Israel imeshaua wacheza muziki na mateka. Izuiwe kujichukulia sheria mkononi

Israel imeshaua wacheza muziki na mateka. Izuiwe kujichukulia sheria mkononi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ukweli umeanza kujulikana kuwa waliokufa kwenye tamasha la muziki eneo la Nova wengi wao waliuliwa na helikopta za Jeshi la Israel na sio wanamgambo wa Hamas.

Kuhusiana na mateka wengi wao itakuwa wameshauliwa na Israel yenyewe na wachache wametoroka na wapiganaji wa Hamas.

Msemaji wa jeshi la Israel ameweka wazi mbinu iliyotumika kuwauwa wakitaraji wanawauwa Hamas.Mbinu hiyo ni kwa kutumia aina ya kemikali inayoripuka na kutoa moshi mwingi ambayo wamekuwa wakiitumia kuiingiza kila kwenye tundu la Handaki.

Mbinu hiyo msemaji huyo alisema aina hiyo ya kemikali inauwa kila kilichomo ndani yake na hutuo moshi kwenye mlango mwengine wa handaki hilo ili wao waweze kujua milango yake mingine.

Alipoulizwa kuhusu usalama wa mateka katika aina hiyo ya kushambulia Hamas, akasema wao huwa hawafanyi hivyo mpaka wapate uhakika kuwa hakuna mateka eneo hilo.Kauli hii ilikuwa ni ya kubabaika baada ya swali la kushtukiza kwani kama walijuwa mateka wapo wapi wasingepiga kwa namna hiyo kama kweli nia ni kwaokoa mateka.Na kama walijuwa wapo Hamas kwa kukisia basi lazima walijuwa na mateka wapo pamoja nao.

Mapigo ya aina hiyo ni aina ya mapigo na hukumu za kujichukulia sheria mkononi kuhukumu wasiohusika na hili ni tatizo linalipigiwa kelele kila siku na serikali yetu na serikali nyengine duniani.

Ukipata madhara mtaani basi hupaswi kupiga kila mmoja unayemuona eneo hilo.Fanya uchunguzi mpaka umpate muhusika halisi na umpeleke kwenye vyombo vya sheria.

Kuua vichanga na wagonjwa na wanafunzi pamoja na kupiga watu kwenye tamasha la muziki na kutumia kemikali kwenye mapango ya Gaza ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.Na ni unyama kuuwa mpaka watu wako mwenyewe kwa kutaka kuwapiga maadui zako.
 
Ukweli umeanza kujulikana kuwa waliokufa kwenye tamasha la muziki eneo la Nova wengi wao waliuliwa na helikopta za Jeshi la Israel na sio wanamgambo wa Hamas.

Kuhusiana na mateka wengi wao itakuwa wameshauliwa na Israel yenyewe na wachache wametoroka na wapiganaji wa Hamas.

Msemaji wa jeshi la Israel ameweka wazi mbinu iliyotumika kuwauwa wakitaraji wanawauwa Hamas.Mbinu hiyo ni kwa kutumia aina ya kemikali inayoripuka na kutoa moshi mwingi ambayo wamekuwa wakiitumia kuiingiza kila kwenye tundu la Handaki.

Mbinu hiyo msemaji huyo alisema aina hiyo ya kemikali inauwa kila kilichomo ndani yake na hutuo moshi kwenye mlango mwengine wa handaki hilo ili wao waweze kujua milango yake mingine.

Alipoulizwa kuhusu usalama wa mateka katika aina hiyo ya kushambulia Hamas, akasema wao huwa hawafanyi hivyo mpaka wapate uhakika kuwa hakuna mateka eneo hilo.Kauli hii ilikuwa ni ya kubabaika baada ya swali la kushtukiza kwani kama walijuwa mateka wapo wapi wasingepiga kwa namna hiyo kama kweli nia ni kwaokoa mateka.Na kama walijuwa wapo Hamas kwa kukisia basi lazima walijuwa na mateka wapo pamoja nao.

Mapigo ya aina hiyo ni aina ya mapigo na hukumu za kujichukulia sheria mkononi kuhukumu wasiohusika na hili ni tatizo linalipigiwa kelele kila siku na serikali yetu na serikali nyengine duniani.

Ukipata madhara mtaani basi hupaswi kupiga kila mmoja unayemuona eneo hilo.Fanya uchunguzi mpaka umpate muhusika halisi na umpeleke kwenye vyombo vya sheria.

Kuua vichanga na wagonjwa na wanafunzi pamoja na kupiga watu kwenye tamasha la muziki na kutumia kemikali kwenye mapango ya Gaza ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.Na ni unyama kuuwa mpaka watu wako mwenyewe kwa kutaka kuwapiga maadui zako.
Gaza ndio inaondoka hivyo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli umeanza kujulikana kuwa waliokufa kwenye tamasha la muziki eneo la Nova wengi wao waliuliwa na helikopta za Jeshi la Israel na sio wanamgambo wa Hamas.

Kuhusiana na mateka wengi wao itakuwa wameshauliwa na Israel yenyewe na wachache wametoroka na wapiganaji wa Hamas.

Msemaji wa jeshi la Israel ameweka wazi mbinu iliyotumika kuwauwa wakitaraji wanawauwa Hamas.Mbinu hiyo ni kwa kutumia aina ya kemikali inayoripuka na kutoa moshi mwingi ambayo wamekuwa wakiitumia kuiingiza kila kwenye tundu la Handaki.

Mbinu hiyo msemaji huyo alisema aina hiyo ya kemikali inauwa kila kilichomo ndani yake na hutuo moshi kwenye mlango mwengine wa handaki hilo ili wao waweze kujua milango yake mingine.

Alipoulizwa kuhusu usalama wa mateka katika aina hiyo ya kushambulia Hamas, akasema wao huwa hawafanyi hivyo mpaka wapate uhakika kuwa hakuna mateka eneo hilo.Kauli hii ilikuwa ni ya kubabaika baada ya swali la kushtukiza kwani kama walijuwa mateka wapo wapi wasingepiga kwa namna hiyo kama kweli nia ni kwaokoa mateka.Na kama walijuwa wapo Hamas kwa kukisia basi lazima walijuwa na mateka wapo pamoja nao.

Mapigo ya aina hiyo ni aina ya mapigo na hukumu za kujichukulia sheria mkononi kuhukumu wasiohusika na hili ni tatizo linalipigiwa kelele kila siku na serikali yetu na serikali nyengine duniani.

Ukipata madhara mtaani basi hupaswi kupiga kila mmoja unayemuona eneo hilo.Fanya uchunguzi mpaka umpate muhusika halisi na umpeleke kwenye vyombo vya sheria.

Kuua vichanga na wagonjwa na wanafunzi pamoja na kupiga watu kwenye tamasha la muziki na kutumia kemikali kwenye mapango ya Gaza ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.Na ni unyama kuuwa mpaka watu wako mwenyewe kwa kutaka kuwapiga maadui zako.
Endelea kulialia lakini HAMAS lazima wote wauwawe.
 
Ukweli umeanza kujulikana kuwa waliokufa kwenye tamasha la muziki eneo la Nova wengi wao waliuliwa na helikopta za Jeshi la Israel na sio wanamgambo wa Hamas.

Kuhusiana na mateka wengi wao itakuwa wameshauliwa na Israel yenyewe na wachache wametoroka na wapiganaji wa Hamas.

Msemaji wa jeshi la Israel ameweka wazi mbinu iliyotumika kuwauwa wakitaraji wanawauwa Hamas.Mbinu hiyo ni kwa kutumia aina ya kemikali inayoripuka na kutoa moshi mwingi ambayo wamekuwa wakiitumia kuiingiza kila kwenye tundu la Handaki.

Mbinu hiyo msemaji huyo alisema aina hiyo ya kemikali inauwa kila kilichomo ndani yake na hutuo moshi kwenye mlango mwengine wa handaki hilo ili wao waweze kujua milango yake mingine.

Alipoulizwa kuhusu usalama wa mateka katika aina hiyo ya kushambulia Hamas, akasema wao huwa hawafanyi hivyo mpaka wapate uhakika kuwa hakuna mateka eneo hilo.Kauli hii ilikuwa ni ya kubabaika baada ya swali la kushtukiza kwani kama walijuwa mateka wapo wapi wasingepiga kwa namna hiyo kama kweli nia ni kwaokoa mateka.Na kama walijuwa wapo Hamas kwa kukisia basi lazima walijuwa na mateka wapo pamoja nao.

Mapigo ya aina hiyo ni aina ya mapigo na hukumu za kujichukulia sheria mkononi kuhukumu wasiohusika na hili ni tatizo linalipigiwa kelele kila siku na serikali yetu na serikali nyengine duniani.

Ukipata madhara mtaani basi hupaswi kupiga kila mmoja unayemuona eneo hilo.Fanya uchunguzi mpaka umpate muhusika halisi na umpeleke kwenye vyombo vya sheria.

Kuua vichanga na wagonjwa na wanafunzi pamoja na kupiga watu kwenye tamasha la muziki na kutumia kemikali kwenye mapango ya Gaza ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.Na ni unyama kuuwa mpaka watu wako mwenyewe kwa kutaka kuwapiga maadui zako.
vita ni kitu mbaya sana
 
Endelea kulialia lakini HAMAS lazima wote wauwawe.
Vita havijaisha huwezi kujua nani hatimae atakuwa mshindi wa mwisho.
Pamoja na hivyo Hamas ni jina la wanaharakati na hawakuwepo huko nyuma.Hata wakipotea kwa jina hilo wataibuka wengine kwa jina jengine na kuendelea na mapambano.Jiulize tu na wewe Jee Israel baada ya miaka 75 itaendelea kuwepo tu kupigana na viumbe wanavyovionea.
Unafikiri huko Israel nako kila siku watakubali kuishi kwa hofu ya kurushiwa vitu hewani.
 
Ukweli umeanza kujulikana kuwa waliokufa kwenye tamasha la muziki eneo la Nova wengi wao waliuliwa na helikopta za Jeshi la Israel na sio wanamgambo wa Hamas.

Kuhusiana na mateka wengi wao itakuwa wameshauliwa na Israel yenyewe na wachache wametoroka na wapiganaji wa Hamas.

Msemaji wa jeshi la Israel ameweka wazi mbinu iliyotumika kuwauwa wakitaraji wanawauwa Hamas.Mbinu hiyo ni kwa kutumia aina ya kemikali inayoripuka na kutoa moshi mwingi ambayo wamekuwa wakiitumia kuiingiza kila kwenye tundu la Handaki.

Mbinu hiyo msemaji huyo alisema aina hiyo ya kemikali inauwa kila kilichomo ndani yake na hutuo moshi kwenye mlango mwengine wa handaki hilo ili wao waweze kujua milango yake mingine.

Alipoulizwa kuhusu usalama wa mateka katika aina hiyo ya kushambulia Hamas, akasema wao huwa hawafanyi hivyo mpaka wapate uhakika kuwa hakuna mateka eneo hilo.Kauli hii ilikuwa ni ya kubabaika baada ya swali la kushtukiza kwani kama walijuwa mateka wapo wapi wasingepiga kwa namna hiyo kama kweli nia ni kwaokoa mateka.Na kama walijuwa wapo Hamas kwa kukisia basi lazima walijuwa na mateka wapo pamoja nao.

Mapigo ya aina hiyo ni aina ya mapigo na hukumu za kujichukulia sheria mkononi kuhukumu wasiohusika na hili ni tatizo linalipigiwa kelele kila siku na serikali yetu na serikali nyengine duniani.

Ukipata madhara mtaani basi hupaswi kupiga kila mmoja unayemuona eneo hilo.Fanya uchunguzi mpaka umpate muhusika halisi na umpeleke kwenye vyombo vya sheria.

Kuua vichanga na wagonjwa na wanafunzi pamoja na kupiga watu kwenye tamasha la muziki na kutumia kemikali kwenye mapango ya Gaza ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.Na ni unyama kuuwa mpaka watu wako mwenyewe kwa kutaka kuwapiga maadui zako.
we gaidi, tulia, wanaume wawahishe Kwa mabikra 72. Acha vistori vya kuungaunga
 
we gaidi, tulia, wanaume wawahishe Kwa mabikra 72. Acha vistori vya kuungaunga
Jee wewe hutaki hao mabikra.Unachagua jehanamu ambao ni moto kuliko ule unaouona Gaza.
 
Vita havijaisha huwezi kujua nani hatimae atakuwa mshindi wa mwisho.
Pamoja na hivyo Hamas ni jina la wanaharakati na hawakuwepo huko nyuma.Hata wakipotea kwa jina hilo wataibuka wengine kwa jina jengine na kuendelea na mapambano.Jiulize tu na wewe Jee Israel baada ya miaka 75 itaendelea kuwepo tu kupigana na viumbe wanavyovionea.
Unafikiri huko Israel nako kila siku watakubali kuishi kwa hofu ya kurushiwa vitu hewani.
Black September waliishakuwepo wakawa "wiped out" na Israel baada ya Munich Olympics Massacre. Na hawa HAMAS watakuwa "wiped out" baada ya shambulizi lao la kijinga.
 
Vita havijaisha huwezi kujua nani hatimae atakuwa mshindi wa mwisho.
Pamoja na hivyo Hamas ni jina la wanaharakati na hawakuwepo huko nyuma.Hata wakipotea kwa jina hilo wataibuka wengine kwa jina jengine na kuendelea na mapambano.Jiulize tu na wewe Jee Israel baada ya miaka 75 itaendelea kuwepo tu kupigana na viumbe wanavyovionea.
Unafikiri huko Israel nako kila siku watakubali kuishi kwa hofu ya kurushiwa vitu hewani.
Duuu bado unasubiri mshindi? Aisee umetisha sanaaa
 
Black September waliishakuwepo wakawa "wiped out" na Israel baada ya Munich Olympics Massacre. Na hawa HAMAS watakuwa "wiped out" baada ya shambulizi lao la kijinga.
Nyie watu wajinga mmeshaambiwa shambulio alifanya muisrael mwenyewe na ndege zake.tumieni akili bwana
 
Ukweli umeanza kujulikana kuwa waliokufa kwenye tamasha la muziki eneo la Nova wengi wao waliuliwa na helikopta za Jeshi la Israel na sio wanamgambo wa Hamas.

Kuhusiana na mateka wengi wao itakuwa wameshauliwa na Israel yenyewe na wachache wametoroka na wapiganaji wa Hamas.

Msemaji wa jeshi la Israel ameweka wazi mbinu iliyotumika kuwauwa wakitaraji wanawauwa Hamas.Mbinu hiyo ni kwa kutumia aina ya kemikali inayoripuka na kutoa moshi mwingi ambayo wamekuwa wakiitumia kuiingiza kila kwenye tundu la Handaki.

Mbinu hiyo msemaji huyo alisema aina hiyo ya kemikali inauwa kila kilichomo ndani yake na hutuo moshi kwenye mlango mwengine wa handaki hilo ili wao waweze kujua milango yake mingine.

Alipoulizwa kuhusu usalama wa mateka katika aina hiyo ya kushambulia Hamas, akasema wao huwa hawafanyi hivyo mpaka wapate uhakika kuwa hakuna mateka eneo hilo.Kauli hii ilikuwa ni ya kubabaika baada ya swali la kushtukiza kwani kama walijuwa mateka wapo wapi wasingepiga kwa namna hiyo kama kweli nia ni kwaokoa mateka.Na kama walijuwa wapo Hamas kwa kukisia basi lazima walijuwa na mateka wapo pamoja nao.

Mapigo ya aina hiyo ni aina ya mapigo na hukumu za kujichukulia sheria mkononi kuhukumu wasiohusika na hili ni tatizo linalipigiwa kelele kila siku na serikali yetu na serikali nyengine duniani.

Ukipata madhara mtaani basi hupaswi kupiga kila mmoja unayemuona eneo hilo.Fanya uchunguzi mpaka umpate muhusika halisi na umpeleke kwenye vyombo vya sheria.

Kuua vichanga na wagonjwa na wanafunzi pamoja na kupiga watu kwenye tamasha la muziki na kutumia kemikali kwenye mapango ya Gaza ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.Na ni unyama kuuwa mpaka watu wako mwenyewe kwa kutaka kuwapiga maadui zako.
Naona wafia dini sasahivi mnafanya Conspiracy theories ni bora Hamas waachilie mateka na waombe radhi myahudi hana msamaha na hili kipigo kinaendelea

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom