ISIS wanajikusanya syria kumdunda assad

ISIS wanajikusanya syria kumdunda assad

Kwaiyo baada ya kuona Israel ameufyata ajibu
ndio mmeona muweke tumaini kwa ISiS 😟😟😟😟
 
Safar hii putin kayakanyaga, kidonda cha ukraine hakijapoa, wanamletea sebene jingine syria, mpaka ateme bungo.

Beberu linahesabu kali sn.
Majenerali wa USA walushasena kuwa russia haijatumia hata robo ya nguvu zake za kijeshi huko ukraine
 
Wazayuni wameamua vita mashariki ya kati walitegemea kuwaonea wapalestina kila siku wakae kimya sasa watu kuanza kuwatetea wao hawataki sasa hizi zile nchi zote wanafiki watajulikana hapo middle east
Wapalestina ndio huanzisha vita , wanaonewa kvp
 
Mnashabikia kama simba na yanga, matacoz yenu🤣
 
Majenerali wa USA walushasena kuwa russia haijatumia hata robo ya nguvu zake za kijeshi huko ukraine
Russia huyu ambaye kila mara anatishia watu na nyuklia ana nguvu gani hiyo aliyobaki nayo.
 
Back
Top Bottom