FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #21
Shukrani pia kwa kuisoma.
Israel ni Russophone, nadhani ni nchi ya tatu duniani kuwa na wazungumzaji wengi wa lugha ya Kirusia baada ya Russia na Ukraine, Uhusiano wa Russia na Israel ni wakindugu kabisa,Yani Putin kweli ni mpiga dili, kwa waarabu yupo na kwa israel yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
... daily anajimbwambafy kuifuta Israel katika uso wa dunia! Tukio linalofanyika hapo ni kumbukumbu ya 75yrs ya kufutwa kwa wayahudi milioni 6 duniani so mission ya Ayatollah ni sawasawa na kilichofanyika miaka hiyo 75 iliyopita. Isingewezekana awepo mahali hapo kwa sababu lao yeye na Nazi ni moja! Habari njema ni kwamba hatofanikiwa maisha yake yote.
Putin mwenyewe Jew!Yani Putin kweli ni mpiga dili, kwa waarabu yupo na kwa israel yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
... kwani Pence mtu mdogo? Kwanini wasijaribu kwake ili watest vifaa vyao vizuri?
Unajua mchango wa urusi kwenye WWII?Yani Putin kweli ni mpiga dili, kwa waarabu yupo na kwa israel yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
... Afrika haikuhusika moja kwa moja na WW2. By the way, by that time Afrika ilikuwa makoloni ya wababe wa Ulaya so hazikuwa nchi.Sioni wawakilishi kutoka Afrika.
Hongera Sana Mossad Kwakutujuza Siri Za Ndani Za Taasisi[emoji4][emoji3][emoji16][emoji23]
... wahusika wakuu ni waliokuwa wababe wa WW2 hususan Ulaya ilikotokea holocaust. Afrika haihusiki kama ambavyo baadhi ya mataifa mengine nje ya Ulaya hayahusiki hivyo hayakualikwa.Kuna viongozi kutoka Africa walioalikwa?
dodge
... issue ya kikubwa hii mzee sio ngoma ya kitoto! Wanaume wanajadili mustakabali wa dunia; tusubiri kupewa briefing ya kilichojiri.jiwe hajaenda??
Mkuu Putin ana asili ya uyahudi hivyo usishangae kumuona hapo huko kwa waarabu wenzio Ni biashara tuu kwa kuwa waarabu Ni manyumbuYani Putin kweli ni mpiga dili, kwa waarabu yupo na kwa israel yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
... wao wanajiaminisha Putin anaithamini Syria au Iran kuliko anavyoithamini Israel! When it comes to Israel, all world super powers are with Israel hizo nyingine siasa tu miaka isogee wenye akili wapige hela kwa wapumbavu.Mkuu Putin ana asili ya uyahudi hivyo usishangae kumuona hapo huko kwa waarabu wenzio Ni biashara tuu kwa kuwa waarabu Ni manyumbu
Sent using Jamii Forums mobile app