Israel inalindwa na maombi ya watakatifu ulimwenguni wakiwemo wa pPalestine na Wairan

Israel inalindwa na maombi ya watakatifu ulimwenguni wakiwemo wa pPalestine na Wairan

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.

Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel.

Omba kwa ajili ya Israel
 
Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.

Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.

Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.
Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel

Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu
Siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel

Omba kwa ajili ya Israel
Mkuu wewe ni kengeza wa imani.
Pengine hao waisraeli wakikuua ndio utaamini kuwa hawana roho ya Mungu ndani yao.
 
Acha uongo huo...
Ombea Taifa lako lenye majanga kede!
Israel what! Israel this! Israel that!
Primitive one!
Acha kufokea watu😀😀😀 amekuachia wewe kuombea taifa lako. We endelea kumuombea mama abdul mkazi wa kizimkazi mwenzio😀😀
 
Acha kufokea watu😀😀😀 amekuachia wewe kuombea taifa lako. We endelea kumuombea mama abdul mkazi wa kizimkazi mwenzio😀😀
🤣🤣🤣Pole sana,hata mjitutumue vipi bado haibadiliki kuwa wewe ni mtanzania ...mwafrika...ngozi nyeusi
Endelea kuwaombea wazungu🤭
 
🤣🤣🤣Pole sana,hata mjitutumue vipi bado haibadiliki kuwa wewe ni mtanzania ...mwafrika...ngozi nyeusi
Endelea kuwaombea wazungu🤭
Kwani kibaya kipi kuwaombea wazungu? Tumekuachia wewe mkuu kuwaombea weusi. Kwani shida nini?
 
Back
Top Bottom