Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Huyu ndugu yetu hadi nimeshangaa, kila siku kusifia Hamas utafikiri karogwa, sijui huko kwny ibada zao wanafundishwa utopolo gani..Kwani kuna siku nilikuomba hicho kinyeo??
Yani ukitaka kujua Netanyahu na cabinets yake imechanganyikiwa ndio hapa, watoto zao wameuliwa wako fit kuliko hivyo vizee siunawapeleka makaburini tu 😄Hahahahaha😀😀
Jeshi la Israel, linalokabiliwa na uhaba wa wanajeshi, limeunda kikosi kipya kinachojumuisha wazazi wa wanajeshi walioanguka, kutumia huzuni yao. Kabla ya kuanza majukumu yao, wazazi hawa walitembelea makaburi ya watoto wao. Kanda hii ni mahususi kutoka kwa makaburi ya Kibbutz Be'eri.
View: https://x.com/suppressednws/status/1793949531341455728?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ni kweli Israel anapigika sana, tena sio kimya kimya tu, hadi leo hii ICJ, imewaamulu HAMAS, wapunguze kipigo kwani sasa ishakuwa balaa!!Kwahiyo akili ya kuokoa mateka imeshindikana kabisa?
Israel amekutana na upinzani mkali ai Israeli mbao hajawahi kufikiria maana unaenda mwezi wa 8 huu hakuna mafanikio yoyote aliyopata zaidi ya kuuwa watoto na wanawake wasio husika.
Anafinywa kimya kimya na Hamas hadi anashindwa ashike lipi aache lipi.
Yaani zaidi ya kuleta uharibifu wa majengo na miundombinu nothing else amefanikiwa.
Huyu serikali imuangalie kama gaidiHuyu ndugu yetu hadi nimeshangaa, kila siku kusifia Hamas utafikiri karogwa, sijui huko kwny ibada zao wanafundishwa utopolo gani..
Nahisi wanafundishwa kuwa mwarabu ndiyo nduguyo kuzidi hata mtanzania mwenzio, maana siyo kwa shobo hizo.
Wapi video ya uhai wa Kamanda? hizi news za uongo huwa zinachujwa na Allah kabisa yaani akiona ni uoongo mzuri anaruhusu Muslim kuzirusha hewani.... Miislam ni Miongo hadi keroWanaukumbi.
Serikali ya Israel ilitangaza kuwa kamanda wa ngazi ya juu Asaf Hamami amefariki na kumfanyia mazishi ya jeneza tupu.
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na mkewe Sara, walifanya ziara ya rambirambi kwa familia ya Kanali Asaf Hamami, kamanda wa Brigedi ya Kusini huko Gaza, iliyoanguka tarehe 7 Oktoba.
Israel wanawadanganya raia wake.
Hamas inafichua kwamba israel inalala kwa watu wake, kwenye video hapa chini walishiriki kwamba Asaf Hamimi alijeruhiwa tarehe 7 Oktoba na alichukuliwa mateka hadi Gaza.
Hata hivyo israel ‘IDF’ ilitangaza kuwa amefariki miezi 2 baada ya Oktoba 7 na hata kumfanyia mazishi.
Walidanganya.
View: https://x.com/hoaxvstruths/status/1793701450880831965?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hamas wamevuruga kabisa baada ya kuonyesha hayo mazishi ya uongo Hamas wakatoa video ya mateka ambayo yupo hai.
View: https://x.com/suppressednws/status/1793648636900827494?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe mlokole unapinga kila kitu 😀Wapi video ya uhai wa Kamanda? hizi news za uongo huwa zinachujwa na Allah kabisa yaani akiona ni uoongo mzuri anaruhusu Muslim kuzirusha hewani.... Miislam ni Miongo hadi kero
bi Hindu banaBi mkubwa wako mbona ananipa sana bila hata kumuomba jaribu kumuuliza au unamuonea wivu anafaidi.
Uongo mwingine wa mabwana zako.Wapi video ya uhai wa Kamanda? hizi news za uongo huwa zinachujwa na Allah kabisa yaani akiona ni uoongo mzuri anaruhusu Muslim kuzirusha hewani.... Miislam ni Miongo hadi kero
Bi hindu we n gaidi …..Bakora imeingia 😂
sikua najua hata mashoga wanakua magaidiBakora imeingia 😂
Tatizo unaokoteza news uchochoroni mwaUongo mwingine wa mabwana zako.
🚨BREAKING: ISRAEL YATUMIA HADITHI FEKI KUHALALISHA KUMPIGA BOMU RAFAH.
Waenezaji propaganda wa Israeli WAFICHULIWA tena kwa ushindi wao FEKI na propaganda, walihalalisha mgomo wa Rafah mara tu baada ya mahakama ya kimataifa ya haki [ICJ] kusimamisha operesheni yao ya Kijeshi huko Rafah kwa kuunda hadithi ya uwongo juu ya kujaribu kumuua mzee. Mwanachama wa Hamas
Walitangaza oparesheni ya kumuua kiongozi mkuu wa Hamas huko Rafah aitwaye Mohamed Shabana hata kwenye maduka yao ya kawaida kama YnetNews-IMG2- na kwenye vituo vingine vya TG wanasherehekea pia kwa kadi hii wakidai kuwa walimfukuza- IMG1
Hata hivyo Mohamed Shabana ni mwandishi wa habari wa Misri na hata hayuko Gaza, ana podcast kwenye Youtube na ya hivi majuzi ilikuwa saa 4 zilizopita. - IMG4
Walitumia hata picha ya kumbukumbu ya mwandishi wa habari wa Misri IMG2 ambayo unaweza pia kupata katika chombo hiki cha habari cha Misri [almasryalyoum.com/news/details/2…]
Watasema uongo daima.
View: https://x.com/suppressednws/status/1794042587432513596?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
So umeshindwa kuweka ushahidi wa Uhai wa Kamanda umebadilisha topoc hapo hapo... Unataka kumnyang'anya cheo cha best of deceiver Allah..Wewe mlokole unapinga kila kitu 😀
View: https://x.com/suppressednws/status/1793691291521548611?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe punguani unataka ushahidi gani wakati mabwana zako wameambiwa na Hamas huyo kamanda wenu tunae jqna wametekwa wengine😀Tatizo unaokoteza news uchochoroni mwa
So umeshindwa kuweka ushahidi wa Uhai wa Kamanda umebadilisha topoc hapo hapo... Unataka kumnyang'anya cheo cha best of deceiver Allah..
Hizi News seriolsly kabla hazijarushwa hewani huwa zinathibitishwa kwanza ndio maana umekwama umeingizwa cha kike na Hamas... tatizo muslim mnadanganya hadi mnapitiliza mimi naposema news ikiletwa na Mleta mada kama ni muslim wekea coution thibitisha kabla hujairusha maana kuongoza uongo ni sehemu ya ibada na ni nguzo katika uislam..
Uongo katika uislam aliuanzisha Mtume wenum alianza kwa kusema Jibril amemtokea Taqiyya,
amepewa wahwi Taqiyya,
Mungu wa Wayahudi Musa,Ibrahim,Jacob anaitwa Allah Taqiyya
Mama yake Yesu ana kaka zake wanaitwa Musa na Harun ambao ndio manabii walioishi kipindi cha Farao story hadi Mke wa Mudy alicheka kwa aina ile ya Taqiyya Maana utofauti wa miaka zaidi ya elfu hata ingekuwa kuna time machine kipindi hicho isingewekana.
Mudy alipaa kwa kutumia Punda Chotara Mule hadi mbingu ya Saba akapewa sarat 50 kisha akakutana na Musa akamuambia a burgain hadi Tano kwa siku Taqiyya wakati Qoran imeandikwa Sarat ni tatu pekee.
Allah huwa anashuka usiku hadi mbingu ya chini kusikiliza Sarat za waumini inamaana sarat za waislam Allah hasikii hata moja mpaka ashuke chini ni west of time hahahaha
Quran from fist page to the last ni stupidity
Mkuu we umeiona hiyo vidio ya jamaa akiwa hai?Wewe punguani unataka ushahidi gani wakati mabwana zako wameambiwa na Hamas huyo kamanda wenu tunae jqna wametekwa wengine😀
Sikia Abdul news zako za Kitaqiyya kawape watoto wa Madrassa huko mnapofundishana chuki... tulia Gaza imalizwe endeleeni kujifurahisha huku mnaisha...Wewe punguani unataka ushahidi gani wakati mabwana zako wameambiwa na Hamas huyo kamanda wenu tunae jqna wametekwa wengine😀
Jamaa wameshindwa kupambana na Hamas wamehamua kuwadanganya raia wao cha ajabu walolole wetu wa JF nao wanadanganywa lakini hawakubali😀
Tanzania ikipigana na kibiti ikaahinda itajisifu imeshinda .gaza ni kama gereza tu paleHata kama Israeli ikipotea leo lakini imetoa fundisho la kudumu kwa wahuni!! Kwani kipindi kile hamas wamevamia israel, Gaza yote ilishangilia na kuwaona mashujaa, sasa leo ni kilio tu, na na mji wa Gaza sasa umekuwa kama ule mji wa sodoma na gomola!! Yaani hata sasa Hamas wakubali matakwa ya Israel ya kuwaachia mateka ili vita iishe, bado wamepata hasara sana, japo Hamas ni kichwa ngumu ila kama hata sasa Israel akisitisha vita, hawatarudia tena kufanya walichokifanya oct 7!!Sasa anajipigia tu anavyotaka, hesbora nao cwaoni tena, wale wahouth wa yemen cwasikiii tena!! Nani ajitokeza "CHIZI KABEBA MJEGEJO"