Swali la kijinga sana.Mauwaji ya oktoba 7 kila anayeoneshwa video anaipuuza.NIMEKUULIZA TAREHE 07 OCTOBER SI WALIWAUA WAYAHUDI HUKU WANASHANGILIA??
MBONA SASA WANALILIA CEASE FIRE????
AU RISASI ZIMEWAISHIA MKUU???
Ni la dini mkuu tuache unafiki...
Waislamu dhidi ya wayahudi,,,,kwa sababu imani yao inawaambia wawaue na kuwafukuza wayahudi toka kwenye aridhi ya mababu zao.
TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI WA KUTOWEKA WAZI CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI NA MAFANIKIO YA MAISHA YAO NA ALIANZISHA MUHAMMAD MWENYEWE NA HAKUFANIKIWA.
QUR'AN 9:30
Swali la kijinga sana.Mauwaji ya oktoba 7 kila anayeoneshwa video anaipuuza.
Antonio Guatares alikwishasema shambulio lile halikutokea bila sababu.
NIMEKUULIZA TAREHE 07 OCTOBER SI WALIWAUA WAYAHUDI HUKU WANASHANGILIA??
MBONA SASA WANALILIA CEASE FIRE????
AU RISASI ZIMEWAISHIA MKUU???
Naunga mkono hojaPalestina haihitaji maneno mengi kutoka UNGA, inahitaji sapoti ya vitendo
Sisi huku Bonyokwa tunasema..! UNGA ni watu wauwaji na waoga kiwango cha lami, wao wanapiga yowe huku Israel inawasha moto Gaza?
Upuuzi mtupu huu!
Palestina haihitaji maneno mengi kutoka UNGA, inahitaji sapoti ya vitendo
Sisi huku Bonyokwa tunasema..! UNGA ni watu wauwaji na waoga kiwango cha lami, wao wanapiga yowe huku Israel inawasha moto Gaza?
Upuuzi mtupu huu!
Kwani vita alianza nani? yeye kateka na kuua kwa sana!
Mbona hili halilaaniwi?! acha haya magaidi ya hamas yachakazwe kwanza yashike adabu
Ni la dini mkuu tuache unafiki...
Waislamu dhidi ya wayahudi,,,,kwa sababu imani yao inawaambia wawaue na kuwafukuza wayahudi toka kwenye aridhi ya mababu zao.
TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI WA KUTOWEKA WAZI CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI NA MAFANIKIO YA MAISHA YAO NA ALIANZISHA MUHAMMAD MWENYEWE NA HAKUFANIKIWA.
QUR'AN 9:30
Mie Sioni jipya, sababu UN is just a toothless dog, haina tofauti na ilivyokua league of nations. Maana matatizo mengi duniani yamesababishwa na hao hao walionzisha UN, hivyo Sioni jipya maana chochote wanachokiamua lazma kipite kwa kutumia mataifa yenye veto power.
kweli hii?1. Jana ilikuwa siku mbaya sana kwa Israel na mshirika wake mkuu Marekani, kwenye Baraza kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA).
2. Kwamba kwa kauli moja lilipitishwa azimio lenye kuishutumu Israel wazi wazi na si mpigania uhuru HAMAS!
3. Kwa takwimu hizi za kura:
View attachment 2841057
4. Kwamba 10 wasiojitambua ni hawa:
View attachment 2841058
5. Na kwa maneno kuntu ya wachangiaji mbali mbali (Pakistan post #2);
6. Kwa hakika Israeli na vibaraka wake akiwamo Marekani (na VETO yake uchwara UNSC) wameumbuka!
Cjakupata mkuu ebu fafanua vizuriKumtenganisha Hamas na ugaidi na kumvesha rasmi ugaidi mtu na Babu yake ni hatua njema sana.
Waliko wanatahayari. Vita vya Palestina no vya ukombozi. Kulitambua Hilo ni hatua kubwa sana mbele kisiasa.
hivi katika utandawazi wa sasa kuna mtu ana shaka na ugaidi wa Israel? hao ndio magaidi alafu wanawasingizia hamasi kwa kuwa vyombo vya media viko kwao?Jikite kwenye mada ndugu:
"HAMAS siyo gaidi, gaidi ni Israel."
Dunia imesema.
Cjakupata mkuu ebu fafanua vizuri
1. Yasiyo kuhusu? Huu si ndiyo sababu ya umaskini wa uswahilini?
2. Kuwa ni uswahili? Hii si ndiyo nyani haoni kundule?
3. Kwamba haituhusu? Hii si ndiyo sababu hatupati katiba mpya?
4. Kwamba hayo ni yao sisi tuna yetu? Hii si ndiyo sababu sasa anayelialia na nauli kupanda ni anayetaka kusafiri leo?
5. Kwamba tunyamaze? nInyi si ndiyo Martin Luther alikuwa akiwaangazia ndugu mburula:
View attachment 2841065
6. Kwamba UN ni porojo? Au wewe ni kutokea Lumumba ndugu?
Bure kabisa!
Last wk mafuriko yameua Manyara kuna hata pole mmepata toka Israel au Palestine? Lini mmewahi pewa hata pole na hao mabwana zenu?
Kwamba yao yanatuhusu ila yetu hayawahusu, hii ndo globalization sio?
Mawazo yako ni duni sana ndugu ndiyo maana hata Katiba mpya nani atapigania? Kwani nani atakuwa alimaliza ya kwao hata akapiganie Katiba?
Martin Luther aliwatambua Mburula kama nyie:
View attachment 2841396
We shangazi nakuuliza hivi, ni lini hiyo miarabu na miyahudi unayoiabudu ilikuwa concerned na mambo yenu? Jibu swali acha ngonjera.
Kwahiyo nyie mpaze sauti kwa mambo yao wakati wao hawana muda na nyie kama sio wendawazimu ni nini?