Israel itawalipa dola 1200 wafanyakazi wa mashambani

Israel itawalipa dola 1200 wafanyakazi wa mashambani

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 Wafanyakazi wa mashambani na ujenzi.

Hii pesa ni nyingi sana kwa maisha ya Afrika. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga

Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo kama Israel inaweza kuajili watu wengi kiasi hiki.

Sisi Afrika tumekosa wapi. Kwanini tunashindwa kuajili vijana wetu kwa wingi na mishahala mizuri.

Tuna matatizo gani. Israel imeajili watu kutoka dunia nzima
sisi Afrika tunakosea wapi
 
s
Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 wafanyakazi wa mashambani na ujenzi.

Hii pesa ni nyingi Sana kwa maisha ya Africa. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga

Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo Kama Israel inaweza kuajili watu wengi kiasi hiki. Sisi Africa tumekosa wapi. Kwanini tunashindwa kuajili vijana wetu kwa wingi na mishahala mizuri. Tuna matatizo gani. Israel imeajili watu kutoka dunia nzima
Sisi Africa tunakosea wapi
lini afrika tumekua na akili mkuu
 
Haya mambo tuendelee tu kuyasoma mitandaoni,wapo walioahidiwa pesa ndefu,nyumba yeye viyoyozi, laaaaah wakaishia kulala kwenye maturubai kama wapo msibani.
 
Mswahili hawezi utawala kama alivyowahi kusema kaburu P.W. Bother kwamba "kati ya makosa yote ambalo haliwezi kusameheka ni kumpa mwafrika haki ya kutawala."

Leo hii angalia Afrika Kusini ya makaburu na hii ya hawa waswahili tofauti ni kama usiku na mchana.
 
Mnaambiwa ni kazi za mashambani kumbe mnaenda kubebeshwa silaha mkapambane na Hamas ambao vijana wa kiyahudi wamewashindwa kutokana na malezi ya kishogashoga
 
Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 Wafanyakazi wa mashambani na ujenzi.

Hii pesa ni nyingi sana kwa maisha ya Afrika. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga

Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo kama Israel inaweza kuajili watu wengi kiasi hiki.

Sisi Afrika tumekosa wapi. Kwanini tunashindwa kuajili vijana wetu kwa wingi na mishahala mizuri.

Tuna matatizo gani. Israel imeajili watu kutoka dunia nzima
sisi Afrika tunakosea wapi
Ngoja kwanza viongozi wamalize kujenga makwao.
 
Sababu Africa maisha ni rahisi kuliko Israel huku vitu vingi ni bure free from nature ili uishi
 
Uliskia wapi watu wanalima VITANI?[emoji4]
Akili huna Kwa hiyo ukiwa vitani hulimi? Tanzania tulipopigana na Uganda tulikuwa hatulimi ?

Hizo kazi ziko Israel ambako hakuna vita walishawavurumusha siku nyingi.Vita Iko Gaza sio Israel

Watanzania changamkieni Fursa Tanzania Sasa hivi Kuna uhaba wa Dola ukienda hata Benki wanasema hawana .Na inapanda thamani Kila siku ukifanya kazi hata miezi sita tu Kwa mshahara wa Dola 1,200 una pesa nyingi sana tu ya kuanzia Maisha Tanzania Kwa malipo hayo ya Dola .Ukipata ya mwaka ndio kabisa umetoka kimaisha

Mpango mzima Sasa hivi ni kulipwa Dola .Hela ya Tanzania thamani inashuka Kila siku.Ujanja kuwahi

Fursa hiyo
 
Israel inatafuta wanajeshi kijanja[emoji4]
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja...kale kanchi ni project ya wakubwa....angalia raia wao wte wanatoka mataifa tofautitofauti ya huko magharibi....halafu kwa mwaka wanapewa dolare bilioni 3 kwa mambo Yao na wale makaka zao wa kule kaskazini....Sasa hayo mahela yte washindwe kutafuta cheap labour huku Dunia ya saba....Linganisha hzi nchi zetu za Afrika wenyewe kwa wenyewe sio hzi nchi na wale Wateuliwa wa Mungu🤠🤠
 
Wakifyekwa hatutaki muanze kulialiaa hapa na kutia tia huruma
 
Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 Wafanyakazi wa mashambani na ujenzi.

Hii pesa ni nyingi sana kwa maisha ya Afrika. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga
mkiingia kichwa kichwa mtaku
Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo kama Israel inaweza kuajili watu wengi kiasi hiki.

Sisi Afrika tumekosa wapi. Kwanini tunashindwa kuajili vijana wetu kwa wingi na mishahala mizuri.

Tuna matatizo gani. Israel imeajili watu kutoka dunia nzima
sisi Afrika tunakosea wapi
hii mitego ya wayahudi mnaoendekeza njaa mtakufa huku kipande cha mkate mdomoni
 
Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 Wafanyakazi wa mashambani na ujenzi.

Hii pesa ni nyingi sana kwa maisha ya Afrika. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga

Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo kama Israel inaweza kuajili watu wengi kiasi hiki.

Sisi Afrika tumekosa wapi. Kwanini tunashindwa kuajili vijana wetu kwa wingi na mishahala mizuri.

Tuna matatizo gani. Israel imeajili watu kutoka dunia nzima
sisi Afrika tunakosea wapi
Unashindwa kukumbuka kuwa 90% ya Israel budget inatoka USA.
Unashindwa kukumbuka kuwa mtu anaeongoza kumkopa USA hata kila siku ni Israel.
Hiyo nchi inalelewa brotheee.
 
Back
Top Bottom