S-series
Member
- Jul 2, 2014
- 29
- 42
Amani ya Mola I we juu ya wote wapendao haki.
Nchi za Magharibi na Marekani zimekuwa na mipango ya muda mrefu ya kuangamiza uchumi wa mataifa ya Mashariki ya kati na ISRAELI ndio mfanikishaji wake hivyo nadhani juu ni wakati muafaka wa kuisambaratisha ISRAEL ili kuvunja ngome ya magharibi inayoratibu mipango hiyo ya muda mrefu.
Hv vikundi vya kiislamu ktk hizi nchi za kiarabu hatujaona vikiwa chanzo cha ukosefu wa utulivu ndani ya nchi zao ndo maana tunaona sio HAMAS, HEZBOLLAH wala HOUTH ambao wanawaonea raia wa nchi zao isipokuwa baadhi ya vikundi ambavyo vinasapotiwa na kutumiwa na Marekani na washirika wake.
Tujipe muda yajayo sio mepesi kwa ISRAILI nipo paleeeeee nimekaa nasubiri matokeo tu.
Nchi za Magharibi na Marekani zimekuwa na mipango ya muda mrefu ya kuangamiza uchumi wa mataifa ya Mashariki ya kati na ISRAELI ndio mfanikishaji wake hivyo nadhani juu ni wakati muafaka wa kuisambaratisha ISRAEL ili kuvunja ngome ya magharibi inayoratibu mipango hiyo ya muda mrefu.
Hv vikundi vya kiislamu ktk hizi nchi za kiarabu hatujaona vikiwa chanzo cha ukosefu wa utulivu ndani ya nchi zao ndo maana tunaona sio HAMAS, HEZBOLLAH wala HOUTH ambao wanawaonea raia wa nchi zao isipokuwa baadhi ya vikundi ambavyo vinasapotiwa na kutumiwa na Marekani na washirika wake.
Tujipe muda yajayo sio mepesi kwa ISRAILI nipo paleeeeee nimekaa nasubiri matokeo tu.