Israel Na Hamas Kusitisha Mapigano

Israel Na Hamas Kusitisha Mapigano

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Masharti ya makubaliano kati ya Israel na Hamas kwa ajili ya kusitisha mapigano huko Gaza na kuachiliwa kwa mateka yanataraji kukamilika.

Hatua hiyo inakuja wakati Rais wa Marekani Joe Biden akisema makubaliano yako ukingoni kutimia, na kwamba utawala wake unashughulikia suala hilo kwa haraka.

Afisa wa Israel pia aliliambia shirika la habari la Reuters kwamba mazungumzo yalikuwa katika hatua za juu, na makubaliano yanawezekana kwa saa, siku au zaidi.

Rais wa Marekani Joe Biden alizungumza na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Jumapili, na Sheikh Tamim bin Hamad Al-Thani wa Qatar ambaye ni mpatanishi wa mazungumzo hayo siku ya Jumatatu.
 
Tuambie ww Israel imeshinda kwa vigezo vip???
Israel inajifanya itaimaliza HAMAS imeuahia kuua watu tu na akina mama lakini haijaokoa mateka hata mmoja sasa Hao ndio wanasema ooh Mosad inajua saanaa waogope Mosad hamna kitu.....Wamekwama Kupata watu oale pale Gaza hovyo sana
 
Mateka wanabalishana na mateka wa kipalestina nikama mwanzo tu tofaut yasasa kichwa 1 cha bint wa israe kike. Unaachia wapalestina 50 kiume israel unaachia wapalestina 30. Mwanzo ilikuwa mmoja muisrael anaachia wapalestina 3 sasa ni kike50 na30 kiume.. kazi kwenu wanunua udongo kujua yupi kabanwa mbavu!!!
 
Masharti ya makubaliano kati ya Israel na Hamas kwa ajili ya kusitisha mapigano huko Gaza na kuachiliwa kwa mateka yanataraji kukamilika.

Hatua hiyo inakuja wakati Rais wa Marekani Joe Biden akisema makubaliano yako ukingoni kutimia, na kwamba utawala wake unashughulikia suala hilo kwa haraka.

Afisa wa Israel pia aliliambia shirika la habari la Reuters kwamba mazungumzo yalikuwa katika hatua za juu, na makubaliano yanawezekana kwa saa, siku au zaidi.

Rais wa Marekani Joe Biden alizungumza na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Jumapili, na Sheikh Tamim bin Hamad Al-Thani wa Qatar ambaye ni mpatanishi wa mazungumzo hayo siku ya Jumatatu.
Walifikiri vita pekee na kuua watu ndio ingekuwa suluhu
 
Israel inajifanya itaimaliza HAMAS imeuahia kuua watu tu na akina mama lakini haijaokoa mateka hata mmoja sasa Hao ndio wanasema ooh Mosad inajua saanaa waogope Mosad hamna kitu.....Wamekwama Kupata watu oale pale Gaza hovyo sana
Kumbe wale viongozi ni wakina mama?

Ukiwa mwanamgambo unatakiwa uwe unajitoa akili hivi?
 
Wanasiasa bwana, wanaanzisha mapigano raia wanakufa halafu wanakaa kujadiliana jinsi ya kumaliza vita.
 
Back
Top Bottom