Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Maislam ya humu hayanaga akilisiku za nyuma hz sifa walikuwa wanapewa hamas , yangu macho na,masikio , waislam watakuja na story mupya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maislam ya humu hayanaga akilisiku za nyuma hz sifa walikuwa wanapewa hamas , yangu macho na,masikio , waislam watakuja na story mupya
Hamas atafanya kila awezalo kuficha hao mateka kwa sababu bila hao mateka hadithi ya Hamas ingekwisha siku nyingi sana.Sababu vita imechukua siku nyingi ni hao mateka.Siku Mateka wakipatikana Gaza nzima itakuwa kifusiBado hujajifunza kitu kumbe
Moja hamas Hizbullah na houthi sio magaidi hujajifunza
Pili uwezo wao haujapimwa kwa kurusha makombora hovyo umepimwa kwakuweza kupambana na magaidi ambao jeshi bora zaidi ya miezi mitatu imepimwa kwakuweza kuwatwanga mossad shinbet na wengine tukio la kustukiza wakiwa hapo hapo getini kwao bila kujua
Na mwisho kabisa kwamuda wamiezi mitatu imeweza kuwazuia mateka walio wateka hapo hapo israhell wakawaweka hapo hapo ghaza kwa muda wa miezi mitatu bila israhell kujua walipo nabila kujua namna yakuwakomboa
Hujajifunza bado
Nilivyokuja gundua perfomance yako ya elimu dunia nikakudharau sana.Hizbullah wanakambi zao rasmi zinajulikana acha kulialia
Hakuna wakumpiga Hizbullah kama hamas tu mpaka leo mna hangaika nae ndio mtamuweza Hizbullah
Hizbullah ukiipeleka pale israhell inakua jeshi kamili
Haya ndio maoni ya msomi wa kibongo😂😂Hamas atafanya kila awezalo kuficha hao mateka kwa sababu bila hao mateka hadithi ya Hamas ingekwisha siku nyingi sana.Sababu vita imechukua siku nyingi ni hao mateka.Siku Mateka wakipatikana Gaza nzima itakuwa kifusi
Wapalestina walikataa wenyewe kuwa huru tangu 1948, Huku wakipewa kiburi na nchi za kiarabu kutaka kuwafuta waisrael.Ukiukwaju wa sheria za kimataifa vile vile kosa halilekebishwi kwa kutenda kosa kubwa zaidi
Vile vile Israel hiwache kuizingira gaza na kuzuia kila kitu kuingia na wapalestina wapate uhuru wake, nakuhakikishia hutaona wala kusikia Hamas wakifanya mauaji.
HeheeeeHamas atafanya kila awezalo kuficha hao mateka kwa sababu bila hao mateka hadithi ya Hamas ingekwisha siku nyingi sana.Sababu vita imechukua siku nyingi ni hao mateka.Siku Mateka wakipatikana Gaza nzima itakuwa kifusi
Unadhani ukinidharau ndio ntashindwa kufanya yangu[emoji848][emoji41][emoji14]Nilivyokuja gundua perfomance yako ya elimu dunia nikakudharau sana.
Habari zipi? Ukraine ama Gaza?Unajichanganya bure.Haya sema kama una vyanzo vyengine vizuri vya kupatia hizo habari na sisi tukufuate huko.
Kama middle east ilipigwa ndani ya siku sita, unataka kuniambia palestina ni bora kuliko middle east yote?, au wewe ni bingwa wa kukariri bila kufikiria?Middle East nzima ilipigwa ndani ya siku 6 mnamo mwaka 1967
2023 pamoja na usaidizi wote wa NATO sasa hivi inaelekea siku ya 90 wameshindwa kukomboa Raia wao waliotekwa na wahuni wa Ghaza eneo lisilozidi kilometa za mraba 1000, kweli Kizazi cha 1967 kimeshindwa kujizaa
Israel imekuwa kama Manchester tu inatembelea legacy
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Maoni ya Waziri mmojawapo ambaye hata sio wa ulinzi sio kauli wala msimamo wa serikali. Kwamba Bashungwa akidai ni shabiki wa Yanga tiyari serikali ya Tanzania ni shabiki wa Yanga?Ww jamaa kumbe hata sio mfuatiriaji wa habari zinazo endelea duniani ndio maana unaongoza kuandika mashudu humu, aliye toa tishio la kutumia nyukilia ni mojawapo ya mawaziri wanao unda baraza la vita lililo undwa na Netanyau sasa kama ww hujui basi inabidi tukushangae uko dunia gani kwa sababu vyombo vyote vya habari viliripot hii habari.
Si mnasema Hamas wanashinda, mbona sasa mnalinganisha na Vietnam. Huo ndio ushindi wa HamasHao hamas wenye hadhi ya kupigwa viboko si ndo hao ambao wamesha dondoshewa mabomu yenye uzito wa tani elfu 52 moja wapo yakiwa ya sumu idadi ambayo haijawahi kutumiwa tangu vita ya Vietnam?
Nani kawalazimisha washikilie. Wameomba waachie mateka wote ila sharti kuwepo na ceasefire ya siku 20 hadi 30 na Israel haijakubali. Ingekuwa ina shida sana na mateka ingeishawarudisha wote.Si ndo hao hao ambao ndo wamewashikilia mateka mwezi wa tatu jeshi teule halijaweza kuwakomboa?
Na Israel imefanya 75% ya wakazi wa Gaza kuhama. Anayeumia zaidi naniSi ndo hao walio ifanya mpaka sasa uchumi wa Israel unapumulia mashine?
Israel inatengeneza magofu hapo Gaza. Wapalestina zaidi ya 20,000 wamefariki. Hamas makamanda ama wamekufa, ama wako mafichoni. Wapiganaji wanajisalimishaSi ndo hao hao ambao wamesha uwa wanajeshi wenu zaidi ya 500 na kuharibu vifaa zaidi ya 850 vikiwemo vifaru vyenu mlivyo kuwa mnatumbia havipigiki?
Hamas wanashinda ila wanashinda njaa. Suala la kushinda vita kwao sahauWw jamaa usipo angalia utakuwa mwehu maana hii sio kawaida.
Bora ukaendelea kukaa kimia maana siku zinavyo enda ndio unazidi kudhihirisha kuwa ww ni mtupu kama kopo kichwani.Maoni ya Waziri mmojawapo ambaye hata sio wa ulinzi sio kauli wala msimamo wa serikali. Kwamba Bashungwa akidai ni shabiki wa Yanga tiyari serikali ya Tanzania ni shabiki wa Yanga?
Si mnasema Hamas wanashinda, mbona sasa mnalinganisha na Vietnam. Huo ndio ushindi wa Hamas
Nani kawalazimisha washikilie. Wameomba waachie mateka wote ila sharti kuwepo na ceasefire ya siku 20 hadi 30 na Israel haijakubali. Ingekuwa ina shida sana na mateka ingeishawarudisha wote.
Unalalamikia miezi mitatu wakati Israel imejipanga operation ya mwaka, hujafika nusu.
Na Israel imefanya 75% ya wakazi wa Gaza kuhama. Anayeumia zaidi nani
Israel inatengeneza magofu hapo Gaza. Wapalestina zaidi ya 20,000 wamefariki. Hamas makamanda ama wamekufa, ama wako mafichoni. Wapiganaji wanajisalimisha
Hamas wanashinda ila wanashinda njaa. Suala la kushinda vita kwao sahau
Mtoto ulie mpiga bakola ndio anaekukaba ukubwani historia huwa inabadilikaIsrael iliyopigana na mataifa 10 ya kiarabu ndo washindwe na vikundi hivyo 3 kweli! Alizichapa nchi 10 hatimaye wakichukuliwa Jerusalem, Golan na Sinai. Hao hezibolla ndo wanawasha moto, watapigwa mpaka wachakae
Sifa zingine za kinafiki mnatoaMambo ya story za six deiz war, na operation entebbe.
Mkuu Israel haina uwezo kupambana na Hezbollah, Hezbollah ni powerful asikuambie mtu.
Hezibolla na Hamas lengo lao ni kuwaondoa Israel mashariki ya katiIsrael kwenye vita ita focus sana kwenye air force hilo kila mmoja analifahamu. Lakini kwa ground watachakazwa mno.
Lakini hawatoweza kuzuia rocknet attacks kutoka kwa Hezbollah.
Point ya kushinda vita ni kufanikisha objectives zako, kufanikisha malengo flani, sasa hapo Israel atashinda vita vipi?
Israel haina huo uwezo, inapigana na warusha mawe hadi leo hamna kitu, wameshindwa kurudisha mateka wapo pale pale Gaza.
naomba fanya analysis uje na huo uwezo alionao hizbolahMambo ya story za six deiz war, na operation entebbe.
Mkuu Israel haina uwezo kupambana na Hezbollah, Hezbollah ni powerful asikuambie mtu.