Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle


As always unakuja na maneno meengi!we km huna elimu USISEME KILA MTU HAJUI!
Ulimwengu woote wa kwanza wanatambua haya makundi!
Ni nyie huko ulimwengu wa tatu mnaojifunza kila kitu kwenye tv!

Nimekwambia Yesu amesema mwenyewe kuwa hakuja kutengua sheria hata moja ya agano la kale! Bali KUKAMILISHA!
Sasa vipi nyie mchakachue hizo sheria??
Mi sitaki maneno yako!
Nimekupa andiko!
Na wewe toa andiko linalokuoa ruhsa kufanya utakalo wewe!

watu na akili timamu Mnajidanga kuabudu mungu feki mkitegemea mtaingia na nyie peponi!
Mnfnssssssss!
 
ha ha ha, kuwa dunia ya 3 haimaanishi hatuna exposure.
nilichosisitiza hapa ni kuwa kuna sheria za musa na sheria za mungu. kuna watu kwaajili ya ugumu wa mioyo yenu, mnachukua sheria za musa na kuziita ni sheria za mungu.
maana ya kuitimiliza sheria ama kuikamilisha ni kwamba ile sheria ilikuwa haijakaa sawasawa yeye amekuja kuiwekasawa, yaani kuipa ukamilifu. kuna mambo mayahudi wana-exagurate, yeye akawaonya ya kuwa hayo ni mapokeo yao, kwa mfano swala la kuoa na kuacha yesua lisema haikuwa mwanzo tango hapo kwanimungu alimuumba mwanaume na mwanamke bali musa aliwaruhusu waoe na kuacha kwasababu ya ugumu wa mioyo yao.
marko 10;4Wakasema, Musa(torati 24:1-4) alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha(. 5 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii.
MALAKI 2:
16 Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
warumi 14:
22 Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali.
waebrania 10:38
lakini mtu wangu mwenye haki ataishi kwa imani, na akirudi nyuma sitapendezwa naye."
 

Nyie watu Mungu atawaadhibu adhabu ya ajabu kabisa! Sasa umeamua kumsingizia MUSA kuwa ALILETA SHERIA ZAKE MWENYEWE SIO?? Yaani haitoshi kumsingizia Yesu, na Musa pia?? amma kweli waliolaaniwa na Mungu hakuna wa kuwaongoa!! Halafu unasema maana ya KUKAMILISHA AU KUTIMILIZA NI KUREGEBISHA!!? Hii ndio tafsiri ya wachaga SIO?? Mtu akwambie " Mimi SIKUJA KUTENGUA! BALI KUKAMILISHA" kwa maneno yako "AMEKUJA KUWEKA SAWASAWA YALE YASIO SAWA SIO?? Ndio maana mkaitwa MAKAFIRI! na sababu kubwa NI HUKO KUPINDUA MANENO ili MPATE MTAKALO! na hakika mtalipata! nalo ni MOTO WA JAHANNAMU!
 

mkuu fafanua nni maana ya kutimiliza manake hiki kiswahili cha unguja hikiiiiiii.
kimsingi mungu nimjuaye sio mkatili hivyo wakatianajua sisi wanadamu tunaupeo mdogo na ni wadhaifu.

naomba nikuulize hivi sheria zenu za kupiga watu mawe, kunyonga, kuchinja kukata watu miguu na mikono mmezitoa wapi, ,??
je mnadhani mpaka sasa zimesaidia kuondoa uovu katika jamii au mmchemka?
 

Hizo sheria zoote ulizotaja hapo juu NA ZAIDI YA HIZO ZIMO NDANI YA BIBLIA!

Ni wewe na hao makafiri wengine wanaoziita ZA MUSA!!
MANAKE MUSA ALITUNGA SHERIA ZAKE AKAZIWEKA KWENYE BIBLIA!
Amma we huna hata aibu!

Hizo sheria nilizokutajia ZILIKUWEPO HATA KABLA YA MUSA!
Halafu Jitu zima kama wewe Unakuja andika bila aibu yyt kuwa ZILIKUWA ZA MUSA!
Wewe huna elimu ya hilo ANDIKO LAKO!
Nenda kamuite padri wako aje akusaidie kuongea vitu vinavyo make sense!

Siwezi kuendelea kujadiliana na mtu asie na elimu ya anachokiamini wala hana andiko linalo support arguments zake!

Rather anaamua kuandika pumba za uongo hapa!

Knock yourself out now! I said this before you are not my level! And I dont know why I still waisting my time on you!!
 
to kahtaan unavyoongea utadhani waislamu wanafuata torati basi, ili hali wanafuata sheria zao binafsi.


Yesu pia aliulizwa aeleze sheria kuu ni ipi? Mathayo 22:35 "Mwalimu, katika Torati ni amri ipi iliyo kuu?
Yesu akajibu, Mathayo 22:37 "Akamwambia, mpende Bwana Mungu Wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na akili zako zote, hii ndiyo amri iliyo kuu tena ya kwanza na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii mpende jirani yako kama nafsi yako".
Hapa Yesu alikuwa anazieleza kama zilivyoandikwa katika mbao mbili za mawe. Kwamba amri 1-4 Kutoka 20:3-11 au Kumbukumbu la Torati 5:7-15 zinatuhimiza tumpende na kumheshimu Mungu wetu aliye mtakatifu na muumbaji nazo zimefungwa katika amri moja.
Na amri ya 5-10, Kutoka 20:12-17 au Kumbukumbu la Torati 5:16-21 nazo zinatuhimiza tuonyeshe tabia ya Mungu ya upendo kwa kupendana sisi kwa sisi nazo zimefungwa katika amri ya pili. Hivyo ndivyo mambo yalivyo wazi bila utatanishi wowote.

ili Kutokutofautisha kati ya amri kumi za Mungu zilizoandikwa Kutoka 20:3-17 au Torati 5:7-21 na sheria za Musa Malaki 4:4.


Tofauti ya Amri hizi ni hii:

Amri alizindika Mungu Kutoka 31:18. Amri za Mungu ziliandikwa juu ya mbao mbili za mawe. Kumbukumbu la Torati 5:22, Kumbukumbu la Torati 4:12.
Amri kumi za Mungu ziliwekwa ndani ya sanduku la agano. Kumbukumbu la Torati 10:5. Amri kumi za Mungu ni za milele kwa vizazi vyote. Kumbukumbu la Torati 4:40, Zaburi 111:6-9), Zaburi 119:44.

Sheria za Musa tofauti yake ni hii:

Zinaitwa za Musa kwa sababu aliziandika Musa. Kumb. 31:9, Malaki 4:4. Ziliandikwa katika chuo. Kumb. la Torati 31:24. Ziliwekwa kando ya sanduku la agano. Kumb. 31:26. Zilikuwa kivuli cha mambo yajayo Ebrania 10:1-4 Kolosai 2:17. Ndani ya sheria hizo kulikuwepo na sadaka za upatanisho, Law 23:17-32, sadaka za vinywaji, Hesabu 15:5, 24 Sabato za miezi na miaka Lawi 25:4, 8, miandamo ya miezi, sheria za kimwili, vyakula na vinywaji na kutawadha n.k.

conclusion
ukimchukia adui yako utakuwa haufwati amri ya amri za mungu. yaani utakuwa uko opii
*op=opposite
 
only the gullible will easily fall for this,
 
only the gullible will easily fall for this,

You couldn't tell between a BREAD and a HUMAN DUNG! and you choose to ate human dung for centuries as a part of your Worship! !

How could tell the difference between the TRUE history of Tanzania from fake one??

Teh teh teh teh!
 
You couldn't tell between a BREAD and a HUMAN DUNG! and you choose to ate human dung for centuries as a part of your Worship! !

How could tell the difference between theTRUE history of Tanzania from fake one??

Teh teh teh teh!
penye red: this is emotional suggestion. your so touchy!!, ..and that is weakness

penye blue:
true history of Tanzania is more patriotism and must shows a colour of nationalism. and the opposite is true.

it absurd to call it the true history while its title, objectives, and the main theme, lack colour of nationalism.
how incongruous?!!!
 
Wakristo wengi wanakimbia historia hii kwa kuwa kwa kiasi kikubwa kanisa halikushuriki katika kuleta Uhuru Tanganyika na walikuwa upande wa mkoloni.

Sababu kubwa ni kuwa Wakristo wengi waliokuwa na elimu ndogo wakati huo wamefanya kazi serikalini na serikali ya kikoloni haikuruhusu mfanya kazi wake awache kazi afanye siasa.

Na wakati huo, Mwafrika hata uwe na shahada ya chuo kikuu huwezi kupewa kazi yoyote ya madaraka na Wazungu, sana sana utaishia kuwa Mwalimu tu.

Hapo kizungumkuti chake si kidogo. Uchaguwe kazi au kudai uhuru? Hata kwa Nyerere haikuwa rahisi, na usomi wake wote tena hukohuko kwa wazungu lakini aliporudi akawa Mwalimu tu wa sekondari...
 

Faiza hii thread ni ya miaka mingi sana. Faiza unachekesha unapomtaja nyerere.

Faiza Unataka kusema wasiosoma wanaweza kua huru?
 
Faiza hii thread ni ya miaka mingi sana. Faiza unachekesha. Unataka kusema wasiosoma wanaweza kua huru kwa kujikomboa?
Tatizo kubwa mnafikiri kusoma ni kwenda shule tu.

Kuna watu wana elimu ambazo hata uwe na PhD kumi huwafikii na hawajaiona "shule"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…