Israel wadaiwa kuishiwa silaha za msaada kutoka Marekani

Endelea kuota kama siku moja hilo taifa litakuja kufutika
Tube dalili basi wapi bibilia uharo inasema hilo ni taifa? Usitulete story ya Yakobo ambaye jina lake lingine ni Israel kwamba atalindwa na Mungu hata bibilia zenu zilichapishwa hakuna taifa linaitwa Israel, labda hizo fake mpya mbadilishe muweke nchi haha
 
Wafuasi wa mudi mbakaji wanangamia apo gaza nyie endeleeni kuona israel wanatania
 
Sasa wanasubiri nini kuwafurusha wakimbie kwa miguu? Mimi nadhani badala ya kuandika andika wangetumia muda huu ambao wameishiwa silaha kuwavamia na kuwafurumusha
 
Unatokea pori gani?
Acha kutumia freebasic, weka bando uangalie yanayojiri
Kwa hiyo hautaki ushauri wangu wa kuhakikisha Israel wanafurumushwa na kupakimbia hapo huku pakisambaratishwa na kuwa kama Gaza?
Ni meehu tu anayeweza akaamini hizo story mnazozileta humu ikiwa huyo Iran ambaye ndiye tegemezi la hao Hezbollah anaishia kufanya maigizo huku viongozi wake na mipango yake ikiteketezwa.
Hata HAMAS walikua wanaangaliwa hivyohivyo hadi walipojisahau na kufanya waliyoyafanya matokeo yake sasa hivi Gaza panasubiri kupandwa viazi na Mihogo.
Hezbollah na wanaendelea kujitekenya ila kuna kamstari wamechorewa, wakikavuka hako tu mtarudi hapa na hastags zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…