Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,323
- 10,813
Kwema wakuu.
Palestine wametepeta, wameshakubali yaishe. Miaka Saba ijayo nchi yote itakuwa imekaliwa na Simba wa yuda
Kuwaonea huruma Palestine ni kupoteza muda, kwani watu wanaopigana nao ni watu wasiosikia la mtu, wao atakaye jichanganya ni kipigo tuu
Baada ya Israel kuidhibiti kabisa Palestine na kuwafurusha iwe Kwa kuwaua au kuwafukuza, kazi itakayofuata ni kuvamia mataifa mengine ya kiarabu yalipo Jirani.
Mambo haya yatatukia miaka ya hivi karibuni.
Waarabu watakimbilia zaidi upande wa Kusini lilipo Bara la Afrika, Kwa Wale waliosoma na wenye vipato watakimbilia ulaya, Mashariki ya mbali na Nchi za America.
Afrika itakumbwa na ugeni kutoka Kwa nchi za jamii ya kiarabu, zilizokimbia vita Kwa kiasi kikubwa
Afrika pia itakimbiliwa na Nchi za India na uchina kutokana na ongezeko la watu lililopitiliza katika mataifa hayo.
Nchi za Uarabuni zitaendelea kughasiwa na Israel na kufurushwa Kwa msaada wa mataifa ya magharibi.
Hii ni kusema, mataifa ya magharibi yatazidi kuweka makazi yake nchi za Mashariki ya Kati.
Watu wengi wataona hii ni hadithi ya kubuni lakini muda utaongea.
Palestine imeshakwisha, kituo kinachofuata ni wapi??
Jokajeusi
Palestine wametepeta, wameshakubali yaishe. Miaka Saba ijayo nchi yote itakuwa imekaliwa na Simba wa yuda
Kuwaonea huruma Palestine ni kupoteza muda, kwani watu wanaopigana nao ni watu wasiosikia la mtu, wao atakaye jichanganya ni kipigo tuu
Baada ya Israel kuidhibiti kabisa Palestine na kuwafurusha iwe Kwa kuwaua au kuwafukuza, kazi itakayofuata ni kuvamia mataifa mengine ya kiarabu yalipo Jirani.
Mambo haya yatatukia miaka ya hivi karibuni.
Waarabu watakimbilia zaidi upande wa Kusini lilipo Bara la Afrika, Kwa Wale waliosoma na wenye vipato watakimbilia ulaya, Mashariki ya mbali na Nchi za America.
Afrika itakumbwa na ugeni kutoka Kwa nchi za jamii ya kiarabu, zilizokimbia vita Kwa kiasi kikubwa
Afrika pia itakimbiliwa na Nchi za India na uchina kutokana na ongezeko la watu lililopitiliza katika mataifa hayo.
Nchi za Uarabuni zitaendelea kughasiwa na Israel na kufurushwa Kwa msaada wa mataifa ya magharibi.
Hii ni kusema, mataifa ya magharibi yatazidi kuweka makazi yake nchi za Mashariki ya Kati.
Watu wengi wataona hii ni hadithi ya kubuni lakini muda utaongea.
Palestine imeshakwisha, kituo kinachofuata ni wapi??
Jokajeusi