Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

dunia nzima haijui hivyo vikundi vya ugaidi unavyovitaja labda kwa nchini marekani pekee.
ukizungumza ugaidi ukiwa pale UN na ukiwa europe, taswira inayokuja hivi leo ni islamic extremists. ukizungumza ugaidi pale kenya na hapa tanzania, ukizungumza ugaidi afrika macho yataenda nigeria kwa bokoharramu na pembe ya afrika kwenye alshabaab hata kongo hatutakwenda. wakati fulani unavyoandika kuhusu ugaidi uinakuwa unaleta maana kuwa waislamu wanaiga mambo
. kimsingi koment zako nyingi zinawafaa atheists na agnostic

. historia ya uislamu inaonyesha ni dini ya upanga, kama huamini nenda somalia, saudia arabia ambapo juzi waliaza chuki na weusi wa ethiopia,
umetumia bibilia vibaya kwa kuaminisha watu kuwa jihadi ipo. hapa unaonyesha wewe huwa una-kremu tu. nakushauri nenda kawaulize kwa siri(nasisitiza kwa siri) wale viongozi wako wa dini wanaujuaje ukristo. ukigundua kuna shaka basi anza utafiti binafsi.
kumbuka haya hapa chini yesu aliyapinga japo yanasemwa yalikuwepo kwenye torati.
yesu hakuagiza wamuue kwa mawe yule mwanamke mzinifu kama agizo la musa,
yesu aliwapa amri mpya 2 akaziita ni amri kuu,
yesu alimwagiza mtu kubeba kitanda siku ya sabato wakati hawakutakiwa kutembea umbali wa kurusha jiwe,
yesu alikataza kuoa na kuacha,
yesu akitumia maandiko alibadilisha hoja ya kumpenda ndugu na kumchukia adui akasema wapendeni maadui zenu ili muwe tofauti na wasioamini(wapagani).
zaidi ya yote yesu alionya tabia ya kumwona mwenzako anadhambi ilihali wewe pia si (mathayo 7:2) mkamilifu.

muhamad hakufuata ya yesu mwanzo hadi mwisho bali kuran inasema katika sura ya wanawake 4:76 kuwa ubaya uliomfika umetoka nafsini kwake na wao wakampeleka awe mtume wa mwenyezi mungu. waliompeleka ni watu sio mungu.
kazipitie deep kwanza, Surati al imrani 49 na 171

Jesus also predicted the current dilemma of Muslim intolerance and fanaticism. He warned that the day was likewise coming when religious zealots will kill Christians and think they are offering a service to God (John 16:2-4)
kuna sheria za musa zinazohusiana na utamaduni wao na mambo yao ya utawala na sheria za mungu.
yesu alileta sheria za mungu.

wayahudi kupitia torati yao waliamini babu zao walikula mana jangwani iliyoshushwa kutoka mbinguni lakini yesu aliwaambia chakula kile hakikutoka mbinguni.
kwahapa unaweza ukaona tofauti ya imani ya watu kuhusu mungu na yesu alivyomzungumza mungu.

As always unakuja na maneno meengi!we km huna elimu USISEME KILA MTU HAJUI!
Ulimwengu woote wa kwanza wanatambua haya makundi!
Ni nyie huko ulimwengu wa tatu mnaojifunza kila kitu kwenye tv!

Nimekwambia Yesu amesema mwenyewe kuwa hakuja kutengua sheria hata moja ya agano la kale! Bali KUKAMILISHA!
Sasa vipi nyie mchakachue hizo sheria??
Mi sitaki maneno yako!
Nimekupa andiko!
Na wewe toa andiko linalokuoa ruhsa kufanya utakalo wewe!

watu na akili timamu Mnajidanga kuabudu mungu feki mkitegemea mtaingia na nyie peponi!
Mnfnssssssss!
 
As always unakuja na maneno meengi!we km huna elimu USISEME KILA MTU HAJUI!
Ulimwengu woote wa kwanza wanatambua haya makundi!
Ni nyie huko ulimwengu wa tatu mnaojifunza kila kitu kwenye tv!

Nimekwambia Yesu amesema mwenyewe kuwa hakuja kutengua sheria hata moja ya agano la kale! Bali KUKAMILISHA!
Sasa vipi nyie mchakachue hizo sheria??
Mi sitaki maneno yako!
Nimekupa andiko!
Na wewe toa andiko linalokuoa ruhsa kufanya utakalo wewe!

watu na akili timamu Mnajidanga kuabudu mungu feki mkitegemea mtaingia na nyie peponi!
Mnfnssssssss!
ha ha ha, kuwa dunia ya 3 haimaanishi hatuna exposure.
nilichosisitiza hapa ni kuwa kuna sheria za musa na sheria za mungu. kuna watu kwaajili ya ugumu wa mioyo yenu, mnachukua sheria za musa na kuziita ni sheria za mungu.
maana ya kuitimiliza sheria ama kuikamilisha ni kwamba ile sheria ilikuwa haijakaa sawasawa yeye amekuja kuiwekasawa, yaani kuipa ukamilifu. kuna mambo mayahudi wana-exagurate, yeye akawaonya ya kuwa hayo ni mapokeo yao, kwa mfano swala la kuoa na kuacha yesua lisema haikuwa mwanzo tango hapo kwanimungu alimuumba mwanaume na mwanamke bali musa aliwaruhusu waoe na kuacha kwasababu ya ugumu wa mioyo yao.
marko 10;4Wakasema, Musa(torati 24:1-4) alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha(. 5 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii.
MALAKI 2:
16 Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
warumi 14:
22 Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali.
waebrania 10:38
lakini mtu wangu mwenye haki ataishi kwa imani, na akirudi nyuma sitapendezwa naye."
 
ha ha ha, kuwa dunia ya 3 haimaanishi hatuna exposure.
nilichosisitiza hapa ni kuwa kuna sheria za musa na sheria za mungu. kuna watu kwaajili ya ugumu wa mioyo yenu, mnachukua sheria za musa na kuziita ni sheria za mungu.
maana ya kuitimiliza sheria ama kuikamilisha ni kwamba ile sheria ilikuwa haijakaa sawasawa yeye amekuja kuiwekasawa , yaani kuipa ukamilifu. kuna mambo mayahudi wana-exagurate, yeye akawaonya ya kuwa hayo ni mapokeo yao, kwa mfano swala la kuoa na kuacha yesua lisema haikuwa mwanzo tango hapo kwanimungu alimuumba mwanaume na mwanamke bali musa aliwaruhusu waoe na kuacha kwasababu ya ugumu wa mioyo yao.
marko 10;4Wakasema, Musa(torati 24:1-4) alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha(. 5 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii.
MALAKI 2:
16 Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
warumi 14:
22 Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali.
waebrania 10:38
lakini mtu wangu mwenye haki ataishi kwa imani, na akirudi nyuma sitapendezwa naye."

Nyie watu Mungu atawaadhibu adhabu ya ajabu kabisa! Sasa umeamua kumsingizia MUSA kuwa ALILETA SHERIA ZAKE MWENYEWE SIO?? Yaani haitoshi kumsingizia Yesu, na Musa pia?? amma kweli waliolaaniwa na Mungu hakuna wa kuwaongoa!! Halafu unasema maana ya KUKAMILISHA AU KUTIMILIZA NI KUREGEBISHA!!? Hii ndio tafsiri ya wachaga SIO?? Mtu akwambie " Mimi SIKUJA KUTENGUA! BALI KUKAMILISHA" kwa maneno yako "AMEKUJA KUWEKA SAWASAWA YALE YASIO SAWA SIO?? Ndio maana mkaitwa MAKAFIRI! na sababu kubwa NI HUKO KUPINDUA MANENO ili MPATE MTAKALO! na hakika mtalipata! nalo ni MOTO WA JAHANNAMU!
 
Nyie watu Mungu atawaadhibu adhabu ya ajabu kabisa! Sasa umeamua kumsingizia MUSA kuwa ALILETA SHERIA ZAKE MWENYEWE SIO?? Yaani haitoshi kumsingizia Yesu, na Musa pia?? amma kweli waliolaaniwa na Mungu hakuna wa kuwaongoa!! Halafu unasema maana ya KUKAMILISHA AU KUTIMILIZA NI KUREGEBISHA!!? Hii ndio tafsiri ya wachaga SIO?? Mtu akwambie " Mimi SIKUJA KUTENGUA! BALI KUKAMILISHA" kwa maneno yako "AMEKUJA KUWEKA SAWASAWA YALE YASIO SAWA SIO?? Ndio maana mkaitwa MAKAFIRI! na sababu kubwa NI HUKO KUPINDUA MANENO ili MPATE MTAKALO! na hakika mtalipata! nalo ni MOTO WA JAHANNAMU!

mkuu fafanua nni maana ya kutimiliza manake hiki kiswahili cha unguja hikiiiiiii.
kimsingi mungu nimjuaye sio mkatili hivyo wakatianajua sisi wanadamu tunaupeo mdogo na ni wadhaifu.

naomba nikuulize hivi sheria zenu za kupiga watu mawe, kunyonga, kuchinja kukata watu miguu na mikono mmezitoa wapi, ,??
je mnadhani mpaka sasa zimesaidia kuondoa uovu katika jamii au mmchemka?
 
mkuu fafanua nni maana ya kutimiliza manake hiki kiswahili cha unguja hikiiiiiii.
kimsingi mungu nimjuaye sio mkatili hivyo wakatianajua sisi wanadamu tunaupeo mdogo na ni wadhaifu.

naomba nikuulize hivi sheria zenu za kupiga watu mawe, kunyonga, kuchinja kukata watu miguu na mikono mmezitoa wapi, ,??
je mnadhani mpaka sasa zimesaidia kuondoa uovu katika jamii au mmchemka?

Hizo sheria zoote ulizotaja hapo juu NA ZAIDI YA HIZO ZIMO NDANI YA BIBLIA!

Ni wewe na hao makafiri wengine wanaoziita ZA MUSA!!
MANAKE MUSA ALITUNGA SHERIA ZAKE AKAZIWEKA KWENYE BIBLIA!
Amma we huna hata aibu!

Hizo sheria nilizokutajia ZILIKUWEPO HATA KABLA YA MUSA!
Halafu Jitu zima kama wewe Unakuja andika bila aibu yyt kuwa ZILIKUWA ZA MUSA!
Wewe huna elimu ya hilo ANDIKO LAKO!
Nenda kamuite padri wako aje akusaidie kuongea vitu vinavyo make sense!

Siwezi kuendelea kujadiliana na mtu asie na elimu ya anachokiamini wala hana andiko linalo support arguments zake!

Rather anaamua kuandika pumba za uongo hapa!

Knock yourself out now! I said this before you are not my level! And I dont know why I still waisting my time on you!!
 
to kahtaan unavyoongea utadhani waislamu wanafuata torati basi, ili hali wanafuata sheria zao binafsi.


Yesu pia aliulizwa aeleze sheria kuu ni ipi? Mathayo 22:35 "Mwalimu, katika Torati ni amri ipi iliyo kuu?
Yesu akajibu, Mathayo 22:37 "Akamwambia, mpende Bwana Mungu Wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na akili zako zote, hii ndiyo amri iliyo kuu tena ya kwanza na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii mpende jirani yako kama nafsi yako".
Hapa Yesu alikuwa anazieleza kama zilivyoandikwa katika mbao mbili za mawe. Kwamba amri 1-4 Kutoka 20:3-11 au Kumbukumbu la Torati 5:7-15 zinatuhimiza tumpende na kumheshimu Mungu wetu aliye mtakatifu na muumbaji nazo zimefungwa katika amri moja.
Na amri ya 5-10, Kutoka 20:12-17 au Kumbukumbu la Torati 5:16-21 nazo zinatuhimiza tuonyeshe tabia ya Mungu ya upendo kwa kupendana sisi kwa sisi nazo zimefungwa katika amri ya pili. Hivyo ndivyo mambo yalivyo wazi bila utatanishi wowote.

ili Kutokutofautisha kati ya amri kumi za Mungu zilizoandikwa Kutoka 20:3-17 au Torati 5:7-21 na sheria za Musa Malaki 4:4.


Tofauti ya Amri hizi ni hii:

Amri alizindika Mungu Kutoka 31:18. Amri za Mungu ziliandikwa juu ya mbao mbili za mawe. Kumbukumbu la Torati 5:22, Kumbukumbu la Torati 4:12.
Amri kumi za Mungu ziliwekwa ndani ya sanduku la agano. Kumbukumbu la Torati 10:5. Amri kumi za Mungu ni za milele kwa vizazi vyote. Kumbukumbu la Torati 4:40, Zaburi 111:6-9), Zaburi 119:44.

Sheria za Musa tofauti yake ni hii:

Zinaitwa za Musa kwa sababu aliziandika Musa. Kumb. 31:9, Malaki 4:4. Ziliandikwa katika chuo. Kumb. la Torati 31:24. Ziliwekwa kando ya sanduku la agano. Kumb. 31:26. Zilikuwa kivuli cha mambo yajayo Ebrania 10:1-4 Kolosai 2:17. Ndani ya sheria hizo kulikuwepo na sadaka za upatanisho, Law 23:17-32, sadaka za vinywaji, Hesabu 15:5, 24 Sabato za miezi na miaka Lawi 25:4, 8, miandamo ya miezi, sheria za kimwili, vyakula na vinywaji na kutawadha n.k.

conclusion
ukimchukia adui yako utakuwa haufwati amri ya amri za mungu. yaani utakuwa uko opii
*op=opposite
 
Written by Mohamed Said;

[/B][/COLOR]Islam's role in Tanzania's freedom struggle

What is saddening about the history of Tanganyika's struggle for independence is the fact that, more than four decades after achieving freedom, that important period of the people's resistance to foreign domination has yet to be written about.

The few attempts made so far to write that history have focused on hero worship and idolising Nyerere.

What we thus have is a one-sided official history full of distortions and even half-truths.

Meanwhile, vital documents and photographs of the times still remain in private hands and will soon be destroyed or lost for ever.

It is now 50 years since the Tanganyika African National Union made the historic decision in Tabora in 1958to take part in the first general election to the Legislative Council under extremely discriminatory conditions - an ultimately wise decision that came to be known as Uamuzi wa Busara.

In that election, seats were contested not only along racial lines but also saw the locking out of candidates who did not have a formal education or were not employed in a recognised profession.

But what incensed the people most was the condition that Africans would have to vote for a European, an Asian and an African. Mohamed Said's new book tells the story of that election.

The conditions set by the colonial government seemed on the face of it unacceptable for Tanu.

The conference deliberations in Tabora, a small town in the then Western Province, threatened to split the party into two camps -moderates in favour of participating in the elections; and radicals calling for a total boycott.

But Tanu and indeed Nyerere survived an internal crisis that swiftly took on religious and racial undertones.

Radicals like Sheikh Suleiman Takadir, chairman of the Tanu Elders, and Zuberi Mtemvu, then Tanu organising secretary, were all set to stage a coup against Nyerere and take over the party.

And they would have succeeded were it not for the ingenuity of Mwalimu and a group of Tanu members from Tanga handpicked by Nyerere to confront the onslaught.

There are no existing records to give us an insight into Nyerere's own position on the tripartite voting nor is there any indication that he even discussed the issue at the headquarters privately with Sheikh Takadir and Mtemvu, or close associates Idd Faiz, Haidar Mwinyimvua, Dossa Aziz, Bibi Titi Mohamed and the Tanu propagandist Ramadhani Mashado Plantan, owner of the radical paper Zuhra – Nyererere's mouthpiece. Indeed, it would seem Nyerere played his cards close to his chest right up to the voting.

So, what was Nyerere's strategy - the one he never revealed even privately in later life?

The book attempts to solve this mystery through interviews with Tanu veterans, fleshing out a picture of Nyerere "riding" the wave of opposition within Tanu and neutralising radicals like Mtemvu and Sheikh Takadir.


That was the first test of his capabilities as a leader of a mass party and the young Nyerere passed with flying colours.

The writer takes the reader through a labyrinth of intrigues, plots and counter plots that eventually led to Tanu and Nyerere triumphing in the tripartite voting over the Tanganyika United Party - a political grouping dominated by whites that had been cobbled together by the government to counter Tanu.

Nyerere's opponents resigned from Tanu, with Zuberi Mtemvu forming the African National Congress and Ramadhani Mashado Plantan and a group of Muslims forming the All Muslim National Union of Tanganyika - raising the spectre of racial and religious conflict.

Mtemvu's policy was Africa for Africans while Plantan's group wanted assurances about the future of Muslims in free Tanganyika.

These long forgotten players in Tanganyika politics seem to live again in the pages of this book.

What Said brings out, though, is how Nyerere and Tanzania weathered this delicate passage thanks to the many Muslims patriots who remained committed to the original vision.

Said has moving stories to tell of patriotism and sacrifice.

There is the story of Tanu stalwart Mzee Mshume Kiyate, whose contribution as party financier and close friend of Nyerere's family has never been acknowledged.

Kiyate was a prominent fishmonger at Kariakoo in Dar es Salaam when he met Nyerere in early 1950s; he was to become friend and mentor to the young leader.

Also forgotten are patriots like Said Chamwenyewe, who presented Tanu's appeal to the United Nations Visiting Missions to the Mandate Territories when it visited Tanganyika in 1955.

Chamwenyewe had earlier mobilised the first Tanu members from Rufiji in 1954, visiting villages on a bicycle to campaign for Tanu, collecting funds from members and turning the money over to Tanu treasurer Idd Faiz Mafongo without asking anything for himself. Nothing is today known about the fate of these people.

The book contains a number of rare photographs collected from private hands.

There are pictures of a young Nyerere surrounded by Muslims townsmen in kanzu and other paraphernalia - people like Issa Nassir, Sheikh Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate, Said Chamwenyewe and many others.

There is one touching photograph of Nyerere with Mzee Mshume Kiyate taken soon after the army mutiny of January 20, 1964, showing Mshume covering Mwalimu with a piece of cloth traditionally worn by people from the coast known as "kitambi" or "msuli."

The gesture was a show of support by Tanu elders in the face of the mutiny that almost overthrew Nyerere's government. Mzee Mshume died in the early 1970s, alone, poor and forgotten.


The book ventures into the uncharted terrain of Islam as an ideology of colonial resistance, depicting the central role of Muslims in the struggle against the British, a topic still considered a no-go zone in Tanzania.

The writer portrays Nyerere in a light unfamiliar even to his fervent admirers, narrates how during the tripartite voting campaigns the young leader participated in Islamic rituals specifically conducted to safeguard him and the movement against enemies.

Mohamed Said deserves kudos for documenting this important chapter in the history of nationalism in Tanganyika.

He puts meat on the skeleton of Tanu's history in a book that, once you start reading, you will not put down until you get to the end.



[/B]
only the gullible will easily fall for this,
 
only the gullible will easily fall for this,

You couldn't tell between a BREAD and a HUMAN DUNG! and you choose to ate human dung for centuries as a part of your Worship! !

How could tell the difference between the TRUE history of Tanzania from fake one??

Teh teh teh teh!
 
You couldn't tell between a BREAD and a HUMAN DUNG! and you choose to ate human dung for centuries as a part of your Worship! !

How could tell the difference between theTRUE history of Tanzania from fake one??

Teh teh teh teh!
penye red: this is emotional suggestion. your so touchy!!, ..and that is weakness

penye blue:
true history of Tanzania is more patriotism and must shows a colour of nationalism. and the opposite is true.

it absurd to call it the true history while its title, objectives, and the main theme, lack colour of nationalism.
how incongruous?!!!
 
Wakristo wengi wanakimbia historia hii kwa kuwa kwa kiasi kikubwa kanisa halikushuriki katika kuleta Uhuru Tanganyika na walikuwa upande wa mkoloni.

Sababu kubwa ni kuwa Wakristo wengi waliokuwa na elimu ndogo wakati huo wamefanya kazi serikalini na serikali ya kikoloni haikuruhusu mfanya kazi wake awache kazi afanye siasa.

Na wakati huo, Mwafrika hata uwe na shahada ya chuo kikuu huwezi kupewa kazi yoyote ya madaraka na Wazungu, sana sana utaishia kuwa Mwalimu tu.

Hapo kizungumkuti chake si kidogo. Uchaguwe kazi au kudai uhuru? Hata kwa Nyerere haikuwa rahisi, na usomi wake wote tena hukohuko kwa wazungu lakini aliporudi akawa Mwalimu tu wa sekondari...
 
Wakristo wengi wanakimbia historia hii kwa kuwa kwa kiasi kikubwa kanisa halikushuriki katika kuleta Uhuru Tanganyika na walikuwa upande wa mkoloni.

Sababu kubwa ni kuwa Wakristo wengi waliokuwa na elimu ndogo wakati huo wamefanya kazi serikalini na serikali ya kikoloni haikuruhusu mfanya kazi wake awache kazi afanye siasa.

Na wakati huo, Mwafrika hata uwe na shahada ya chuo kikuu huwezi kupewa kazi yoyote ya madaraka na Wazungu, sana sana utaishia kuwa Mwalimu tu.

Hapo kizungumkuti chake si kidogo. Uchaguwe kazi au kudai uhuru? Hata kwa Nyerere haikuwa rahisi, na usomi wake wote tena hukohuko kwa wazungu lakini aliporudi akawa Mwalimu tu wa sekondari...

Faiza hii thread ni ya miaka mingi sana. Faiza unachekesha unapomtaja nyerere.

Faiza Unataka kusema wasiosoma wanaweza kua huru?
 
Faiza hii thread ni ya miaka mingi sana. Faiza unachekesha. Unataka kusema wasiosoma wanaweza kua huru kwa kujikomboa?
Tatizo kubwa mnafikiri kusoma ni kwenda shule tu.

Kuna watu wana elimu ambazo hata uwe na PhD kumi huwafikii na hawajaiona "shule"
 
Back
Top Bottom