Israel imepokea ndege za kijeshi kutoka USA

Nimeanza kuelewa kiundani kidogo
 
Mada inahusu ndege ya kijeshi ya F 35 lakini wahafidhina wa kidini wamegeuza mada na kuharibu Uzi.Cha kushangaza mada yoyote inayohusu Israel, Iran na mashariki ya kati lazima Uzi utawaliwe na itikadi za kidini sijajua kwanini.
 
Uongo uliozidi hadi unakera na kuwa
Pumba tupu matapishi[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…