Israel sasa kuwapa zawadi wale wanafiki wote - Ardhi zote anazoshutumiwa nazo West bank Gaza na Kuirejesha Sinai from Egypt

Israel sasa kuwapa zawadi wale wanafiki wote - Ardhi zote anazoshutumiwa nazo West bank Gaza na Kuirejesha Sinai from Egypt

= kulia


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
So inamaana Allah nae Mjinga Alimuita Jina Ibraham then aya nyingine Ibrahim .. Allah nae ni mungu wa Kijinga

2:124 and Qs 4:125
 
Hahaha wapi aliwambia nchi yao Egypt, Hijaz au Yemen hizo nchi zipo miaka sikuona zaidi ya kuwachukia kutoka Misri kuwapeleka Jerusalam, tena sio hao Waisrael wamchongo wa 1948 😄
Naamini mafundisho yangu yanakuingia vizuri ila sababu ni Muslim the evil spirit haijakutoka so huwezi kukubali mbele ya uso wa dunia... Uabishana hadi na Allah
 
Thubutuuu ! Misri wamenyamaza tu wanamtizima.Ajaribu kugusa huo ndo utakuwa mwisho wao Israel ! Zama zimebadilika sio kama 1948 muda utaongea.Atapigwa GAZA, Lebanon na sasa Egypt mbona ndo mwisho wa Taifa la Israel !!
matarajio bila mipango ni sawa SUFURIII
 
Thubutuuu ! Misri wamenyamaza tu wanamtizima.Ajaribu kugusa huo ndo utakuwa mwisho wao Israel ! Zama zimebadilika sio kama 1948 muda utaongea.Atapigwa GAZA, Lebanon na sasa Egypt mbona ndo mwisho wa Taifa la Israel !!
Mnasemaga hivi hivi hata kwenye vita ya iraq kisha baadae mnaanza kuonesha picha za vifo
 
h
Haijalishi hawavai combat lakini wamewahenyesha tunaelekea mwezi wa ngapi sasa hebu nikumbushe? Hadi walianza kulalamika Marekani kachelewesha kuwapelekea silaha. Mgambo wako vizuri si kidogo
hatuoni kelele za ukraine wanaopigana mwaka wa 3 huu , ila nyiny miez tu mshapost mpk watoto na mabibi
 
h

hatuoni kelele za ukraine wanaopigana mwaka wa 3 huu , ila nyiny miez tu mshapost mpk watoto na mabibi
Ukraine ni nchi ina jeshi na support ya nchi kubwa. Hamas ni wanamgambo. Mjeda akipigwa na mjeda mwenzake si story kubwa kama mjeda kuhenyeshwa na mgambo
 
Naamini mafundisho yangu yanakuingia vizuri ila sababu ni Muslim the evil spirit haijakutoka so huwezi kukubali mbele ya uso wa dunia... Uabishana hadi na Allah
Mimi nilisha kuambia mtu anaye sema Mungu ana mtoto au Yesu ana mtoto akapime akili zake vizuri, hawezi nishinda akili mimi.

Mungu hana gender sa ukisema Yesu ni mwanae umeisha mpa gender yeye ni mwanaume, sa tuonyeshe dalili zenu kwenye bibilia Mungu ana Gender, hamna.

Wewe una copy Qur'an hata huzielewi zinasema nini 😄
 
Back
Top Bottom