Israel sasa kuwapa zawadi wale wanafiki wote - Ardhi zote anazoshutumiwa nazo West bank Gaza na Kuirejesha Sinai from Egypt

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
14,809
Reaction score
11,825
Waziri wa mrengo wa kulia wa Israel amependekeza Kuirejesha Eneo la Sinai mikononi wa Utawala wa Israel.

Waziri wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Israel alituma tena ujumbe wa tweet wa kupigia chapuo kuinyakua rasi ya Sinai,

Waziri wa Urithi wa mrengo wa kulia wa Israel Amichai Eliyahu ametuma tena ujumbe unaotangaza bidhaa zinazotaka kukaliwa kwa mabavu katika rasi ya Sinai nchini Misri.

Israel ambayo ilishawahi kulimiliki eneo lote la rasi ya Sinai na ililirejesha eneo hilo kufuatia makubaliano ya amani yaliyotiwa saini na Misri mwaka 1979. hadi leo hii, kufuatia Misri kukutwa na mahandaki lukuki kutokea Gaza hadi rasi ya Sinai na Makundi ya kigaidi ya Gaza huenda yanapitisha Silaha zao kutokea Sinai na kuna uwezekano wa Mateka wapo nchini Egypt Sinai. Lolote linawezekana Israel kuirejesha mikononi Sinai yote na kuifanya Egypt kubakia na eneo la Africa tu bila Asia.

Tweet hiyo inaonesha Shati linauzwa lenye lenye ramani ya nchi ya Israel ambayo ni pamoja na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa, Gaza na Sinai.

"Chukua hili shati ukiwa safarini, na uwavishe watoto wote [hivi karibuni pia kutakuwa na saizi za watoto wadogo], iweke kwenye gari, wacha tujenge ufahamu: Watu wanadai tunakalia maeneo kimabavu! wakati wa kuyakalia ni sasa!”




Far-right Israeli minister retweets post promoting Sinai occupation

Israel’s far-right Heritage Minister Amichai Eliyahu has retweeted a post promoting merchandise that calls for the occupation of Egypt’s Sinai peninsula.

Israel returned the region following a peace agreement signed with Egypt in 1979.

The tweet calls for the purchasing of a shirt showing a map of Israel which includes the occupied West Bank, Gaza and Sinai.

“Take it on trips, dress all the children in it [soon there will also be sizes for little ones], put it on the car, let’s create awareness: The people demand an occupation! Occupation now!” read the original tweet promoted by Eliyahu.
 
Dunia ni uwanja wa fujo
Mtu aliyezoea vita hawezi kuacha
 
Wa
Wakiichukua Sinai, litakuwa ni jambo jema sana. Misri na Waarabu wenzake wataacha uchawa kwa Israel na usaliti kwa Waarabu wezake na funzo kwa Machawa wote.
 
Kichwa cha habari wanachukua ndani ya habari amependekeza...
 
Ngoja kwanza mateka wamekomboa wangapi ndani ya hii miezi tisa
Usrahell ya huliwudi inatisha kuliko hii ya paka
 
Thubutuuu ! Misri wamenyamaza tu wanamtizima.Ajaribu kugusa huo ndo utakuwa mwisho wao Israel ! Zama zimebadilika sio kama 1948 muda utaongea.Atapigwa GAZA, Lebanon na sasa Egypt mbona ndo mwisho wa Taifa la Israel !!
1973 IDF waliangukia mateka wa Egypt,sasa waache wajichanganye.
Egypt ipo kimya kwasababu ya ukibaraka wa Elsisi,Asa waache wajichanganye Elsisi ageuze kibao.
 
Kwa sasa ni kitu ambacho hakiwezekani zama zimebadilika. Kama mgambo wanamtoa jasho kwa asa hawezi kupigana na nchi hizo zote siku hizi vita imebadilika hadi vinchi vidogo vinawadindia wakubwa.
 
Kwa sasa ni kitu ambacho hakiwezekani zama zimebadilika. Kama mgambo wanamtoa jasho kwa asa hawezi kupigana na nchi hizo zote siku hizi vita imebadilika hadi vinchi vidogo vinawadindia wakubwa.
Mgambo wepi wanamtoa jasho
 
Kwahiyo mkuu, umeacha wosia siku ukifa ukazikwe ndani ya taifa la mungu! Sio kwa mahaba hayo, wakati mazayuni hawajui kama kuna mtu duniani anaitwa mlaleo
 
Waarabu wangeacha kugeukana wangemmaliza Israel mapema sana, shida nao unafiki unawasumbua
 
Wanamgambo wanaopigana nao wakwapi mi sijaona walipo labda mwenzetu utwambie israel anaopigana nao
Kwa hiyo Israrl inapigana yenyewe na askari wake sometimes wanajiua wenyewe.
Huwezi kuona mkuu maana you only see what your eyes want to see
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…