The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wakijificha mkuu Cheki huyo comando. Zimbabwe iko vema yani sheedaHawa wavaa makobazi tatizo wanajificha katikati ya raia wema.
Komando gani kavaa buti za mvua.Hata wakijificha mkuu Cheki huyo comando. Zimbabwe iko vema yani sheeda View attachment 1749206
jeshi hata liwe strong vipi lakini kama kuna usaliti hakuna kazi itafanyika, nasikia wavaa kobazi wana watu wao ndani ya jeshi la msumbijiGaidi unamkunjia ngumi!,gaidi ni wa kupelekea ICBM ikiwezekana.
Zimbambwe awawezi kuniangusha kwenye hii mechi,hawa wa Msumbiji ni wepesi sana,sema Covid-19 imefanyanya Dunia kua busy nayo na kuwapuuzia.
Kwaiyo anavunja sheria za makomando?Komando gani kavaa buti za mvua.
Makuruta hao.Kwaiyo amavunja sheria za makomando?
:-!😂 Sawa mkuu we nenda msumbiji ujifanye gaidi alafu utuletee mrejeshoMakuruta hao.
Kama ni kweli basi kazi ipo.jeshi hata liwe strong vipi lakini kama kuna usaliti hakuna kazi itafanyika, nasikia wavaa kobazi wana watu wao ndani ya jeshi la msumbiji
Sio buti za mvua hizoKomando gani kavaa buti za mvua.
Hata wakijificha mkuu Cheki huyo comando. Zimbabwe iko vema yani sheeda View attachment 1749206
Unaonaje lakini kavaa buti za mvua na anapiga mawashi kama kavaa raba vileKomando gani kavaa buti za mvua.