gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Kutegemea Us ndio awape silaha kupigana na vikundi vya wanamgambo, taifa teule limeanza kuishiwa silaha za msaada, na sasa wameaanza kutumia silaha za zama za mawe.
Huyu bila msaada wa US angeshakuwa ameliwa kiboga zamani sana
View: https://www.youtube.com/watch?v=j9MgjZ2sLQM
Huyu bila msaada wa US angeshakuwa ameliwa kiboga zamani sana
View: https://www.youtube.com/watch?v=j9MgjZ2sLQM