Ismail Ramadhan, aliyemuua mwenzake kisa mapenzi, ahukukumiwa mwaka mmoja jela

Ismail Ramadhan, aliyemuua mwenzake kisa mapenzi, ahukukumiwa mwaka mmoja jela

System ya Bongo ndugu yako likimpata balaa kama hili na case ikabadirishwa kutoka murder case mpaka manslaughter ushukuru Mungu tu upambane atatoka, maana ikibaki murder ni issue ya mahakama kuu Kwa Jaji.

Huyo ninaamini alikuwa na murder case ndio walipombadirishia shtaka baada ya kusota jela amekubali kosa ndio hukumu ikaja hivyo.
hapo na pesa alitembeza usikute!
 
halafu kumbe alikuwa na miaka 20 kipindi hiko, aisee vijana Hawa Wana usela mavi sana,

Sheria zetu za hovyo,unaweza ukavamiwa na vibaka kwako,ukifanikiwa kumuua mmoja usishangae ukafungwa wewe , yaani bora wakuue wewe au wakujeruhi nadhani.
Mnachanganya mambo, kuna mazingira ya trespass ukatandika mtu risasi ni statement yako tu Polisi wanahitaji na ni trespass kweli mpaka ukauwa?

Lakini haya maugomvi yenu bar ya kugombea mwanamke ukiuwa hakuna self defense hapo, ni murder case, mpaka familia yako ipambane ndio ufutiwe murder ushtakiwe Kwa Manslaughter ambayo INA unafuu.

Self defense bado inawalinda watu wanaovamiwa majumbani mwao na siyo kwenye mambo ya pombe, ukiona mtu anakuzinguwa bar ondoka.
 
Mnachanganya mambo, kuna mazingira ya trespass ukatandika mtu risasi ni statement yako tu Polisi wanahitaji na ni trespass kweli mpaka ukauwa?

Lakini haya maugomvi yenu bar ya kugombea mwanamke ukiuwa hakuna self defense hapo, ni murder case, mpaka familia yako ipambane ndio ufutiwe murder ushtakiwe Kwa Manslaughter ambayo INA unafuu.

Self defense bado inawalinda watu wanaovamiwa majumbani mwao na siyo kwenye mambo ya pombe, ukiona mtu anakuzinguwa bar ondoka.
nikweli mkuu
 
Ndo maana tunapaswa kureview sheria zetu.

Kuna mambo ya aibu sana yasiyo haki yanafanyika kukosesha watu haki.

Sasa huyo angeuwa ingekuwaje
Hujasoma vizuri huyo jamaa ameuwa, hapo ni Wakili wake ameweza kuishawishi tu mahakama ikubali hoja zake.

Kwanza kesi hizi zikikaa muda mrefu na hakuna public interest watu huwa wanashinda kesi Kwa kukosekana ushahidi, ila kuuwa ameuwa kweli.
 
Yani hapo walikua wanachunguza nini miaka yote 7?
 
System ya Bongo ndugu yako likimpata balaa kama hili na case ikabadirishwa kutoka murder case mpaka manslaughter ushukuru Mungu tu upambane atatoka, maana ikibaki murder ni issue ya mahakama kuu Kwa Jaji.

Huyo ninaamini alikuwa na murder case ndio walipombadirishia shtaka baada ya kusota jela amekubali kosa ndio hukumu ikaja hivyo.
Mtu anivamie halafu nimuue katika kujitetea ndio iwe manslaughter?
 
Sheria zetu za hovyo,unaweza ukavamiwa na vibaka kwako,ukifanikiwa kumuua mmoja usishangae ukafungwa wewe , yaani bora wakuue wewe au wakujeruhi nadhani.
Haya ni mambo ya ajabu kabisa.. kwahiyo ukivamiwa nyumbani kwako halafu ukaua mtu unaenda kupewa manslaughter case?
 
Mnachanganya mambo, kuna mazingira ya trespass ukatandika mtu risasi ni statement yako tu Polisi wanahitaji na ni trespass kweli mpaka ukauwa?

Lakini haya maugomvi yenu bar ya kugombea mwanamke ukiuwa hakuna self defense hapo, ni murder case, mpaka familia yako ipambane ndio ufutiwe murder ushtakiwe Kwa Manslaughter ambayo INA unafuu.

Self defense bado inawalinda watu wanaovamiwa majumbani mwao na siyo kwenye mambo ya pombe, ukiona mtu anakuzinguwa bar ondoka.
Kwahiyo ukiwa umekaa nje ya nyumbani kwako (sehemu ambayo ni mbali na kwako) mtu akakuvamia na kutaka kukupora au kukujeruhi na ukamuwahi ni manslaughter?
 
Sema tu hata akitoka, kamwe hawezi kuwa sawa kiakili. Maana damu ni nzito kuliko maji.
 
Kesi za mauji unakaa jela muda mrefu, nafikiri pia Ni kwa usalama wako, maana Kama ukikosekana ushaidi ndani ya mwaka mmoja na ukaachiwa huru, unafikiri ndugu wa marehemu watakuacha hivihivi? ni afadhali wakisikia bado upo gerezani huku kesi ikipigwa kalenda kidogo hasira zinawapungua hata Kama ndugu yao ambae ni marehemu alikuwa teja asiye na msaada kwa familia
Ukiwchiwa unatimka
 
System ya Bongo ndugu yako likimpata balaa kama hili na case ikabadirishwa kutoka murder case mpaka manslaughter ushukuru Mungu tu upambane atatoka, maana ikibaki murder ni issue ya mahakama kuu Kwa Jaji.

Huyo ninaamini alikuwa na murder case ndio walipombadirishia shtaka baada ya kusota jela amekubali kosa ndio hukumu ikaja hivyo.
Asee
 
Mbunye haigombaniwa sijui wanaume wenzangu lini mtajifunza hili

Unamfuma mngoni wako na mkeo una mlawiti au kumdhuru bila kujua outcome yake acheni huo upuuzi

We piga chini tu mwanamke
 
NAFIKIRI KWA SASA ATAELEWA KUWA MWANAMKE HAGOMBANIWI WALA KUPIGANIWA
 
Mtu amekaa mahabusu miaka 7 ndio anahukumiwa! Lakini kuna kibaka mmoja huko kaskazini mwa nchi amekaa mahabusu mwaka mmoja tu lakini wapambe wake wanavyopiga kelele utafikiri nguruwe waliokosa chakula.
 
Mnaosema jamaa ameonewa hajatendewa haki nendeni gereza la butimba mkajionee kule kuna watu wamesota miaka 10 wakiwa ni mahabusu kwa kesi kama hiyo
 
Back
Top Bottom