Mkuu wewe ni kengeza wa imani.Dua, maombi, mifungo ya Mara kwa Mara ndiyo Siri ya mafaniko ya Israel.
Taifa la Israel linaombewa Sana duniani na mataifa yote.
Jambo la kushangaza hata wa Palestina na wairan wakristo wanaomba kwa ajili ya Israel.
Moseb Hassan Yosep, mtoto wa muasisi wa HAMAS ni miongoni mwa wa Palestina wana maombi wa Israel
Maombi, Dua, mifungo ndiyo ufunguo wa kila kitu
Siku watakatifu wakiacha kuomba, itakuwa ndiyo mwisho wa Israel
Omba kwa ajili ya Israel
Taifa kwa jeshi lake la mabavu wameua zaidi ya watu 40,000, halafu mpuuzi mmoja anafikiri hao ni sisimizi.Acha uongo huo...
Ombea Taifa lako lenye majanga kede!
Israel what! Israel this! Israel that!
Primitive one!
Hyo ng'ombe Moseb anayoitaja ukiifuatilia unaona ni kama kichaa Fulani hivi🤠🤠...akiongea mda wte katoa mimacho kama kabanwa na mlangoOna huyu ng'ombe
Waisrael wakuue kwa sababu gani mnawachokoza wenyewe nyie wafia dini na chuki mnazofundishwa madrasaMkuu wewe ni kengeza wa imani.
Pengine hao waisraeli wakikuua ndio utaamini kuwa hawana roho ya Mungu ndani yao.
Inashangaza sanaTaifa kwa jeshi lake la mabavu wameua zaidi ya watu 40,000, halafu mpuuzi mmoja anafikiri hao ni sisimizi.
Acha kufokea watu😀😀😀 amekuachia wewe kuombea taifa lako. We endelea kumuombea mama abdul mkazi wa kizimkazi mwenzio😀😀Acha uongo huo...
Ombea Taifa lako lenye majanga kede!
Israel what! Israel this! Israel that!
Primitive one!
Hakuna Cha madrasa Wala nini,jifunzeni kuombea taifa lenu mkuuWaisrael wakuue kwa sababu gani mnawachokoza wenyewe nyie wafia dini na chuki mnazofundishwa madrasa
🤣🤣🤣Pole sana,hata mjitutumue vipi bado haibadiliki kuwa wewe ni mtanzania ...mwafrika...ngozi nyeusiAcha kufokea watu😀😀😀 amekuachia wewe kuombea taifa lako. We endelea kumuombea mama abdul mkazi wa kizimkazi mwenzio😀😀
Kwani kibaya kipi kuwaombea wazungu? Tumekuachia wewe mkuu kuwaombea weusi. Kwani shida nini?🤣🤣🤣Pole sana,hata mjitutumue vipi bado haibadiliki kuwa wewe ni mtanzania ...mwafrika...ngozi nyeusi
Endelea kuwaombea wazungu🤭
Mh!🤭Kwani kibaya kipi kuwaombea wazungu? Tumekuachia wewe mkuu kuwaombea weusi. Kwani shida nini?