Yamekuwa hayo tenaIsrael and USA are evil nations.
Akileta chockochoko Bibi anamtumia wale madem wa kiyahudi wakamsepeshe na nnya bila kuchamba kama kina Nassrallah na wenzie so lazima anyweye ili ugaidi uishe.Huyu ni kama hawana time naye lakin hakika alipo kwasasa ana hali mbaya, maana wanachokifanya hawa wanakata mirija yale yoote wanamzonga zonga kiasa kwamba emd of time hata wakiamua kumuacha bas hatakua na namna zaid ya ku comply na demands za Israel.
Ujue lile shambulio la Israel nchin iran kujib kisasa wengi walilichukulia poa poa wakasema hamna madhara yoyote ila kwasasa ndio watu wataamini kuwa Netanyahu alimaanisha kuwa Iran iliathiriwa vibaya sanaaa