Israel wasambaratisha msikiti wa kale

Mpaka sasa Mayahudi wameshapoteza askari zaidi ya 90 tangu walipoivamia Gaza! Hii ni mbali na kuharibiwa kwa vile vifaru vyao vilivyoaminika kuwa eti ni bora kabisa kwenye medani za kivita.

Ujanja wao wote kwa sasa upo kwenye kuharibu tu majengo na kuua/kukamata watoto, wanawake na wazee wasio na hatia! Wababe wao Hamas wanawatungua tu kila siku mmoja baada ya mwingine kupitia mashambulizi ya kushtukiza.
 
Bila ya kusahau washatumia silaha zote mpaka zilizopigwa marufuku kasoro nyuklia tuuu
Wametumia cluster bomb wametumia white phosphorus bomb
Ila bado wanaendelea kuteseka magaidi wa kiyahudi
Nahizo takwimu zao zakupika kwenye takwimu halisi washadondoka zaidi ya magaidi mia tatu wa idf
 
Wale wataalamu waliokuwa wanaruka na yale mapikipiki wamekimbilia kwenye mashimo kama panyabuku

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hii siyo vita ni SMO, watu wanapigiwa mpaka simu wakibembelezwa waondoke

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 

Wewe ni zaidi ya zuzu
 
Watapigana wapi?
 
“Msulubishee msulubishee”
“Damu yake iwe juu yetu na watato wetu”

Wana laana hao, kuwashabikia hao wahalifu ni kujitafutia laana
 
Ndani ya kila msikiti duniani, lazima wawemo magaidi wasiopungua 10.
 
Tayari mateka wamejulikana walipo, jana walijaribu kuwaokoa wakapata upinzani mkali sana,idf wawili walijeruhiwa, magaidi wawili waliuwa. Idf inajipanga upya. Ni swala la muda tu.
Uko na mateka 100 huku nje Ndugu zako wanaendelea kufa kwa maelfu. Hii alili nashindwa kuielewa.
 
Kama unajua idadi ya Waisraeli waliokufa basi unajua na idadi ya magaidi yaliyouwawa na Israel. Itaje
 
Sawa mke wa hamas
 
Kama unajua idadi ya Waisraeli waliokufa basi unajua na idadi ya magaidi yaliyouwawa na Israel. Itaje
Wanawake, watoto, na wazee zaidi ya 17,000 wasio na hatia ndiyo wanaouwawa kila siku na hao ndugu zenu Mayahudi. Watoto wa mama Mayahudi hawawezi kupambana uso kwa uso na Al Qassam Brigade na kushinda.

Na ndiyo maana kila siku wanakimbilia kudondosha tu makombora na kuharibu majengo. Kama kweli wanajiamini, wawafuate wababe wao kwenye mahandaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…