Israel launches deadly Gaza attacks

Israel wana haki ya kujilinda swala watu zadi ya 270 sio issue.Hamas wasingerusha makombora haya yasingetokea,wa kumlaumu ni hamas kama kweli dunia inamaanisha kutegemea amani siku moja. Haiwezekani Hamas warushe maroketi dhidi ya Israel,Israel wanapojibu dunia inasimama kinyume eti raia wameuawa... Umefika wakati wa dunia wapenda raia watengeneze makombora yatakayochagua na kuwaua wanamgambo/wanajeshi tu.Vinginevyo dunia isimame kinyume na uchokozi wa Hamas dhidi ya Israel
 

Da kumbe wengi bado hatuielewi vizuri issue ya Israel and palestine.Na hapo ndiyo unapojua kuwa wengi wetu hutegemea kupata habari kutoka western media!..Tatizo lao ni occupation of palestine land by israel period!! na siyo maroketi au israel kujilinda au sijui hamas au shia au sunni!..na kila siku ukisikiliza vyombo vya magharibi watakuambia waliouwawa ni militants na hata siku moja hawawezi kuwaambia kuwa wanawake na watoto nao wameuwawa...sijui ni lini tutaweza kuachana na mambo ya propaganda za magharibi..na kuelewa vizuri huu mgogoro na kiini chake.
 
Soon kutakuwa na ground Op in Gaza kuwipe out more terrorists..One of my friend ni reserve wa IDF ameitwa kwenye active duty(cabinet imekubali kuita 6,500 reserves).
 

Mkuu whether hizi Ops zinasukumwa na uchaguzi wa Feb au kabla Obama Administration haijachukua ofisi, sidhani solution hapa ni kuzichapa so both parties should cease fire na kurudi mezani.
We like it or not pande zote mbili ni za kulaumiwa.Nini kiliwazuia hawa waungwana wote kurenew truce uku wakiendelea kutafuta solution?
 
So in other words Iran amedeclare jihad against Israel? Hii vita itakuwa kubwa kuliko ya 2006.
 
Shocking reaction from Arab world.

Source
 
[media]http://www.youtube.com/watch?v=-XEXsbTLfXE[/media]
 
What is the difference between the HOLOCAUST and what ISRAEL is doing in Gaza today?

Is this not a massacre in the eyes of straight looking human beings? Is this not genocide like what happened in Serbia or Rwanda?

Can impotent resolutions do anything? Are not Israel leaders worse than Taylor, Idd Amin, Mugabe and the sorts?

Wake up mankind! This double-standard is a sign of too much sympathizing with once upon a victim who has now he himself become a vicious murderer of gigantic scale!
 
MIMI sioni tofauti kati ya Wayahudi na wauaji wa Rwanda miaka ile ya 90.

Ila tu wale walitumia mapanga, mawe na majembe na hawa wanatumia mabomu na midege wanayopewa bure na Wamarekani!

Tunaomba Mwanakijiji na jumuiya ya JF mtuwekee picha za GAZA HOLOCAUST 2008 Mtandaoni haraka iwezekanavyo ili watu wapate kuona unyama wa Waisraeli eti enhee!
 
kusema kweli hii ishu ya mapigano huko Gaza kwa sasa, wote Hamas na Israel ni wa kulaumiwa. Kwa nini Hamas walianza kuwavurumishia Israel Maroketi?. kitendo cha kuvurumisha maroketi maana yake ni kwamba unataka kuwaua wale unaowavurumishia maroketi, tena maroketi yenyewe siyo kwamba unalenga katika vituo vya kijeshi, bali unalenga katika makazi ya watu bila shaka hapa lengo ni kutaka kuwaua hao watu na kuleta hofu.

Kitendo cha Hamas kuvurumisha maroketi maana yake ni kwamba, kama Hamas wangekuwa na silaha kali na nzito zaidi basi wako tayari kuwafanyia waisrael yale ambayo Israel inawayafanyia Wapalestina huko gaza.

Na kwa upande wa Israel, nguvu waliyotumia ni kubwa mno, pamoja na kwamba Hamas walishabugi stepu kuwavurumishia Waisrael maroketi, Israel ingetafuta namna ya kupambana na hamas bila ya kuinflict uharibifu na upotevu wa maisha kama huu uliotokea.

Cha kushangaza ni kwamba kama hawa watu Hamas na Israel wanaweza kuwekeana Truce ya Cease Fire kwa miezi sita watashindwa vipi kutafuta namna ya kuishi kwa amani pamoja ?
 
Poor Gazans, the world is not with them only lip service is done and the only superpower is on Israel side.
 

Wewe huwa unasikiliza vyombo vya upande gani ambavyo ni neutral?
 
Wakulaumiwa ni Hamas ndio walioipa sababu israel kufanya yote haya!Walikataa amani na kuamrisha wapiganaji waishambulie israel.Tatizo Hamas hawajui lolote zaidi ya vita na ndio maana wamekataa kuwasikiliza Egypt na kuamua kufuata ushauri wa wahuni iran na syria matokeo yake ndio haya.Kama umewahi kuishi na waarabu(acha hawa koko wa bongo) utaafikiana na mimi kuwa iwanachopata sasa kutoka kwa israel ni size yao kabisa.
 


Hebu kwanza nifafanulie maana ya "Terrorist", ukiniweka sawa hapo ninaweza kukubaliana na kauli yako. Vinginevyo there's no justification ya kuua watu 300 there's no. Kwa mtazamo wangu ni kwamba Israel wamefanya makosa makubwa sana kuua watu hawa kwani hakutakuwa na kusameheana tena na itabidi Israel afanye hivi hivi forever there'll be no real truce katika mauaji iliyoyafanya. Hawa 300 waliouwawa wameshafanya wengine 3000+ ama waongeze chuki au waanze chuki kwa Israel na hicho ndicho Hamas inakitaka.
 

Terrorist: The unlawful use or threatened use of force or violence by a person or an organized group against people or property with the intention of intimidating or coercing societies or governments, often for ideological or political reasons. Ingawaje web zingine zinasema hakuna internationally agreed definition ya terrorists.

Lakini Hamas, kwa definition yoyote ile ni terrorists. Na hao wanaowa-support kwa kuongeza chuki, iwe ni 3000+ kwa ulivyosema nao ni terrorists, wanatakiwa wauwawe. Njia rahisi ya malalamiko siku zote siyo kuongeza mengine. Ni kujadiliana. Huwezi ukawa unarusha vikombora, tena havina hata nguvu vinaishia Ashkelon ati unalipiza kisasi. Unaweza kweli ukamwinda tembo kwa mshare? Njia nzuri ya kumuua tembo kama huna bunduki ni kumwekea sumu ale afe. Hawa jamaa wanatakiwa wafanye hivyo. Wajadiliane. Wakiwa pamoja, then mambo yatakuwa tarambarare.

Ni kweli, evolution ya middles East with Israelis ina mawimbi mengi sana. Lakini haimaanishi kwamba Wa-Israel hawana mamlaka pale. Kama ambavyo wakoloni walichora ramani ya Africa na mimi na wewe kuikuta na kukubaliana nayo, ndivyo hivyo UN miaka around 70 iliyopita ilivyofanya. Wanatakiwa wakubaliane nayo. Utekaji wa Gollan heights pamoja na maeneo ya West Banks ni mkakata wa kuweka buffer ili kuzuia terrorists kama Hamas wasiingilie ile nchi.
 
These guys are playing each other.

Hamas would want to influence the coming elections in Israel. For them it is strategically positive to have Fascist like Benjamin Natanyahu and his zionist apprentices in Tel Aviv than the so called modarates KADIMAs and Labour. HAMAS needs Likud in power to finish Mahmoud Abbas as credible choice for Palestinians aspirations and also to revive the waning pro-palestine voices around the world, something that has proved difficult with moderate administration in power in Tel Aviv.

On the other side Livni and Ehud Barach would want to show Israel voters that they can be tough to change the prospective electoral spectrum. However, with intense competition btn KADIMAs Livni and LABOUR's Barach plus the intense ego btn Olmert and Barach, potential of another failure like what happened in Lebanon recently is wide.

The winner in this will be the FATAH's comrades who have been purged by Abbas since the demise of ARAFAT..

Tanzanianjema
 

Kazi kwelikweli.....Una undugu na Mtikila nini?

Tanzanianjema
 
Kila anaye andamana analia na Israel na humu naona mnalia na Israel ila Hamasi hawaguswi.Hii ni sawa Sept 11 kwamba US ilipigwa baadaye leo ni wabaya kila kona .Double standard .Kusema Kadima wanataka warudi madarakani mie nasema hapana ila kwa kuwa ni mawazo nina heshima nayo .Hamasi kama ni hesabu wamekosea na Israel wana haki ya kujilinda , mbaya sana wasio na hatia wanakufa lakini Hamasi yote waliyajua haya lakini kwa kuwa wana nguvu ya Iran wakadhani watu wakiandamana Israel wataacha .Hapo kwanza alaaniwe Hamasi kwa nguvu zote then tuongee na Israel kuhusu kupunguza makali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…