Israel imefanya la kustajaabisha huko Syria

Israel ndiyo inayoleta utulivu wa kweli ( Peacemaker ) eneo hilo lililojaa mgambo mamluki wa Iran wanaotaka moto uwake nchi zingine Syria, Lebanon, Iraq, Jordan, Saudia Arabia, Yemen ili mabwanyenye maAyatollah nchini mwao Iran waendelee kuongoza.
 
Akileta chockochoko Bibi anamtumia wale madem wa kiyahudi wakamsepeshe na nnya bila kuchamba kama kina Nassrallah na wenzie so lazima anyweye ili ugaidi uishe.
 
Nyie bado mnamuamini Israel, si alisema kavunja silaha zote za Hamas na Hezbullah. Haya tuchukulie ulicho sema ni kweli we u ajua aliye wapa support hao rebels ni nani? Si Qatar, Turkey na wengine kama Saud Arabia unadhani watashindwa kununua silaha tena ni hatari zaidi kuliko alizo kiwa nazo Assad.

Afu we akili kwako Israel anasema kapiga chemical weapons, hivi we unamini hayo nani angebaki hai pale Damascus vichaa kama nyie ndio mtamini hizo propoganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…