Jews sio wakristo na wala hawamwamini Yesu. Wao hawatumii biblia wanatumia kitabu chao ambacho kimsingi hakina sehemu ya agano jipya.Hivi mkuu mbona data zinaonesha Israel kuna waislamu wengi kuliko wakristo wenzetu halafu hawa jews kumbe ni wakristo wenzetu? View attachment 446196
Na wala siyo mlokole kama alivyosema. Mimi siyo mlokole lakini walokole hawako hivyoUnaonekana hata hujui historia ya Israel na ya mashariki kati kwa ujumla; si dhani kama unauelewa unabii wa Biblia juu ya Israe na siku za.mwisho; kama wewe ni mlokole basi kwahili pole sana, nenda kumuulize mchungaji wako juu ya mambo haya, muulize hekalu alilolijenga Sulemani liko wapi? na kama halipo ni nani alilibomoa tena ni lini? Je hekalu alilolikuta Yesu Kristo liko wapi? maana Biblia inasema wazi kuwa Yesu aliingia hekaluni na mafarisayo wakaanza kumuuliza maswali, je hili hekalu nani aliliboa na ni lini,
halafu tafuta kujua utofauti kati ya hekalu alilolijenga Sulemanibna lile alilolikuta Yesu. hii itakusaidia kujua nini kinaenda kutokea madhariki ya kati hasa Israel. Tafuta uhusiano wa hekalu linalotaka kujengwa na Wayahudi na ujio wa mara ya pili wa Kristo. Soma Ezekieli sura mbili hizi zote 38 na ile ya 39 kisha ujue Mungu alimwambia nini Ezekieli kuhusu Israel na siku za mwisho; tafuta kujua chanzo cha vita ya magogu na ile Arimagedoni. Basi ikiwa wewe unajaribu kuwa na huruma zidi ya wafilisti basi hiyo ni huruma yakwako wala Mungu hayumo kwenye hiyo huruma ni lazima yote yatimie yaliyoandikwa. kumbuka vita ya Israel na wafilisti ni ya tangu enzi za Joshua, Waamuzi, Samweli, Mfalme Sauli, Mfalme Daudi hadi leo hii, na mwisho wa yote hayo Israel ndiyo mshindi wa hii vita ikiongozwa na Kristo mwenyewe akiwa MFALME.
Mh! yaani uilinganishe Israel na S. Africa? nyingine ni nchi ya Agano na Ahadi tena Takatifu halafu hiyo S. Africa yako in nchi ya kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine tu mfano
S. Sudan. Kwa miaka zaidi ys 1896 Wayahudi walisambaratishwa na Rumi mwaka 70 AD, mwaka wa 1945 baada ya WWII wakarejea sawaswa na neno la Nabii Isaya sura yote ya 54. Pole sana kwa wanaowaunga mkono wafilisti ila hawatafanikiwa hata kidogo maana mpaka mipaka yote na ardhi yote ya Israel ichukuliwe na Wayahudi kama ilivyotajwa na Mungu akimwambia Musa yaani kuanzia mto Jordan hadi milima ya goran ya Syria, hadi upande wa gaza na Yerushalayim yote bila kuigawanya ndiyo mji mkuu wa Yisrael. Hapa akina arafat, abas na wote akina yahe hawana chao.
Unaonekana hata hujui historia ya Israel na ya mashariki kati kwa ujumla; si dhani kama unauelewa unabii wa Biblia juu ya Israe na siku za.mwisho; kama wewe ni mlokole basi kwahili pole sana, nenda kumuulize mchungaji wako juu ya mambo haya, muulize hekalu alilolijenga Sulemani liko wapi? na kama halipo ni nani alilibomoa tena ni lini? Je hekalu alilolikuta Yesu Kristo liko wapi? maana Biblia inasema wazi kuwa Yesu aliingia hekaluni na mafarisayo wakaanza kumuuliza maswali, je hili hekalu nani aliliboa na ni lini,
halafu tafuta kujua utofauti kati ya hekalu alilolijenga Sulemanibna lile alilolikuta Yesu. hii itakusaidia kujua nini kinaenda kutokea madhariki ya kati hasa Israel. Tafuta uhusiano wa hekalu linalotaka kujengwa na Wayahudi na ujio wa mara ya pili wa Kristo. Soma Ezekieli sura mbili hizi zote 38 na ile ya 39 kisha ujue Mungu alimwambia nini Ezekieli kuhusu Israel na siku za mwisho; tafuta kujua chanzo cha vita ya magogu na ile Arimagedoni. Basi ikiwa wewe unajaribu kuwa na huruma zidi ya wafilisti basi hiyo ni huruma yakwako wala Mungu hayumo kwenye hiyo huruma ni lazima yote yatimie yaliyoandikwa. kumbuka vita ya Israel na wafilisti ni ya tangu enzi za Joshua, Waamuzi, Samweli, Mfalme Sauli, Mfalme Daudi hadi leo hii, na mwisho wa yote hayo Israel ndiyo mshindi wa hii vita ikiongozwa na Kristo mwenyewe akiwa MFALME.
Mh! yaani uilinganishe Israel na S. Africa? nyingine ni nchi ya Agano na Ahadi tena Takatifu halafu hiyo S. Africa yako in nchi ya kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine tu mfano
S. Sudan. Kwa miaka zaidi ys 1896 Wayahudi walisambaratishwa na Rumi mwaka 70 AD, mwaka wa 1945 baada ya WWII wakarejea sawaswa na neno la Nabii Isaya sura yote ya 54. Pole sana kwa wanaowaunga mkono wafilisti ila hawatafanikiwa hata kidogo maana mpaka mipaka yote na ardhi yote ya Israel ichukuliwe na Wayahudi kama ilivyotajwa na Mungu akimwambia Musa yaani kuanzia mto Jordan hadi milima ya goran ya Syria, hadi upande wa gaza na Yerushalayim yote bila kuigawanya ndiyo mji mkuu wa Yisrael. Hapa akina arafat, abas na wote akina yahe hawana chao.
Who cares Mimi ni Mlokole lakini utakatifu wa mwanadamu uko moyoni sio kwenye majengo au Ardhi. Hii tabia ya kumwaga damu kupigania Ardhi na Majengo ni upuuzi na ushetani. Hakuna sababu yoyote ya Irael kufanya Uchokozi wa kuvunja Msikiti kwa sababu ya historia ya Sulemani aliyeishi miaka karibu 4000 iliyopita.
Kama ni hivyo basi South Africa ichukue kuanzia Capetown mpaka ziwa Nyassa maana ilikuwa himaya Takatifu ya Mfalme Shaka.
Wewe ni mbumbumbu first class.achana na story za utotoni eti kwa kuwa ni gifted land ndo iwe na watu waelevu.... nitajie top ten ya wanasayans wakubwa au jamii yoyote muhimu... km waisrael watafika hata wa 4... tusidanganyane
Sawa mkuu ila ninawasiwasi kweli unausoma unabii wa Isaya 54Ni wale wasiojua historia na mwenendo wa siasa za kimaslahi za kimataifa vinginevyo tupo wakristu wengi tu ambao hatuiungi mkono Israel
Swali zuri sana hili; ukisoma Biblia kitabu cha Mwanzo 12:1 utaona Mungu anazungumza na Abramu ambaye baadae alimbadirisha jina kuwa Ibrahimu maana yake ni baba wa mataifa (Abramu maaa yake ni baba wa wengi) Ibrahimu maana yake ni baba wa mataifa.Evidence yako nini? biblia? na kama Mungu ni upendo kwanin awagawe watoto wake? maana palestine nao ni watu,wameumbwa kwa mfano wa Mungu. Wanastahili pia upendo na wao je waende wapi?
F35 ni overrated, kwahyo unataka kunambia Su-35 sio overrated?!mkuu hizo F-35 ziko overeted,hazina tofauti na ndege zingine,
halafu sikuhizi wale jamaa washakomaa na vita,ndege sio tishio tena,
ila kuhusu hilo hekalu,hivi unafikiri waisrael wanashindwa kulibomoa?,
tatizo lilipo ni matokeo ya huo ubomoaji,
kwanza kuna unabii fake waliosema utatimia ndo hekalu lijengwa,hautatimia kwahiyo itaonekana kumbe zilikuwa ni hekaya tu za abunuwasi na hivyo uwepo wa taifa la israel utaonekana kuwa umebase katika uongo,
pili vita itakayotokea baada ya hapo,inabidi kwanza wajiulize sana kabla hawajabomoa pale.
Kitu kingine,ni kuwa hapajawahi kuwepo sinagogi pale kabla mfalme wa iran,cryrus hajawajengea wayahudi baada ya kuwatimua wababel.
Palikuwa na kibanda tu cha mita 20x20,msingi unaonekana pale ni mabaki ya jengo lililojengwa na wairan miaka 3000 iliyopita
Pole sana maana hujajua hata ni akina nani wana sauti juu ya USA, hujajua hata utajiri wote wa USA uko mikononi mwa akina nani, hata bado hujafahamu CIA na FBI zimejaa watu gani; hujajua ni nani mhusika mkuu wa technologia ya USA; kama USA wanataka kuanguka basi waambie waachane na Israel uone kama watakukubalia maana wanajua fika nini kimewafikisha hapo walipo. Kila rais wa USA anayeshika tawala swala la Israel siyo la kujadili bali ni kutekeleza tu tena bila mashariti yoyoten, ikiwa rais atajifanya anajua badi hawezi amaliza miaka miwili ndani ya White House itabidi achague mawili kujiuzuru au akomae halafu wamnanii hii.Bila ya USA hakuna Israel. Wanaitegemea sana USA na inawalinda.
Unaweza kuona hii picha na kuona jinsi gani historia inavyojieleza
View attachment 446314Unaweza kuona hii picha na kuona jinsi gani historia inavyojieleza
Kwa akili uliyokuwa nayo naomba tu nikupe polePole sana maana hujajua hata ni akina nani wana sauti juu ya USA, hujajua hata utajiri wote wa USA uko mikononi mwa akina nani, hata bado hujafahamu CIA na FBI zimejaa watu gani; hujajua ni nani mhusika mkuu wa technologia ya USA; kama USA wanataka kuanguka basi waambie waachane na Israel uone kama watakukubalia maana wanajua fika nini kimewafikisha hapo walipo. Kila rais wa USA anayeshika tawala swala la Israel siyo la kujadili bali ni kutekeleza tu tena bila mashariti yoyoten, ikiwa rais atajifanya anajua badi hawezi amaliza miaka miwili ndani ya White House itabidi achague mawili kujiuzuru au akomae halafu wamnanii hii.
Dini/imani haina utofauti sana na utumwa wa kifikra. Hz dini zimefanya watu kuwa watumwa kifikra na ukijaribu kuhoji unaonekana ni agent wa shetaniUnaonekana hata hujui historia ya Israel na ya mashariki kati kwa ujumla; si dhani kama unauelewa unabii wa Biblia juu ya Israe na siku za.mwisho; kama wewe ni mlokole basi kwahili pole sana, nenda kumuulize mchungaji wako juu ya mambo haya, muulize hekalu alilolijenga Sulemani liko wapi? na kama halipo ni nani alilibomoa tena ni lini? Je hekalu alilolikuta Yesu Kristo liko wapi? maana Biblia inasema wazi kuwa Yesu aliingia hekaluni na mafarisayo wakaanza kumuuliza maswali, je hili hekalu nani aliliboa na ni lini,
halafu tafuta kujua utofauti kati ya hekalu alilolijenga Sulemanibna lile alilolikuta Yesu. hii itakusaidia kujua nini kinaenda kutokea madhariki ya kati hasa Israel. Tafuta uhusiano wa hekalu linalotaka kujengwa na Wayahudi na ujio wa mara ya pili wa Kristo. Soma Ezekieli sura mbili hizi zote 38 na ile ya 39 kisha ujue Mungu alimwambia nini Ezekieli kuhusu Israel na siku za mwisho; tafuta kujua chanzo cha vita ya magogu na ile Arimagedoni. Basi ikiwa wewe unajaribu kuwa na huruma zidi ya wafilisti basi hiyo ni huruma yakwako wala Mungu hayumo kwenye hiyo huruma ni lazima yote yatimie yaliyoandikwa. kumbuka vita ya Israel na wafilisti ni ya tangu enzi za Joshua, Waamuzi, Samweli, Mfalme Sauli, Mfalme Daudi hadi leo hii, na mwisho wa yote hayo Israel ndiyo mshindi wa hii vita ikiongozwa na Kristo mwenyewe akiwa MFALME.
Mh! yaani uilinganishe Israel na S. Africa? nyingine ni nchi ya Agano na Ahadi tena Takatifu halafu hiyo S. Africa yako in nchi ya kawaida tu kama zilivyo nchi nyingine tu mfano
S. Sudan. Kwa miaka zaidi ys 1896 Wayahudi walisambaratishwa na Rumi mwaka 70 AD, mwaka wa 1945 baada ya WWII wakarejea sawaswa na neno la Nabii Isaya sura yote ya 54. Pole sana kwa wanaowaunga mkono wafilisti ila hawatafanikiwa hata kidogo maana mpaka mipaka yote na ardhi yote ya Israel ichukuliwe na Wayahudi kama ilivyotajwa na Mungu akimwambia Musa yaani kuanzia mto Jordan hadi milima ya goran ya Syria, hadi upande wa gaza na Yerushalayim yote bila kuigawanya ndiyo mji mkuu wa Yisrael. Hapa akina arafat, abas na wote akina yahe hawana chao.
Big up kwa fikra pevuWho cares Mimi ni Mlokole lakini utakatifu wa mwanadamu uko moyoni sio kwenye majengo au Ardhi. Hii tabia ya kumwaga damu kupigania Ardhi na Majengo ni upuuzi na ushetani. Hakuna sababu yoyote ya Irael kufanya Uchokozi wa kuvunja Msikiti kwa sababu ya historia ya Sulemani aliyeishi miaka karibu 4000 iliyopita.
Kama ni hivyo basi South Africa ichukue kuanzia Capetown mpaka ziwa Nyassa maana ilikuwa himaya Takatifu ya Mfalme Shaka.