na tz? Kila kitu wakifanya wanalinganisha na tz y? Kwanin wasilinganishe na nchi zingine uko kma Rwanda, Ethiopia, Uganda ...y us?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv kwanin wakenya wanapenda kujilinganisha na tz? Kila kitu wakifanya wanalinganisha na tz y? Kwanin wasilinganishe na nchi zingine uko kma Rwanda, Ethiopia, Uganda ...y us?

Sent using Jamii Forums mobile app
Annael na Geza Ulole ndio wanaopenda kilimganisha nchi yetu tukufu ya Kenya na Tanzania. Sijui kwa nini?
 
Hiv kwanin wakenya wanapenda kujilinganisha na tz? Kila kitu wakifanya wanalinganisha na tz y? Kwanin wasilinganishe na nchi zingine uko kma Rwanda, Ethiopia, Uganda ...y us?

Sent using Jamii Forums mobile app
Annael na Geza Ulole ndio wanaopenda kilimganisha nchi yetu tukufu ya Kenya na Tanzania. Sijui kwa nini?
 
Back
Top Bottom