Israel nchi ya Bara Asia ya kati na Mwanachama wa Ulaya kukubaliwa kuwa Mwanachama wa African union imekaaje hii?

Israel nchi ya Bara Asia ya kati na Mwanachama wa Ulaya kukubaliwa kuwa Mwanachama wa African union imekaaje hii?

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
14,809
Reaction score
11,825
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi kuwa Mwanachama hapo mwanzo Miaka 19 Iliyopita

Israel tayari inamahusiano na nchi zaidi ya 46 kati ya 55 za Africa ikiwepo ya mwisho kabisa Sudan ya Waarabu weusi, nadhani ndio imekuwa rahisi kwao kupata uanachama... Kumbuka Israel inakosekana katika Umoja wa nchi za Kiarabu ambazo zimeizunguka nchi hiyo.

Hamas Walia.

Nchi za Africa kwa kupenda dezo zinaweza hata kuialika iran iwe Mwanachama.

Why Israel from Middle East to become African union states au sababu ya Watu wa Asili yao waliopo nchi karibu zote za Africa
Ethiopia - ma Farasha,
Tanzania-Wairaqwi,
Zimbabwe-Demba
Cameroon
Nigeria,
Uganda,
Zimbabwe,
Namibia,
South Africa n.k
1627409766960.png

19 Years After Its Ouster, African Union Reinstates Israel as Observer Country​

Israel returns to 55-state pan-African organization in what the Foreign Ministry's head of African affairs calls an extremely important political recognition
 
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi kuwa Mwanachama hapo mwanzo Miaka 19 Iliyopita

Israel tayari inamahusiano na nchi zaidi ya 46 kati ya 55 za Africa ikiwepo ya mwisho kabisa Sudan ya Waarabu weusi, nadhani ndio imekuwa rahisi kwao kupata uanachama... Kumbuka Israel inakosekana katika Umoja wa nchi za Kiarabu ambazo zimeizunguka nchi hiyo.

Hamas Walia.

Nchi za Africa kwa kupenda dezo zinaweza hata kuialika iran iwe Mwanachama.

Why Israel from Middle East to become African union states au sababu ya Watu wa Asili yao waliopo nchi karibu zote za Africa
Ethiopia - ma Farasha,
Tanzania-Wairaqwi,
Zimbabwe-Demba
Cameroon
Nigeria,
Uganda,
Zimbabwe,
Namibia,
South Africa n.k
View attachment 1870804

19 Years After Its Ouster, African Union Reinstates Israel as Observer Country​

Israel returns to 55-state pan-African organization in what the Foreign Ministry's head of African affairs calls an extremely important political recognition
Tunawakaribisha kwa mikono miwili, nawapenda sana hawa jamaa kuliko taifa lolote duniani, Wapewe idara ya ulinzi itakuwa safi sana
 
Ndio mjue kuwa ni taifa la uongo na propaganda kulazimiswa mambo kiuongouongo
... unajifanya mjuaji kuliko AU member states waliochambua kwa kina na kujiridhisha Israel inastahili hiyo nafasi. Hata Iran ikijenga hoja inaweza kupewa observatory status pia. Huoni ni hatua nzuri ili Afrika iweze "kuichamba" vizuri Israel dhidi ya madhila wanayowasababishia wanawake na watoto wa kifilisti ndani ya vikao rasmi? Badala ya kushangilia mbaya wenu kaingia kingi unapinga tena! Hamueleweki!
 
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi kuwa Mwanachama hapo mwanzo Miaka 19 Iliyopita

Israel tayari inamahusiano na nchi zaidi ya 46 kati ya 55 za Africa ikiwepo ya mwisho kabisa Sudan ya Waarabu weusi, nadhani ndio imekuwa rahisi kwao kupata uanachama... Kumbuka Israel inakosekana katika Umoja wa nchi za Kiarabu ambazo zimeizunguka nchi hiyo.

Hamas Walia.

Nchi za Africa kwa kupenda dezo zinaweza hata kuialika iran iwe Mwanachama.

Why Israel from Middle East to become African union states au sababu ya Watu wa Asili yao waliopo nchi karibu zote za Africa
Ethiopia - ma Farasha,
Tanzania-Wairaqwi,
Zimbabwe-Demba
Cameroon
Nigeria,
Uganda,
Zimbabwe,
Namibia,
South Africa n.k
View attachment 1870804

19 Years After Its Ouster, African Union Reinstates Israel as Observer Country​

Israel returns to 55-state pan-African organization in what the Foreign Ministry's head of African affairs calls an extremely important political recognition
Israel haiwezi kukaa na jirani zake kwani wote ni maadui zao . Ndiyo maana wapo Europe na sasa Africa . Waarabu wamejawa chuki ya kudumu utawafanyaJe ?!
 
Waarabu gani wamejawa chuki na Israel wakati mataifa ya kiarabu ndio kwanza wanashindana kuitambua Israel.

They've realized that, if you can't beat them join them.
 
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi kuwa Mwanachama hapo mwanzo Miaka 19 Iliyopita

Israel tayari inamahusiano na nchi zaidi ya 46 kati ya 55 za Africa ikiwepo ya mwisho kabisa Sudan ya Waarabu weusi, nadhani ndio imekuwa rahisi kwao kupata uanachama... Kumbuka Israel inakosekana katika Umoja wa nchi za Kiarabu ambazo zimeizunguka nchi hiyo.

Hamas Walia.

Nchi za Africa kwa kupenda dezo zinaweza hata kuialika iran iwe Mwanachama.

Why Israel from Middle East to become African union states au sababu ya Watu wa Asili yao waliopo nchi karibu zote za Africa
Ethiopia - ma Farasha,
Tanzania-Wairaqwi,
Zimbabwe-Demba
Cameroon
Nigeria,
Uganda,
Zimbabwe,
Namibia,
South Africa n.k
View attachment 1870804

19 Years After Its Ouster, African Union Reinstates Israel as Observer Country​

Israel returns to 55-state pan-African organization in what the Foreign Ministry's head of African affairs calls an extremely important political recognition
Tuna uhusiano wa damu na nchi ya Israel. Mfano, zaidi ya 80% ya Watanzania ni wa Ebrania.
 
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi kuwa Mwanachama hapo mwanzo Miaka 19 Iliyopita

Israel tayari inamahusiano na nchi zaidi ya 46 kati ya 55 za Africa ikiwepo ya mwisho kabisa Sudan ya Waarabu weusi, nadhani ndio imekuwa rahisi kwao kupata uanachama... Kumbuka Israel inakosekana katika Umoja wa nchi za Kiarabu ambazo zimeizunguka nchi hiyo.

Hamas Walia.

Nchi za Africa kwa kupenda dezo zinaweza hata kuialika iran iwe Mwanachama.

Why Israel from Middle East to become African union states au sababu ya Watu wa Asili yao waliopo nchi karibu zote za Africa
Ethiopia - ma Farasha,
Tanzania-Wairaqwi,
Zimbabwe-Demba
Cameroon
Nigeria,
Uganda,
Zimbabwe,
Namibia,
South Africa n.k
View attachment 1870804

19 Years After Its Ouster, African Union Reinstates Israel as Observer Country​

Israel returns to 55-state pan-African organization in what the Foreign Ministry's head of African affairs calls an extremely important political recognition
JIBU PEKEE nitakalokupatia hapa ni kwamba, Africa kuna mamilioni ya watu wanaoipenda israel, wataendelea kuipenda, na hata kuna watu wataichukia bado utaona bendera ya israel kwenye magari yao na nyumba zao za ibada. hiyo ni faraja na furaha kwetu, tunatamani ingekuwa na uhusiano hata zaidi ya huo. basi tu.
 
Waarabu gani wamejawa chuki na Israel wakati mataifa ya kiarabu ndio kwanza wanashindana kuitambua Israel.

They've realized that, if you can't beat them join them.
.... waarabu wanabadilika Mkuu; mataifa kadhaa ya kiarabu yameanzisha uhusiano na Israel; ni hatua njema sana. Ni nani leo angeamini Sudan, UAE, na Kuwait wangethubutu japo kutamka neno Israel in a positive way? Ila kuna kitu kimoja propaganda chafu za enzi na enzi dhidi ya Israel zilitumika kama mbinu za kisiasa na wafalme na watawala wakongwe wa kiarabu kuwahadaa wananchi wao ili waendelee kubakia madarakani bila wananchi kuwastukia.

Baada ya Arab Spring na wakongwe kufurushwa pamoja na maendeleo ya teknolojia, watu wamestuka; wamegundua nyingi zilikuwa propaganda tu! Aliyebaki ni Ayatollah na chuki zake kali na propaganda za kuifuta Israel katika uso wa dunia ili aendelee kutawala bila bughudha ila kuna siku wananchi watashtuka.
 
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi kuwa Mwanachama hapo mwanzo Miaka 19 Iliyopita

Israel tayari inamahusiano na nchi zaidi ya 46 kati ya 55 za Africa ikiwepo ya mwisho kabisa Sudan ya Waarabu weusi, nadhani ndio imekuwa rahisi kwao kupata uanachama... Kumbuka Israel inakosekana katika Umoja wa nchi za Kiarabu ambazo zimeizunguka nchi hiyo.

Hamas Walia.

Nchi za Africa kwa kupenda dezo zinaweza hata kuialika iran iwe Mwanachama.

Why Israel from Middle East to become African union states au sababu ya Watu wa Asili yao waliopo nchi karibu zote za Africa
Ethiopia - ma Farasha,
Tanzania-Wairaqwi,
Zimbabwe-Demba
Cameroon
Nigeria,
Uganda,
Zimbabwe,
Namibia,
South Africa n.k
View attachment 1870804

19 Years After Its Ouster, African Union Reinstates Israel as Observer Country​

Israel returns to 55-state pan-African organization in what the Foreign Ministry's head of African affairs calls an extremely important political recognition
Israel ni nchi ya Afrika,inawezekanaje Madagascar iwe Afrika,harafu Israel isiwe Afrika?
 
... unajifanya mjuaji kuliko AU member states waliochambua kwa kina na kujiridhisha Israel inastahili hiyo nafasi. Hata Iran ikijenga hoja inaweza kupewa observatory status pia. Huoni ni hatua nzuri ili Afrika iweze "kuichamba" vizuri Israel dhidi ya madhila wanayowasababishia wanawake na watoto wa kifilisti ndani ya vikao rasmi? Badala ya kushangilia mbaya wenu kaingia kingi unapinga tena! Hamueleweki!
Kwani EU ni nani ndio hawa wanaopenda kufirana kuhalalisha ndoa za jinsia moja ? Sishangai kwa akili zako unawaona wako sawa kwa sababu inawezekana ni mwanachama wao
 
.... waarabu wanabadilika Mkuu; mataifa kadhaa ya kiarabu yameanzisha uhusiano na Israel; ni hatua njema sana. Ni nani leo angeamini Sudan, UAE, na Kuwait wangethubutu japo kutamka neno Israel in a positive way? Ila kuna kitu kimoja propaganda chafu za enzi na enzi dhidi ya Israel zilitumika kama mbinu za kisiasa na wafalme na watawala wakongwe wa kiarabu kuwahadaa wananchi wao ili waendelee kubakia madarakani bila wananchi kuwastukia.

Baada ya Arab Spring na wakongwe kufurushwa pamoja na maendeleo ya teknolojia, watu wamestuka; wamegundua nyingi zilikuwa propaganda tu! Aliyebaki ni Ayatollah na chuki zake kali na propaganda za kuifuta Israel katika uso wa dunia ili aendelee kutawala bila bughudha ila kuna siku wananchi watashtuka.
Huwezi uongo ukaugeuza ukweli hata siku moja
 
Kwani EU ni nani ndio hawa wanaopenda kufirana kuhalalisha ndoa za jinsia moja ? Sishangai kwa akili zako unawaona wako sawa kwa sababu inawezekana ni mwanachama wao
... endelea ku-expose ujinga; naona unaiota sana EU! Ndicho ulichoni-quote?
 
Back
Top Bottom