Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Duu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Haki ya nani ,unashika paja gumu limekomaa, lina vipere vipere vingiii sababu ya kupigwa vumbi na baridi + moshi wa bodaboda
Umekatwa kichwa??YANI MAMBO YA HOVYO SANA. AISEEE....
HAWA WANAKIWAGA MALAYA SANA WANALIWA KAMA SAMAKI.
MUNGU UWASAMEHE.
Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao na wahifadhi tupu zao, na wala wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa yale yanayodhihirika. Na waangushe khimaar (shungi) zao mpaka vifuani mwao, na wasidhihirishe mapambo yao isipokuwa kwa waume zao, au baba zao, au baba za waume wao, au wana wao wa kiume, au wana wa kiume wa waume zao, au kaka zao, au wana wa kiume wa kaka zao, au wana wa kiume wa dada zao, au wanawake wao (wa Kiislamu), au wale iliyowamiliki mikono yao ya kuume, au wafuasi wanaume wasio na matamanio ya jimai miongoni mwa wanaume au watoto ambao hawatambui kitu kuhusu sehemu za siri za wanawake. Na wala wasipige miguu yao yakajulikana yale wanayoyaficha katika mapambo yao. Na tubuni kwa Allaah nyote, enyi Waumini mpate kufaulu. [An-Nuwr: 31.]Kinachochekesha hayo maagizo ya mavazi hayajaandikwa kwenye kuran, ni wivu tu na shida za wanaume wa arabia wakawalazimisha wanawake wavae hivi. Kuna story iliandikwa kuwa huko arabia bora mwanamke afiche uso na kuachia uchi
Kwani jangwani kuna baridi?Nguo za kuvaa jangwani kuzuia vumbi uvae Kariakoo joto kaliii🤣
wengine wanajazba hadi kwenye vitu visivyokeraKwani jangwani kuna baridi?