Israel ya Wayahudi inatambulika kwenye Quran zaidi ya mara 40, Wayahudi wana haki ya kulinda eneo lao

Israel ya Wayahudi inatambulika kwenye Quran zaidi ya mara 40, Wayahudi wana haki ya kulinda eneo lao

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Hakuna linaloshindikana mbele ya Allah, haijalishi una udogo kiasi gani kukiwa na mkono wa Allah utawashinda wakubwa wanaoungana kukuchangia, Israel ni ka nchi kadogo lakini imeweza kuushangaza ulimwengu mara kadhaa ikiwemo kuzitandika nchi tano kubwa za kiarabu ndani ya siku sita tu, kinachoendelea kwa sasa Israel imewamaliza Rais wa Ira, Kiongozi wa Hamas, Kiongozi wa Hezbollah, Kulipua maadui kwa pager, n.k.

Bani Israel (Makabila 12 yaliyoishi ardhi ya Israel) imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaidi ya Mara 40, hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina.

Allah anakiri kuitambua ardhi waliyoishi Bani Israel na kuwapa baraka zake, hakuna ardhi waliyoiba ama kukaa kimabavu, Hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina ama makoloni yaliyowahi kuikalia ardhi hio kama Ottoman, British Mandate, n.k.

Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kama ilivyokuwa baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, Quran inawaita wayahidi Bani Israel ikiwaambua ni muunganiko wa makabila 12 ya Israel, haijaishia hapo Quran inatambua kwamba Allah aliwapa wayahudi hati ya ardhi ya kuishi.

Wanavyorudi waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Kulikuwa na wayahudi wachache waliobaki, wengi walikuwa waarabu waliohamia vipindi ambavyo ardhi ilikuwa chini ya himaya nyingi za kiarabu.

Wayahudi walikubaliana na hio hali kukuta wageni kwenye ardhi yao lakini waarabu walikuwa wanapinga wayahudi kurudi kwenye ardhi yao iliyotambulika na Allah, kulikuwa na mvutano sana + wayahudi kushambuliwa ikafikia kipindi umoja wa Mataifa ukaleta muswada wa kuunda mataifa mawili ya Palestina kwajili ya waarabu na Israel kwajili ya wayahudi.

Waarabu wa Palestina waliukataa huo muswada, walitaka ardhi yote iwe yao, Ndipo vita ya Israel na Palestina ilipoanzia lakini kwa baraka za Allah, Israel imekuwa ikipokea baraka za ushindi kadri muda unavyozidi kwenda.
 
Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
 
Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Bani Israel ni muunganiko wa makabila 12 ya wayahudi yaliyoishi eneo la Israel,

Mfano mdogo Surah Al-Ma'idah inaonyeshwa wazi Allah kuwapa waisrael hio ardhi
 
IDF spokesman:🥇

The IDF attacked dozens of launchers and buildings where weapons were stored in the Beqaa in Lebanon

Fighter jets of the Air Force attacked dozens of terrorist targets of the Hezbollah terrorist organization in the Beqaa region of Lebanon.
Among the targets that were attacked, dozens of launchers and buildings where weapons of the terrorist organization Hezbollah were stored.

In addition, fighter jets attacked in various areas in southern Lebanon, military buildings used by the terrorist organization Hezbollah for terrorist activities against the State of Israel.

The IDF will continue to attack powerfully, damage and degrade Hezbollah's military capabilities and infrastructure in Lebanon.
 
Israel imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaudi ya Mara 40

hakuna mstari hata moja uliotaja Palestine ambao ni waarabu waliotokea maeneo ya Jordan, Misri, Syria, n.k.

Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kwa kama ambavyo walivyoweza kurudi baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Hata hivyo walikubaliana na hio hali lakini waarabu walikataa ndipo kukawa na muswada wa umoja wa Mataifa kuunda mataifa mawili ya Palestina na Israel, Waarabu wa Palestina bado waliukataa kwa tamaa na ulafi Wa kutaka ardhi yote, Ndipo vita ilipoanzia na Israel imekuwa ikipokea msaada mkubwa sana wa Allah, Muujiza mkubwa ukiwa kuisiaidia Israel kuzitandika nchi tano ndani ya siku sita zilizoungana kuipiga Israel

Israel inapata msaada mkubwa kwa nguvu za Allah mpenda haki,

TAKBIRR !!!
Uzi mzuri mashallah
 
Israel inapata msaada mkubwa kwa nguvu za Allah mpenda haki
Unawapenda sana wayahudi hali iliyopelekea kuwa na:

mahaba

hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine

Unawachukia sana waislamu hali iliyokufanya uwe na :

chuki

1
.tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya

2.maneno ya kugombanisha watu

Bandiko lako limejaa :

kejeli

sema maneno ya dharau; fanyia mzaha

Hali hii imekufanya uonekane wewe ni :

punguani

mtu aliyepungua akili

 
Unawapenda sana wayahudi hali iliyopelekea kuwa na:

mahaba

hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine

Unawachukia sana waislamu hali iliyokufanya uwe na :

chuki

1
.tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya

2.maneno ya kugombanisha watu

Bandiko lako limejaa :

kejeli

sema maneno ya dharau; fanyia mzaha

Hali hii imekufanya uonekane wewe ni :

punguani

mtu aliyepungua akili

Ni suala la historia yenye ushahidi mpaka kwenye kitabu takatifu cha Quran

Wayahudi waachiwe ardhi yao,
 
Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Hao Bani Israel kwao wapi Mkuu kwa wa Quran tukufu?
 
Bani Israel (Makabila 12 yaliyoishi ardhi ya Israel) imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaidi ya Mara 40,

Allah anakiri kuitambua ardhi waliyoishi Bani Israel na kuwapa baraka zake, hakuna ardhi waliyoiba ama kukaa kimabavu.

hakuna mstari hata moja uliotaja taifa la Palestine.

Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kama ilivyokuwa baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, Quran inawaita wayahidi Bani Israel ikiwaambua ni muunganiko wa makabila 12 ya Israel, haijaishia hapo Quran inatambua kwamba Allah aliwapa wayahudi hati ya ardhi ya kuishi.

wanavyorudi waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Kulikuwa na wayahudi wachache waliobaki, wengi walikuwa waarabu waliohamia vipindi ambavyo ardhi ilikuwa chini ya himaya nyingi za kiarabu.

Wayahudi walikubaliana na hio hali lakini waarabu walikuwa wanapinga wayahudi kurudi, kulikuwa na mvutano sana na wayahudi kushambuliwa ikafikia kipindi umoja wa Mataifa ukaleta muswada wa kuunda mataifa mawili ya Palestina kwajili ya waarabu na Israel kwajili ya wayahudi. Waarabu wa Palestina bado waliukataa kwa tamaa na ulafi Wa kutaka ardhi yote, Ndipo vita ilipoanzia na Israel imekuwa ikipokea msaada mkubwa sana wa Allah, Muujiza mkubwa uliowahi kutokea ni Allah kuisiaidia Israel kanchi kadogo kuzitandika nchi tano kubwa za kiarabu ndani ya siku sita tu.


TAKBIRR !!!
Hivi Wakati Israel inaongozwa na Kina Ibrahim na Isaka na Yakobo Allah alikuwepo?
 
Hivi Wakati Israel inaongozwa na Kina Ibrahim na Isaka na Yakobo Allah alikuwepo?
Uzi huu ni wa Quran kuwa na taarifa muhimu za kuujua uwepo wa Israel na watu wake.

Maneno yanapindishwa sana inabidi watu wajue ukweli
 
Wakiitikia nistue maana bado wako busy na mabikira 72 toka juzi nasra Allah anatoa kipondo cha sehemu za siri
Acha ushabiki wa kidini, jali maisha. raia wasio na hatia wanakufa. Yani laana ya muafrica sijui tumetoa wapi, uhai kwetu ni kama biskuti
 
Hahaha!

Ukiisoma Uislam huo huo ushaweka wazi kwa sasa ni fitna mpaka atakapo kuja Imam Mahdi.

Hivyo hakuna ushindi wowote kutoka kwa waislamu kwa sasa.
Imaam Mahdi ndo nani!?
 
Kwa hiyo umetembelea sheikh Google uka copy na ku paste umemaliza unaujua Uislam " Pathetic....
 
Kwa hiyo umetembelea sheikh Google uka copy na ku paste umemaliza unaujua Uislam " Pathetic....
Mbele ya Allah hata Israel iwe ndogo itazidi kutoa kipigo kizito sana kwa hao wanaopinga ardhi yao waliyopewa kwa baraka zote za Allah,

Ukitaka ujue Israel si chochote basi ianze kushambulia maeneo ambayo sio yao bila kusudi lolote la kukomboa ardhi yao, Itafutwa yote ndani ya muda mchache sana.
 
Mbele ya Allah hata Israel iwe ndogo itazidi kutoa kipigo kizito sana kwa hao wanaopinga ardhi yao waliyopewa kwa baraka zote za Allah,

Ukitaka ujue Israel si chochote basi ianze kushambulia maeneo ambayo sio yao bila kusudi lolote la kukomboa ardhi yao, Itafutwa yote ndani ya muda mchache sana.
Basi sawa ..
 
Back
Top Bottom