Israel sasa kuwapa zawadi wale wanafiki wote - Ardhi zote anazoshutumiwa nazo West bank Gaza na Kuirejesha Sinai from Egypt

Kwahiyo mkuu, umeacha wosia siku ukifa ukazikwe ndani ya taifa la mungu! Sio kwa mahaba hayo, wakati mazayuni hawajui kama kuna mtu duniani anaitwa mlaleo
So hata kama hawanijui ndio nisisome au nisilete news? mbona upo kama wale wanaoitwa wacha wii.. una chuki hadi hutaki kuona news za israel... Its is true Waislam wanazaliwa na chuki moiyoni mwao na watakaofanikiwa kuingia peponi watafanyiwa operation kuondoshwa chuki kwenye mioyo yao
 
Kwa hiyo Israrl inapigana yenyewe na askari wake sometimes wanajiua wenyewe.
Huwezi kuona mkuu maana you only see what your eyes want to see
Kwahiyo panya road wakiua mtu mafichoni waliko nayo ni vita. Hamas ishafutwa wamebaki hasira kali wafiwa wanajilipua kujitoa mhanga. Hakuna unapoenda eti utakuta ofis au kambi hamas wapo vitani
 
Kwahiyo panya road wakiua mtu mafichoni waliko nayo ni vita. Hamas ishafutwa wamebaki hasira kali wafiwa wanajilipua kujitoa mhanga. Hakuna unapoenda eti utakuta ofis au kambi hamas wapo vitani
Kumbe, mpaka wanaomba na kulalamikia US kachelewesha silaha kumbe wanapigana na panya road. Basi sawa.
 
Maneno mengii,ukitaka kufanya jambo fanya.
 
Kwa sasa ni kitu ambacho hakiwezekani zama zimebadilika. Kama mgambo wanamtoa jasho kwa asa hawezi kupigana na nchi hizo zote siku hizi vita imebadilika hadi vinchi vidogo vinawadindia wakubwa.
ukizungumzia vita lazima utumie usomi japo kidogo na sio shabiki maandazi.. kwanza Tambua ni vita vya aina gani? unaopigana nao ni kina nani, na uwanja wa vita upoje..

Israel anapigania kuokoa mateka na kuwamaliza magaidi.

Magaidi hawavai kabisa kombati za kijeshi kujitofautisha na raia.
so IDF akiua madia zenye lengo same na magaidi wanatangaza raia wameuliwa so vyombo husika vya kimataifa huja juu.
so Israel anapigana na adui wa aina mbali mbali, uzuri anwapuuzia na anaweka record vizuri na askari wake akikosea step anamuadabisha yaani ni kama kazi tu na hakuna uongo kwani uongo hauchanganyiki na ukweli.. now sasa kila mtu anajua Arabs ni waongo tena hawafai.. nchi kibao zimechoshwa kudanganywa kama watoto.. kuna maraisi making yalidiriki kuikemea Israel ila walipojua arabs ni waongo wamewapuuzia hao Hamas na aljazeera wao.

So Israel bila mateka angesambaza Gaza kuwa uwanja wa kandanda.. ndio maana kule Lebanon wanajua hakuna mswalie mtume kazi ikianza ni magofu tu yatabakia.. Hamas wanajua wakiachia mateka nini kitawakuta hivyo vita inaenda hivi hivi mdog mdogo..

Chakula anawapa maji anawapa matibabu mnapata kujisifia baada ya kushiba ni ruksa huku kichapo kinaendelea.. Niambie Jeshi gani linaweza kukupa uhuru wote huu? then unakuja umebana pua eti miezi mingapi mbona hawaokoi mateka.. Israel only jeshi lake ndilo lenye huruma.. ila afer war Hamas sio watu wa kusamehewa na yeyete mpenda amani. Labda wewe na pro hamas
 
Haijalishi hawavai combat lakini wamewahenyesha tunaelekea mwezi wa ngapi sasa hebu nikumbushe? Hadi walianza kulalamika Marekani kachelewesha kuwapelekea silaha. Mgambo wako vizuri si kidogo
 
Masikini hio map ilikuwa ipo lini hebu tufahamishe Israel si juzi tu walidokoa ardhi ya wapalestina leo wananchi kubwa hivyo 😆

Kondoo watabaki kuwa kondoo tu
 
Haijalishi hawavai combat lakini wamewahenyesha tunaelekea mwezi wa ngapi sasa hebu nikumbushe? Hadi walianza kulalamika Marekani kachelewesha kuwapelekea silaha. Mgambo wako vizuri si kidogo
Kiufupi Netanyahu amepanga kukaa Gaza for Two years.. au zaidi wale wote waliovamia wapo on record artificial intelligence ishawaweka kwenye data base it is a matter of time tu watanaswa,

Sasa fanya kama na wewe ni raia wa Gaza and think twice hali ya maisha.. Hamas wanateka misaada yote and wanauzia raia... kuna watoa misaada wanachukizwa mno sema sababu ni muslim wenzao wanamezea kisabuni tu...

IDF hadi wanawaonea huruma raia sema lazima wafanye kazi yao... nyie imbeni tu mapambio eti Israel hawezi mara jeshi lenye sifa lakini halina kitu ila Hamas na Islamic jihad wanapungua tu pole pole... Mwenzio faiza fox alishafikia kudai Israel wanakaribia kumalizika na siku hizi amegeuka kama kichaa kachanganyikiwa hajui moja imekaa wapi wala mbili...

Jordan wanasherehe kila mwaka ya ushindi wa kupoteza Jerusalem dhidi ya Israel huwa tunabaki kushangaa tu Akili zenu ni viazi au maboga.
 
Masikini hio map ilikuwa ipo lini hebu tufahamishe Israel si juzi tu walidokoa ardhi ya wapalestina leo wananchi kubwa hivyo 😆

Kondoo watabaki kuwa kondoo tu
Hiyo ndio Ramani aliyotoa Allah Kumpa Nabii Mussa akamuambia Mussa awaambie Watu wake wasiiachie hiyo ardhi apigane hadi kiama.. Allah knew nyie mtawachukia Watu wake sababu mmezaliwa na chuki zimejaa...

Quran 5:21 Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika.

Wana wa Israel wameandikiwa ardhi hiyo wewe upo kiabakali unapinga wewe ni kafir mposhi hahahaha.. yaani Quran tu natumia
 
Haijalishi hawavai combat lakini wamewahenyesha tunaelekea mwezi wa ngapi sasa hebu nikumbushe? Hadi walianza kulalamika Marekani kachelewesha kuwapelekea silaha. Mgambo wako vizuri si kidogo
Wenzio wanalia na Hamas kesha rekebisha ujinga wake anataka vita isimame IDF wanagonga chupi huko Rafah na centre % chache imebakia kazi iishe PO zimekuwa nyingi kwa Hamas
 
Kumbe, mpaka wanaomba na kulalamikia US kachelewesha silaha kumbe wanapigana na panya road. Basi sawa.
Nikajua kuna ngome israel wanataka waingie hamas wamewazingua kumbe ni hao vibaka wanaojificha kama fuko
 
Wenzio wanalia na Hamas kesha rekebisha ujinga wake anataka vita isimame IDF wanagonga chupi huko Rafah na centre % chache imebakia kazi iishe PO zimekuwa nyingi kwa Hamas
Vita itapiganwa wapi wakati pote gaza magofu
 
Nikajua kuna ngome israel wanataka waingie hamas wamewazingua kumbe ni hao vibaka wanaojificha kama fuko
Miezi nane unapigana na vibaka na silaha unaomba hadi kulalamika zinachelewa... Kweli vibaka ni hatari sana. Hata kibiti haikiwa hivi. Kama vibaka tu wanasumbua hadi unalalamika umecheleweshewa msaada wa silaha ukipigana na jeshi lingine si utalia kabisa.
 
Wenzio wanalia na Hamas kesha rekebisha ujinga wake anataka vita isimame IDF wanagonga chupi huko Rafah na centre % chache imebakia kazi iishe PO zimekuwa nyingi kwa Hamas
Hizi story za kulia tumeanza zisikia toka mwaka jana but aluta continua mpaka leo
 
1973 IDF waliangukia mateka wa Egypt,sasa waache wajichanganye.
Egypt ipo kimya kwasababu ya ukibaraka wa Elsisi,Asa waache wajichanganye Elsisi ageuze kibao.
hiv hii ndo ilikuwa vita ya mwisho kati ya haya mataifa mawili?
 
= kulia


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hahaha wapi aliwambia nchi yao Egypt, Hijaz au Yemen hizo nchi zipo miaka sikuona zaidi ya kuwachukia kutoka Misri kuwapeleka Jerusalam, tena sio hao Waisrael wamchongo wa 1948 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…