Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

Bado hujajifunza kitu kumbe
Moja hamas Hizbullah na houthi sio magaidi hujajifunza
Pili uwezo wao haujapimwa kwa kurusha makombora hovyo umepimwa kwakuweza kupambana na magaidi ambao jeshi bora zaidi ya miezi mitatu imepimwa kwakuweza kuwatwanga mossad shinbet na wengine tukio la kustukiza wakiwa hapo hapo getini kwao bila kujua
Na mwisho kabisa kwamuda wamiezi mitatu imeweza kuwazuia mateka walio wateka hapo hapo israhell wakawaweka hapo hapo ghaza kwa muda wa miezi mitatu bila israhell kujua walipo nabila kujua namna yakuwakomboa
Hujajifunza bado
Hamas atafanya kila awezalo kuficha hao mateka kwa sababu bila hao mateka hadithi ya Hamas ingekwisha siku nyingi sana.Sababu vita imechukua siku nyingi ni hao mateka.Siku Mateka wakipatikana Gaza nzima itakuwa kifusi
 
Hizbullah wanakambi zao rasmi zinajulikana acha kulialia
Hakuna wakumpiga Hizbullah kama hamas tu mpaka leo mna hangaika nae ndio mtamuweza Hizbullah
Hizbullah ukiipeleka pale israhell inakua jeshi kamili
Nilivyokuja gundua perfomance yako ya elimu dunia nikakudharau sana.
 
Hamas atafanya kila awezalo kuficha hao mateka kwa sababu bila hao mateka hadithi ya Hamas ingekwisha siku nyingi sana.Sababu vita imechukua siku nyingi ni hao mateka.Siku Mateka wakipatikana Gaza nzima itakuwa kifusi
Haya ndio maoni ya msomi wa kibongo😂😂
 
Ukiukwaju wa sheria za kimataifa vile vile kosa halilekebishwi kwa kutenda kosa kubwa zaidi

Vile vile Israel hiwache kuizingira gaza na kuzuia kila kitu kuingia na wapalestina wapate uhuru wake, nakuhakikishia hutaona wala kusikia Hamas wakifanya mauaji.
Wapalestina walikataa wenyewe kuwa huru tangu 1948, Huku wakipewa kiburi na nchi za kiarabu kutaka kuwafuta waisrael.
 
Hamas atafanya kila awezalo kuficha hao mateka kwa sababu bila hao mateka hadithi ya Hamas ingekwisha siku nyingi sana.Sababu vita imechukua siku nyingi ni hao mateka.Siku Mateka wakipatikana Gaza nzima itakuwa kifusi
Heheeee
Na imechukua muda mwingi sababu israhell wameshindwa kuwaokoa hata mbwa wa mateka wao
Inamaana israhell anapenda mateka wake wakae huko huko pangoni walipo mpaka leo
 
Middle East nzima ilipigwa ndani ya siku 6 mnamo mwaka 1967

2023 pamoja na usaidizi wote wa NATO sasa hivi inaelekea siku ya 90 wameshindwa kukomboa Raia wao waliotekwa na wahuni wa Ghaza eneo lisilozidi kilometa za mraba 1000, kweli Kizazi cha 1967 kimeshindwa kujizaa

Israel imekuwa kama Manchester tu inatembelea legacy

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Kama middle east ilipigwa ndani ya siku sita, unataka kuniambia palestina ni bora kuliko middle east yote?, au wewe ni bingwa wa kukariri bila kufikiria?
 
Ww jamaa kumbe hata sio mfuatiriaji wa habari zinazo endelea duniani ndio maana unaongoza kuandika mashudu humu, aliye toa tishio la kutumia nyukilia ni mojawapo ya mawaziri wanao unda baraza la vita lililo undwa na Netanyau sasa kama ww hujui basi inabidi tukushangae uko dunia gani kwa sababu vyombo vyote vya habari viliripot hii habari.
Maoni ya Waziri mmojawapo ambaye hata sio wa ulinzi sio kauli wala msimamo wa serikali. Kwamba Bashungwa akidai ni shabiki wa Yanga tiyari serikali ya Tanzania ni shabiki wa Yanga?
Hao hamas wenye hadhi ya kupigwa viboko si ndo hao ambao wamesha dondoshewa mabomu yenye uzito wa tani elfu 52 moja wapo yakiwa ya sumu idadi ambayo haijawahi kutumiwa tangu vita ya Vietnam?
Si mnasema Hamas wanashinda, mbona sasa mnalinganisha na Vietnam. Huo ndio ushindi wa Hamas
Si ndo hao hao ambao ndo wamewashikilia mateka mwezi wa tatu jeshi teule halijaweza kuwakomboa?
Nani kawalazimisha washikilie. Wameomba waachie mateka wote ila sharti kuwepo na ceasefire ya siku 20 hadi 30 na Israel haijakubali. Ingekuwa ina shida sana na mateka ingeishawarudisha wote.

Unalalamikia miezi mitatu wakati Israel imejipanga operation ya mwaka, hujafika nusu.
Si ndo hao walio ifanya mpaka sasa uchumi wa Israel unapumulia mashine?
Na Israel imefanya 75% ya wakazi wa Gaza kuhama. Anayeumia zaidi nani
Si ndo hao hao ambao wamesha uwa wanajeshi wenu zaidi ya 500 na kuharibu vifaa zaidi ya 850 vikiwemo vifaru vyenu mlivyo kuwa mnatumbia havipigiki?
Israel inatengeneza magofu hapo Gaza. Wapalestina zaidi ya 20,000 wamefariki. Hamas makamanda ama wamekufa, ama wako mafichoni. Wapiganaji wanajisalimisha
Ww jamaa usipo angalia utakuwa mwehu maana hii sio kawaida.
Hamas wanashinda ila wanashinda njaa. Suala la kushinda vita kwao sahau
 
Maoni ya Waziri mmojawapo ambaye hata sio wa ulinzi sio kauli wala msimamo wa serikali. Kwamba Bashungwa akidai ni shabiki wa Yanga tiyari serikali ya Tanzania ni shabiki wa Yanga?

Si mnasema Hamas wanashinda, mbona sasa mnalinganisha na Vietnam. Huo ndio ushindi wa Hamas

Nani kawalazimisha washikilie. Wameomba waachie mateka wote ila sharti kuwepo na ceasefire ya siku 20 hadi 30 na Israel haijakubali. Ingekuwa ina shida sana na mateka ingeishawarudisha wote.

Unalalamikia miezi mitatu wakati Israel imejipanga operation ya mwaka, hujafika nusu.

Na Israel imefanya 75% ya wakazi wa Gaza kuhama. Anayeumia zaidi nani

Israel inatengeneza magofu hapo Gaza. Wapalestina zaidi ya 20,000 wamefariki. Hamas makamanda ama wamekufa, ama wako mafichoni. Wapiganaji wanajisalimisha

Hamas wanashinda ila wanashinda njaa. Suala la kushinda vita kwao sahau
Bora ukaendelea kukaa kimia maana siku zinavyo enda ndio unazidi kudhihirisha kuwa ww ni mtupu kama kopo kichwani.
Netanyau baada ya vita kuanza aliteua baraza la vita na jukumu la baraza hilo ni kusimamia vita inayo endelea gaza hivyo waziri ana maamuzi ya moja kwa moja juu ya vita hiyo maana kila kinacho fanyika vitani ni razima kipitishwe na baraza hilo la vita.
Tunawalinganisha na Vietnam kwa sababu hata Vietnam walimshinda Marekani pamoja na Marekani kuuwa mamilioni ya raia wa Vietnam kwa kila aina ya silaha zikiwemo za sumu kama anavyo fanya Israel huko gaza.

Netanyau kipindi anaingiza majeshi gaza si aliutangazia ulimwengu kuwa anaenda kukomboa mateka na kuifuta Hamas na kamwe hatoongea na magaidi , ilikuwaje tena wakakaa na magaidi wakajadili hatima ya mateka na kukubali matakwa ya magaidi?
Hayo mapendekezo uliyo yaweka hapo sio hamas walio yaleta bali ni Israel wenyewe na Hamas wakaya kataa, hata jana Israel ilipendekeza mpango mwingine wa kusitisha mapigano kwa siku 15 ,waruhusu misaada bila kikomo wala masharti na waondoe majeshi yao kwenye baadhi ya maeneo ya gaza hasa yenye watu wengi na badala yake Hamas wawa achie mateka 35 na lenyewe likakataliwa na Hamas.

Unajiita mchambuzi wa kijeshi alafu huzijui hata kanuni za kivita ww jamaa una chekesha sana.
Yakuwa mauaji ya raia unayaweka kuwa moja wapo ya ushindi katika vita?
Hivi kuna jeshi hapa duniani lisilo weza kuuwa watu kiholela likimua,kwani JWTZ ikiamua sasa hizi warushe ndege jijini dar waanze kudondosha mabomu hovyo hovyo kwenye majumba ,stendi,masokoni mahispitalini, misikitini na makanisani si wanaweza kuuwa hata watu milion 1 kwa siku?
Hapa dunia hakuna jeshi ambalo lilisha sifiwa kwa kufanya mauaji ya watu ,jeshi la wanazi likiongozwa na Hitra liliuwa mamilioni ya watu lakini leo hii jeshi hilo halikumbukwi kama washindi wa vita na mashujaa bali wana kumbukwa na watu waovu na vichaa mpaka wajerumani wenyewe hawataki kabisa kujinasibisha na Hitra na jeshi lake.
Ushindi vitani huwa unapatikana kwa kutimiza malengo yaliyo kupeleka vitani na mpaka sasa Israel haijatimiza lengo hata moja na wala hayuko karibu kulitimiza.
Hivi hili jeshi teule ndo likumbane na battle ya kiume kama ya Maliupol si watakuwa wajihalishia na kuuawa kama nzi?
Kama kamanda msitaafu wa Marekani akihojiwa na CNN aliulizwa kuhusu pafomans ya jeshi la Israel huko gaza jibu lake lili kuwa ni hili na mm namnukuu: Japo natambua kuwa uwezo wa kijeshi wa Israel umejengwa kwenye misingi ya propaganda ili kuwatia uoga maadui zake lakini sikuwahi kuwaza iwapo jeshi la Israel ni dhaifu kiasi hichi kwa linacho kionesha huko gaza, sasa mbishie na huyo kamanda msitaafu.

Ww huna maamuzi yeyote yale ya kuamua ni nani atakaye shinda ww subiri muda utaongea na mshindi atapatikana ww kuwa na subira.
 
Israel iliyopigana na mataifa 10 ya kiarabu ndo washindwe na vikundi hivyo 3 kweli! Alizichapa nchi 10 hatimaye wakichukuliwa Jerusalem, Golan na Sinai. Hao hezibolla ndo wanawasha moto, watapigwa mpaka wachakae
Mtoto ulie mpiga bakola ndio anaekukaba ukubwani historia huwa inabadilika
 
Israel kwenye vita ita focus sana kwenye air force hilo kila mmoja analifahamu. Lakini kwa ground watachakazwa mno.
Lakini hawatoweza kuzuia rocknet attacks kutoka kwa Hezbollah.

Point ya kushinda vita ni kufanikisha objectives zako, kufanikisha malengo flani, sasa hapo Israel atashinda vita vipi?
Israel haina huo uwezo, inapigana na warusha mawe hadi leo hamna kitu, wameshindwa kurudisha mateka wapo pale pale Gaza.
Hezibolla na Hamas lengo lao ni kuwaondoa Israel mashariki ya kati
 
Back
Top Bottom