Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Hapa kinalipwa kisasi Cha October 7 mwaka Jana. Bado kisasi Cha makombora 180 hakijaanza kulipa. Hii ni hatari
Dah! Anatia huruma sana.

Imetosha sasa. Nadhani kama ni somo watakuwa washalipata.

Wao [Hamas] ni non-state actors. Ni wanamgambo tu. Hawana tofauti na sungusungu.

Hawawezi kupambana na jeshi la Israel linalobebwa na Marekani, Uingereza, Ufaransa, na nchi zingine za magharibi.

Waislamu wenzao wa Misri, Saudia, na kwingineko, hawawaungi mkono vile ambavyo Israel inaungwa mkono na nchi za magharibi.

Taswira za vitoto vidogo vilivyolipuliwa na mabomu huko Gaza zinasononesha sana.

Mji wa Gaza umebaki kuwa magofu tu.

Waisraeli takribani 1,300 na ushee waliuliwa hiyo Oktoba 7, 2023.

Mpaka kufikia sasa, zaidi ya Wapalestina 40,000 wamekufa toka hii vita ianze.

Ni mpaka Wapalestina wangapi wafe ili Isael iridhike?

Wengi wa hao marehemu, si ajabu hata hawana uhusiano wowote ule na Hamas.

Enough is enough. This carnage has to end immediately.
 
uzush tu utamjuaj mtu kwa umbal uo then aliku chif kamanda wa juu wa hamas anapokaa lazm ulinz uwe mkubw ht km angeuwaw ila risas zingelia zi

uzush tu utamjuaj mtu kwa umbal uo then aliku chif kamanda wa juu wa hamas anapokaa lazm ulinz uwe mkubw ht km angeuwaw ila risas zingelia sn
Wewe limepigwa mwana ukome huyo mlinzi yeye kidari chake.......sijui pumbu na vifirigisi vyote chali.........ndio uje netanyahu hataki urafiki na gaidi
 
Hahaha kwanini MAJINI hayasaidii viumbe wa Allah wanapopigwa hadi kuuwawa? Niliwahi siki huyu jamaa alikuwa analindwa na majini asiuwawe, yalienda likizo?
Israel mnayoiita taifa teule Mungu wao alikuwa wapi kuwaokoa watu waliotekwa na kuuawa kizembe vile?

Au Mungu wao alikuwa amepitiwa na usingizi kidogo wakati watoto wake wateule wanapigika?

Kama Mungu wao alikuwa amepitiwa na usingizi bado hajaamka hadi leo awaokoe mateka wateule wanaoshikiliwa zaidi ya mwaka kufikia leo?

Ujinga ni mzigo mkubwa mno.
 
Hakika mm nimeshuhudia macho macho uyu ndio Israel mtoa roho w kweli kabisa. Anapeleka moto mpk waishe.
All the best
Mateka wamshaokolewa? Au ndiyo anapiga tu majengo ya raia kuua watoto na wanawake?

Amekata tamaa tena kuokoa mateka wake wanaoshikiliwa na HAMAS kwa zaidi ya mwaka sasa?

Tulidanganywa sana nguvu ya Israel lakini ukweli ni kwamba Israel ni sawa na Rwanda tu inayosifiwa kuwa na jeshi imara kumbe ni nguvu za mabeberu zipo nyuma yao ili kupora mali za Congo.
 
Aliyewashauri hawa jamaa wafanye lile shambulio la October 7 aliwaingiza chaka asee.

Mimi bado naamini kuna njia za amani za kumaliza huu mgogoro baina ya haya mataifa.
Toka kipindi cha Yasser Arafat mwarabu amepuuzwa alipotaka suluhu ya amani.
 
Walichokifanya october 7 inasikitisha sana,walichinja watu na kuwachoma kama mishikaki , wanastahili kipigo haswa kwa walichofanya.
Usisahau alianza Israel Agosti 23 kukanyaga wabedui Khani Younis.
Usisahau Antonio Gutteres alisema ugomvi haujaanzia Oktoba 7.
Ndio maana safari hii viongozi wengi wa Ulaya wameikataa Israel na wanaichukia Israel.
Usidhani hawajui kama Israel ndio mkorofi.
 
Walichokifanya october 7 inasikitisha sana,walichinja watu na kuwachoma kama mishikaki , wanastahili kipigo haswa kwa walichofanya.
Wapalestina wanashikiliwa miaka na miaka huko gerezani acha ushabiki , kulipua hospital , sehemu za wakimbizi sio sahihi hakuna vita ya hivyo ...

Miaka yote wanapigwa ile kulipiza ndio wewe unawaona ni wabaya .
 
Kuna wapalestina wengi ambao ni waisraeli tena wengine ni wanajeshi. Shida ya hawa watu ni kauli mbiu yao kutaka kuangamizwa taifa la Israel. Hebu fikiria hamas leo wakiweka silaha chin kutakuwa na aman je jews wakiweka silaha chin si wamekwisha?
Hizi fikra zako za uongo unazitoaga wapi!?
Nani kakwambia Palestina wazo lao kuifuta Israel!?
Hivi ulifuatilia harakati za Yasser Arafat!?
Alikua akisisitiza shida ya Palestina ni kupata uhuru basi.
Ila kila Palestina ikikaa Israel inataka kutanua ardhi zake.
Israel ni wakorofi ndio maana kihistoria wamenyanyasika na kupigwa kila eneo.
Hapa ndio napata picha kwanini miaka ya 1920 UK ilikataa Israel kuwa na taifa lake.
Unadhani UK alikua ni mpumbavu!?
Ana akili kuliko wewe aliliona hili likija.
 
Hahaha kwanini MAJINI hayasaidii viumbe wa Allah wanapopigwa hadi kuuwawa? Niliwahi siki huyu jamaa alikuwa analindwa na majini asiuwawe, yalienda likizo?
Halafu wanaabudu kwenye msikiti hiyohiyo , wangesaidiana ingependeza
 
Back
Top Bottom