Israel airforce vs Iran airforce, who has the strongest army?

Israel airforce vs Iran airforce, who has the strongest army?

Israel ni zaidi. Iran ikithubutu kuigusa tu watakiona cha mtemakuni.
 
Hii nchi ya wayahudi iacheni kama ilivyo. Jaribu kufikiri; kama America anamchunguza Israel kwa siri kubwa na kuogopa techologia yake, Iran anawezaje kujipanga dhidi ya Jewish army?
 
Army (Land force) ni jeshi la nchi kavu likijumuisha regiment tofauti kama tank regiment, artillery regiment, field engineer, commando, na Pia Infantry battalions ambapo Infantry battalions ni vikosi vya Askari wa miguu ambao huwa wanasonga mbele kwenda kukamata ardhi wakisaidiwa na vifaru, ambavyo huwa navyo vinasonga mbele sambamba na Askari hao wa miguu yaani Infantry.

Navy- ni jeshi la majini
Airforce- ni jeshi la Anga

Hivyo kuna aina kuu tatu za majeshi duniani.
 
Vp kuhusu iran kuwa na technology ya kutengeneza ndege za kivita wenyewe pamoja na drone?
 
Vp kuhusu iran kuwa na teknolojia ya kutengeneza ndege za kivita wenyewe pamoja na drone?
 
siku hizi unakua na ground force ndogo yenye technologia kubwa inayo saidiwa na air force
 
Saudi arabia wao wameuziwa vifaa vingi na marekani lakini hawana jeshi bora kama Iran, na pia kwa maana ya uvumilivu na saudia bafo kwa Iran






Ni kweli..saudia wana vifaa vya kijeshi wanavyouziwa na mmarekani lakini hana jeshi imara kama Iran,hata kwa case ya experience Iran amepigana na Iraq kipindi cha Saddam Hussein kuanzia tarehe 22 September 1980 mpaka tarehe 20 August 1988(Miaka 7 , miezi 10 , wiki 4 na siku 1 ) na kwa kipindi hicho Iraq alikua anauziwa silaha na mmarekani pia alikua anasaidiwa katika intelejensia na mmarekani,na kuna facts kua hata silaha za kemikali alizokua anatumia Iraq dhidi ya Iran kipindi hicho zilikua supplied na marekani


http://youtu.be/U8mywU-_jlc
Lakini Iran aliweza kukaza mpaka mwisho.
 
Israel ana ndege nyingi na zenye uwezo mkubwa lakini hawezi kushinda vita hata siku moja akipigana na Iran. Israel ni mtoto mdogo sana mbele ya Iran.
 
Na siku israel atakapoanza mashambulizi ya anga dhidi ya vituo vya nyuklia na kambi za jeshi la iran si danger kwa jews?
 
Vipi kuhusu iran kupokea mfumo wa makombora wa s-300 hii si ndo itazima kabisa mpango wa israel kuishambulia iran?
 
Vipi kuhusu iran kupokea mfumo wa makombora wa s-300 hi si imtafanya israel akwame kuishambulia iran?
 
fuatilia missions za special airforce unit ya Israel inaitwa " the hummer" utajua ubora wa hawa jamaa.

on top of that Israel kwa kupitia vikosi vyake maalum imefanya operesheni kadhaa ndani ya ardhi ya Iran na kufanikiwa, bila ya Iran kujua wala kujibu mapigo.

Kuna hawa jamaa wanaitwa The Kidon, hawa ni elite force commandos wanaotumika kwenye covert operations ambao kazi yao ni kuua adui tu. wakikutaka hawa majamaa hata ukajifiche white house watakumaliza tu.

Pia kuna kundi jingine la makomando linaitwa Sayeret Matkal, hili ni kundi la the most elite commandos wa israel likijumuisha wapiganaji bora kabisa toka vikosi vya majeshi ya Israel, hili naweza fananisha na SAS wa uingereza hawa ni wadudu wa level ya kipekee, kikosi hiki kimeshawahi toa mawaziri wakuu kadhaa wa israel mfano benjamin netanyahu na ehud barak, na komando moja maarufu kabisa la israel anaefahamika kama Muki Bester, hawa jamaa they are realy gifted by God si utani kabisa.
 
Jee kwa nguvu za makombora kati ya israel na iran nani mwenye nguvu?
 
Kati israel na iran nani yupo juu kwenye uwezo wa makombora?
 
Ukienda kwenye list ya powerfull military in the world Israel yupo juu kwenye Middle East japo kwa idadi Egypt ndio ina Ndege Nyingi 1,107 Tanzania tunazo 34 za Kirusi na Kichina Muhahaha kama Iran vile...

Israel ina Airfigher Jet 684 na Iran inazo 471 na kwa kuwa zenye Ubora Israel ipo Juu sana kwani pamoja ya kuwa ni za kununua lakini wameshiriki katika Uundwajii wa hizo Ndege na pia wamezimodify kitaalmu zaidi kwa kuziwekea vifaa vya kisasa zaidi ya original yake.. kama rada kifaa cha kuhepesha ndege kukwepa Makombora n.k Ndege nyingi za Iran ni za Kitambo za zingine zimetengenezwa na kukarabatiwa kimagumashi kwa sababu ya vikwazo vya uchumi ila baada ya vikwazo wana pesa nyingi wanaweza ongeza hata maradufu ya walizokuwa nazo. so upande wa Idadi na Ubora Israel ipo Juu..

Israel kwenye Electronic yupo juu anavyombo vya kuzimisha kifaa chochote kinachotumia mawimbi ya radio n.k even kuzima computer mitambo hiyo huwa inakaa kwenye Ndege zipitazo juu sana so akitaka kulipua wanapitisha wanazima kisha wanapitisha Ndege za mashambulizi ndio maana katika plan zao zote hakuna waliyo fail...target...Bado Kwenda Iran tu Hata Marekani anaposema atailinda Iran kwa Makombora ya Israel ni about timing tu kwani Mmarekani anampeleleza Israel na Muisrael naye anampeleleza Mmarekani kuna timing kali sana kwani Marekani ameshategua karibu mara Mbili mpango wa Iran kupigwa mwishowe akasema wazi kuwa Atazitungua Ndege za Israel zikiwa zinaelekea Iran... ili kuondoa mtafaruku Israel Alitulia Muiran akapumua na kujitutumua...

Israel ana Nuclear war head za kutosha Iran Hana hapo ndio Mkubwa huonekana

Mkuu inaonekana uko vizuri kumbe Israeli alipotishia kuipiga Iran alishindwa kutimiza adhima yake kwa kuihofia marekani asante kwa kunifumbua macho,

Kumbe siku wakikubaliana marekani na Israeli kuipiga Iran itakuwa rahisi sana.

Kama ndivyo basi hana mda mrefu Iran atapigwa tu.
 
Na jee kuhusu uwezo wa makombora kati ya iran na israel?
 
Vipi kuhusu uwezo wa makombora kati ya israel na iran?ni nani zaidi?
 
Vipi kuhusu uwezo wa makombora kati ya israel na iran?nan mwenye uwezo mkubwa
 
Nani mwenye uwezo mkubwa wa makombora kati ya israel na iran?
 
Back
Top Bottom