ISIS Wameuteka Mji wa Palma Kaskazini mwa Msumbiji

Tena hao wanaoua wanaujua vizuri uislam na Qur'an kuliko wewe uliesoma madrasa kule mlamleni nyatanga A kwa ostadhi mbilisi.

Wenzako wanasema wanatekeleza ilani na sheria ya Mohamedi na kupigania JIHADI et wewe unasema sio waislam
Mbulula mwengine huyu
 
Mwarabu na mzungu ndio watu wanaoitesa dunia, hajuna kabila ambalo halijaumizwa na hao watu
 
Hii mambo huwa sielewi taifa huru, lina majeshi, serikali. Kikundi kinaingia kinaachwa,kinakua tishio, kinamiliki eneo , himaya?
 
Yaani naanzaje kukomenti habari kama hii ambayo haijajitosheleza?
 
Hili wazo umelipata Baada Ya Msiba Kutokea?!
 
Hii mambo huwa sielewi taifa huru, lina majeshi, serikali. Kikundi kinaingia kinaachwa,kinakua tishio, kinamiliki eneo , himaya?
Hujuma kutokea ndani, upungufu wa rasilimali ni vikwazo vikubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…