Isiwe feki,yenye uwezo mkubwa na ya kisasa.....

Isiwe feki,yenye uwezo mkubwa na ya kisasa.....

Baba Ndubwi

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
1,223
Reaction score
1,992
Wakuu swalamaa......
Nina mpango wa kuanza kutengeneza content (yaani kuwa content creator)mwishoni mwa mwaka huu 2025, yaani baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Je;ni SIMU aina gani itanifaa(kupiga picha,sauti na video) katika ubora wa hali ya juu.
Kuhusu bajeti sio tatizo,maana nadunduliza muda ukifika nitakuwa nishajipata.
🙏
 
Wakuu swalamaa......
Nina mpango wa kuanza kutengeneza content (yaani kuwa content creator)mwishoni mwa mwaka huu 2025, yaani baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Je;ni SIMU aina gani itanifaa(kupiga picha,sauti na video) katika ubora wa hali ya juu.
Kuhusu bajeti sio tatizo,maana nadunduliza muda ukifika nitakuwa nishajipata.
🙏
Samsung S25 and smartphone boom mic.
 
Wakuu swalamaa......
Nina mpango wa kuanza kutengeneza content (yaani kuwa content creator)mwishoni mwa mwaka huu 2025, yaani baada ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Je;ni SIMU aina gani itanifaa(kupiga picha,sauti na video) katika ubora wa hali ya juu.
Kuhusu bajeti sio tatizo,maana nadunduliza muda ukifika nitakuwa nishajipata.
🙏
Dogo kitu hicho hapo Osmo gopro 700 USD Alibaba ama Temu.

Utakuja kunishukuru.

20250311_153932.jpg


N de A
 
Mimi mwenyewe nataka nifanye kama jamaa ila content Moja nataka nitoe kwako tufanye mahojiano jinsi gani ulivyoanza kuvutia bange na experience yako kuhusu bange.
Uumbwaaa

N de A
 
Nunua camera,mics, simu sidhani kama ni shida ila Kama ndo huna uwezo wa kunua camera nunua izi simu zinazotoka toleo jipya 😞
Nashukuru mkuu...
Kama ni kamera,ipi ni nzuri kwa kuanzia.
Yaani isizidi million 2
 
Back
Top Bottom