Israel Mwenda mechi 3 goli 1 Mutale mechi 20 bila goli

Israel Mwenda mechi 3 goli 1 Mutale mechi 20 bila goli

Beki wetu Israel Mwenda amecheza Mechi 3 Tu za Ligi Kuu na Tayari amefunga Magoli sawa na ile Winga HekaHeka iliyofeli Ulaya..[emoji3]

Enjoy Life Mwamba na Wananchi wanakupenda sana[emoji1363]

Je, Mutale anafeli wapi wakuu anazidiwa na mtoto mdogoView attachment 3237010

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mshaurini anyoe hiyo minywele, anaonekana kuwa very ugly.
 
Mubaba tulia kwako..mbona unawapenda sanaa wanaume wa simba? Yani kila siku kuwaanzishia uzi huoni aibu??
Mwanaume anaemsema Kibu hajielewi kichwani au ni wivu tuu..Kibu wa kimataifa huwezi kujilinganisha nae...
Shauri yako kila siku Kibu ukilala Kibu ukiamka Kibuu...
Mara Mutale ukiamka mutale..
Hao wana maisha mazuri kuliko ww uliyepo mpimbwe... hahhahah kwanza hawakujui yani...wanachojua Simba inawapa kula yao na wanaipambania timu...
 
Mubaba tulia kwako..mbona unawapenda sanaa wanaume wa simba? Yani kila siku kuwaanzishia uzi huoni aibu??
Mwanaume anaemsema Kibu hajielewi kichwani au ni wivu tuu..Kibu wa kimataifa huwezi kujilinganisha nae...
Shauri yako kila siku Kibu ukilala Kibu ukiamka Kibuu...
Mara Mutale ukiamka mutale..
Hao wana maisha mazuri kuliko ww uliyepo mpimbwe... hahhahah kwanza hawakujui yani...wanachojua Simba inawapa kula yao na wanaipambania timu...
Mkuu ...sema humu hatujuani lakini financially Mimi nina uwezo mkubwa kipesa ...kiasi Kwamba naweza finance timu ya Simba na pamba Kwa miaka 5 ..........+ Shahara zote za hizo timu

So humu tusichukuliane poa ....one day utakuja niona ....na utakubali


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom