Kule kwa Mangungu Kuna wakina mutale na kibu ni aina ya wachezaji machachari na sio hatari,,kibu maguvu mengi akili kisoda,,mutale mapepe mengi yasiyo na faida kwenye timu!Beki wetu Israel Mwenda amecheza Mechi 3 Tu za Ligi Kuu na Tayari amefunga Magoli sawa na ile Winga HekaHeka iliyofeli Ulaya..[emoji3]
Enjoy Life Mwamba .. Na Wananchi wanakupenda sana[emoji1363]
Je mutale anafeli wapi wakuu.....anazidiwa na mtoto mdogoView attachment 3237010
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nipo na mutale hapa anasema kibu anamroga anataka afunge yeye tuBeki wetu Israel Mwenda amecheza Mechi 3 Tu za Ligi Kuu na Tayari amefunga Magoli sawa na ile Winga HekaHeka iliyofeli Ulaya..[emoji3]
Enjoy Life Mwamba .. Na Wananchi wanakupenda sana[emoji1363]
Je mutale anafeli wapi wakuu.....anazidiwa na mtoto mdogoView attachment 3237010
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wote mkuu [emoji23][emoji23]Unamzungumzia kibu denis au ?
Lkn kibu nae mbna hafungi[emoji23]Nipo na mutale hapa anasema kibu anamroga anataka afunge yeye tu
Sasa ndo nnashangaa uchawi huu uchawi wa kipuuzi sana
Basi wote waendw Kwa mwamposaSasa ndo nnashangaa uchawi huu uchawi wa kipuuzi sana
Sasa faida yao ni Nini[emoji23]Kule kwa Mangungu Kuna wakina mutale na kibu ni aina ya wachezaji machachari na sio hatari,,kibu maguvu mengi akili kisoda,,mutale mapepe mengi yasiyo na faida kwenye timu!
Kibu anasema hajazoea mambo hayo yeye kazoea kwa sangoma
Mkuu , haitofautiani Sana na usajili wa Okrah Majeneza ,Baleke na yule beki wenu mkongo mwenye mironjo futi 19 .Ila Simba wakati wa dirisha la usajili huwa wanapiga sana kelele! Sasa huyu Joshua Mutale wa sasa na yule wa kipindi cha usajili, unajiuliza ni mtu mmoja au ni watu wawili tofauti!!
Lkn makolo bado WanamwaminiKibu anasema hajazoea mambo hayo yeye kazoea kwa sangoma
Una maanisha bodi ya usajili inasajili Kwa mihemuko ya makoloIla Simba wakati wa dirisha la usajili huwa wanapiga sana kelele! Sasa huyu Joshua Mutale wa sasa na yule wa kipindi cha usajili, unajiuliza ni mtu mmoja au ni watu wawili tofauti!!
Lazima wamwamini si kawapeleka robo
Nguvu gunia Akili Kijiko.Unamzungumzia kibu denis au ?
Kichwa kikubwa akili mbegu ya ubuyuNguvu gunia Akili Kijiko.
Huyo mwenda anashiriki mashindano gani makubwa ya kimataifa mpaka sasa?Kule kwa Mangungu Kuna wakina mutale na kibu ni aina ya wachezaji machachari na sio hatari,,kibu maguvu mengi akili kisoda,,mutale mapepe mengi yasiyo na faida kwenye timu!