Kashengo
What do you mean by terrorism ? and What is 'Islam Teaching ?
From what I know Muslims worship and emulate Muhammad in actions...
It is only through understanding their prophet you can understand why they behave the way they do.
To understand Muhammad you must begin with a brief history of his life. His actions and reactions towards people who were against his teachings etc.
As a result the real 'Islam' is incompatible with democracy, human rights and free reasoning.
Pekee yake haisemi kitu ila tu kuhimiza umoja kati ya Waislamu.Una maoni gani kuhusu hii aya? Si inahamasisha ugaidi au?
"Mohammed is God's apostle. Those who follow him are harsh to the unbelievers but merciful to one another" Quran 48:29
Kwa nini umeteua ayat inayoonyesha kuwa Qurani ina upole kuliko Biblia????"Mohammed is God's apostle. Those who follow him are harsh to the unbelievers but merciful to one another" Quran 48:29
Judge yourself if that Quran verse condone violence or not!
Biblia, 1 Sam 13:3 Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.
Hadi sasa sijaona mafundisho katika Qurani inayohusu ukanda wa baruti.Mimi binafsi nina sababu ya kuamini kwamba bila mafundisho ya Qaraa dunia ni mahali pazuri pa kuishi! mf; mtu anavaa belt ya mabomu na kujitoa muhanga kwa kauli mbiu ya Takbir Allahu akbar hapo kinachofuata ni maangamizi ya viumbe! ambavyo Mungu amevipenda bila ya sababu!
Inawezekana sina akili ya wastani. ndugu yangu kipala,wakati wewe unafuata Uislam kwenye story za vijiwe vya waislam jina mwenzio nimeuishi Uislam kwa zaidi ya miaka 14.acha kulopoka vitu usivyovijua,kwa taarifa yako hao uwaonao wewe ni extremist hao ndio wanapractise Uislam wa kweli,ZINDUKA, soma maisha ya mbora wa mitume na ni kwa vipi Muislam anatakiwa kuyaishi maisha ya Mtume wake kwa nyendo zake na sunna zake zote. Kama muislam huruhusiwi kuhoji na kuona aibu dhidi ya tendo lolote alilolitenda mbora wa mitume,ni kutojua Uislam kwako kunakofanya uwe mmoja wa wengi wanaoamini kuwa Uislam ni dini inayoweza kuchangamana na dini zingine,POLE sana,Uislam ni mfumo kamili wa maisha,maisha yenyewe ni yale yaliyoamrishwa ama kutendwa na Mtume Muhammad (SAW) ni wajibu wa muislam kutenda na kuyaishi yale ambayo yaliamrishwa na Quran na sunna za mtume. Acha kuleta mafundisho ya Uislam wa kusadikika,uislam wa ukweli ni kufuata maagizo ya mtume,kama katika kusoma kwako umekutana na aya zinazohimiza upendo kwa adui yako,unatakiwa uchunguze kama hiyo aya ilitangulia inayoaagiza chuki kwa wasioamini,kama aya ya chuki ilikuja baada ya ile ya upendo katika uilslam amri ya mwisho ndiyo ina kuwa mwongozo. Hakuna democrasia kwenye Uislam isipokuwa kufuata kama ilivyoamliwa na mtume. Acha kudanganya na kujidanganya kwa kujifanya unaujua uislam wa kusadikika ambao ni moderate.Ndugu mpendwa, naomba utumie akili ya wastani. Habari za maisha ya Muhammad ziko nyingi na hazifuati mantiki (hata kama Waislamu wenzetu wanapenda kuona Qurani kama ufunuo usio na kasoro . . ) Ni wazi kabisa ya kwamba waumini hawawezi kujua wala kila kitu katika Qurani wala katika Sunna / Ahadith. Wanachagua. Hapo ni muhimu walimu wao wanakaza nini na kueleza nini. Sasa tumepewa hapa juu mifano jinsi gani walimu muhimu wanapinga ugaidi na mafundisho ya waislamu wenzao wanaofuata mkondo mkali na kudai eti "jihadi" inamaanisha ukatili na mauaji. Sasa unakuja wewe na yale uliyosikia kuhusu Qurani na unataka kumwambia Mwislamu imani yake ni nini?? Kwangu hii ni kichekesho sawa na hao wenzetu Waislamu hapa JF wanaopenda kujivalia kofia ya ualimu na kunifundisha eti Ukristo wa kweli ni nini wakitaja ayat (zaidi nusu na roboayat) za Biblia na kufikia mafundisho ya ajabu. Asante kwa kutuchekesha lakini napendelea kuwauliza Waislamu imani yao ni nini. Hapo naona kuna tofauti kubwa kati yao. Namshukuru Mungu ya kwamba Waislamu wengi kabisa wanakataza mafundisho ya kigaidi.
Kwa hiyo wewe u Mwislamu anayeniambia kuwa "Uislam wa moderate" si sahihi??Acha kudanganya na kujidanganya kwa kujifanya unaujua uislam wa kusadikika ambao ni moderate.
Kwa hiyo wewe u Mwislamu anayeniambia kuwa "Uislam wa moderate" si sahihi??
Hakuna kitu kinaitwa uislamu moderate! Uislamu umesimama kutokana na qurani, hadith, na miratul rasul! Na kigezo chao chema ni muhammad kwisha. ukipenda katafakari personal profile ya muham mad ili uuelewe uislamu!
Mbona hao unaowaita moderate hawatangazi hadharani kwamba aya inayosema "fight(slay and kill) those who do not believe in allah......" haitoki kwa allah! Q9:29! mbona hawasemi; "wafanyeni wayahudi na wakristo rafiki zenu!" q5:51-52, au waseme "wayahudi si adui zenu!" Q5:82!
you may think you know what islam is all about.....!
but the black flag of islam flies over US embassy in Tunisia!
Nasikitika kukwambia kwamba mimi nipo huru na huru kweli kweli,niligunguka kutoka kwenye hilo box,unachotakiwa kuelewa ni kwamba Uislam wa kweli ni 'INCOMPATIBLE WITH DEMOCRACY AND HUMAN RIGHTS' as declared by UN,ndiyo sababu hata OIC wanalo human declaration ya kwao ambayo ni compatible with SHARIA LAW.Kwa hiyo wewe u Mwislamu anayeniambia kuwa "Uislam wa moderate" si sahihi??
"Fight(slay and kill)those who do not believe in allah nor in last day nor do they prohibit what allah and his messenger have prohibited, nor they follow the religion of allah out of those who have been given the book until they pay the tax."Naomba twende pole pole labda ninaweza kukuelewa unachotetea, Mkuu!Hii amri ni ya nani! Anapewa nani! Kwa madhumuni gani! Jee muumini asipo itekeleza ataendelea kuwa muumini?Unaleta nusu ayat na hapa unafanya sawa kabisa kama kaka yako wa kiislamu Gavana anayependa kuleta vichekesho kwa kutaja nusu ayat za Biblia na kujenga hojo juu ya vipande hivi.Basi jaribu kuleta ayat yote ya Q9:29 halafu utuambie hii inayoandikwa inatokea wapi? Tuone kama utalaamu wako ni zaidi kuliko kopi-paste kutoka intaneti.
"Fight(slay and kill)those who do not believe in allah nor in last day nor do they prohibit what allah and his messenger have prohibited, nor they follow the religion of allah out of those who have been given the book until they pay the tax."Naomba twende pole pole labda ninaweza kukuelewa unachotetea, Mkuu!Hii amri ni ya nani! Anapewa nani! Kwa madhumuni gani! Jee muumini asipo itekeleza ataendelea kuwa muumini?
Mpendwa napenda kwenda taratibu
1) unakubali si kweli ya kwamba "the black flag of islam flies over US embassy in Tunisia"?
2) Kuhusu ayat nashukuru umeleta yote sasa. Kwa hiyo sentensi hiyo iliyo kamili inasema kwa maana yako? Na kwa ufahamu wako ni wapi ya kwamba hii sentensi inatekelezwa ?
3) Je unakubali ya kwamba wale walioshambulia ubalozi wiki liyopita walikuwa wachache? Unaonaje maandamano ya waislamu wengi wa Bengazi waliolilia kifo cha mbalozi na kufukuza wanajihadi?