Israel yajitwisha mzingo mwengine wa malengo ya vita. Huu ni mzito zaidi kuliko ya Gaza

Israel yajitwisha mzingo mwengine wa malengo ya vita. Huu ni mzito zaidi kuliko ya Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Watu zaidi ya laki moja waliohamishwa kaskazini ya Israel kwa hofu ya Hizbullah sasa wamekuwa ni ajenda kubwa inayojadiliwa na viongozi wa nchi hiyo.

Kwanza watu hao wamekuwa mzigo kwa uchumi kwani wamewekwa kwenye maeneo kama hoteli kwa malipo ya serikali.Vile vile maeneo yaliyohamwa ni maeneo muhimu ya uchumi na uzalishaji kwa ujumla.

Malalamiko kutoka kwa watu hao yamekuwa ni makubwa sana.Kwa upande mwengine hali hiyo imekuwa ni aibu kubwa kwa viongozi kutengeneza wakimbizi wa ndani

Jambo hilo limeifanya serikali ya Netanyahu kuongeza lengo jengine la vita vyake vya Gaza kuwa ni kuwarudisha wananchi hao maeneo yao.

Ikumbukwe sababu ya kuhamishwa kwao ilikuwa ni kitisho cha kufikiwa na mashambulizi ya Hizbullah.Kitisho hicho badala kupungua kila siku kimekuwa kikiongezeka kwani Israel bado haijafikia muafaka wa kusitisha vita kule Gaza na wala hawajafanikiwa kufikia malengo waliyojiwekea eneo hilo.

Kinachoonekana hapa kwa mfuatiliaji mzuri wa vita hivi ni kwamba baada ya mwaka mmoja wa vita Israel sasa imeanza kuchanganyikiwa na kuona vitisho vilivyo mbele yao vikiongezeka kwa namna tofauti kupelekea kuchukua maamuzi yenye utata.
 
Kwa hiyo hao wananchi wanataka warudi kwenye eneo ambalo halina usalama? Ubabe wa akina Netanyahu umesaidia Israel kusurvive
 
Leo Nyau yuko kwenye shimo kajificha anaogopa Hezbullah wasije leo piga Tela Aviv Huyu kondoo asubiri atajikuta Al Houth wamenchujua kwenye gunia 😄
 
Chanzo cha habari?. . . .

Kijiwe cha kahawa Buza kwa mpalange

Ahaa ok, safi sana piga hao waiziraili
 
Watu zaidi ya laki moja waliohamishwa kaskazini ya Israel kwa hofu ya Hizbullah sasa wamekuwa ni ajenda kubwa inayojadiliwa na viongozi wa nchi hiyo.

Kwanza watu hao wamekuwa mzigo kwa uchumi kwani wamewekwa kwenye maeneo kama hoteli kwa malipo ya serikali.Vile vile maeneo yaliyohamwa ni maeneo muhimu ya uchumi na uzalishaji kwa ujumla.

Malalamiko kutoka kwa watu hao yamekuwa ni makubwa sana.Kwa upande mwengine hali hiyo imekuwa ni aibu kubwa kwa viongozi kutengeneza wakimbizi wa ndani

Jambo hilo limeifanya serikali ya Netanyahu kuongeza lengo jengine la vita vyake vya Gaza kuwa ni kuwarudisha wananchi hao maeneo yao.

Ikumbukwe sababu ya kuhamishwa kwao ilikuwa ni kitisho cha kufikiwa na mashambulizi ya Hizbullah.Kitisho hicho badala kupungua kila siku kimekuwa kikiongezeka kwani Israel bado haijafikia muafaka wa kusitisha vita kule Gaza na wala hawajafanikiwa kufikia malengo waliyojiwekea eneo hilo.

Kinachoonekana hapa kwa mfuatiliaji mzuri wa vita hivi ni kwamba baada ya mwaka mmoja wa vita Israel sasa imeanza kuchanganyikiwa na kuona vitisho vilivyo mbele yao vikiongezeka kwa namna tofauti kupelekea kuchukua maamuzi yenye utata.
Allah si awasaidie tu waislam jamani. Yani kujituma kote kumwabudu kwa nidhamu mpangilio na mashindano kashindwa kabisa kuwakomboa waislam na wapalestina.
160616163030-03-cnnphotos-queer-and-muslim-tease-only.jpg
 
Allah si awasaidie tu waislam jamani. Yani kujituma kote kumwabudu kwa nidhamu mpangilio na mashindano kashindwa kabisa kuwakomboa waislam na wapalestina.View attachment 3099289
Usiwe na papara na mipango ya Allah.
Siku moja ya akhera tunakoelekea kwa vipimo vya duniani ni miaka 50,000,
Kuna watu walifanya uovu kwa zaidi ya muda iliyochukua vita vya Gaza na hatimae wakadondokea pua zao.
 
Kwa mujibu wa maelezo yenu ..baba alimuacha mwanae apigwe misumari ya nchi 15 alafu Roman made hio yaani misumari ilikua chuma cha pua ,..
Hao jamaa wanajichanganya sana wanapojadili masuala ya kiimani.
Kabla kumjadili Allah wangekuwa wameona udhaifu wa hoja yao wanapoamini kuwa Yesu alipigwa misumari na kulia mslabani.
Huko ni kujitwisha mzigo wa kiimani usiouweza kuutua
 
Woga gani wakati mmepigwa shambulizi la kiteknolojia au mlitaka vita vya majambia
Lile shambulio la octoba 7 pia lilitajwa kuwa ni shambulio la woga.
Na hata Houth wanapozidondosha droni za mq r 9 pia inatajwa kuwa ni shambulio la woga.
Hebu tupe ulinganisho wako hapo
 
Watu zaidi ya laki moja waliohamishwa kaskazini ya Israel kwa hofu ya Hizbullah sasa wamekuwa ni ajenda kubwa inayojadiliwa na viongozi wa nchi hiyo.

Kwanza watu hao wamekuwa mzigo kwa uchumi kwani wamewekwa kwenye maeneo kama hoteli kwa malipo ya serikali.Vile vile maeneo yaliyohamwa ni maeneo muhimu ya uchumi na uzalishaji kwa ujumla.

Malalamiko kutoka kwa watu hao yamekuwa ni makubwa sana.Kwa upande mwengine hali hiyo imekuwa ni aibu kubwa kwa viongozi kutengeneza wakimbizi wa ndani

Jambo hilo limeifanya serikali ya Netanyahu kuongeza lengo jengine la vita vyake vya Gaza kuwa ni kuwarudisha wananchi hao maeneo yao.

Ikumbukwe sababu ya kuhamishwa kwao ilikuwa ni kitisho cha kufikiwa na mashambulizi ya Hizbullah.Kitisho hicho badala kupungua kila siku kimekuwa kikiongezeka kwani Israel bado haijafikia muafaka wa kusitisha vita kule Gaza na wala hawajafanikiwa kufikia malengo waliyojiwekea eneo hilo.

Kinachoonekana hapa kwa mfuatiliaji mzuri wa vita hivi ni kwamba baada ya mwaka mmoja wa vita Israel sasa imeanza kuchanganyikiwa na kuona vitisho vilivyo mbele yao vikiongezeka kwa namna tofauti kupelekea kuchukua maamuzi yenye utata.
kwa kukusaidia tu, ni asilimia ndogo sana ya waisrael wana uraia wa nchi moja, ukiona wanakimbia nchi jua wanaenda kuishi kwenye nyumba zao huko nchi za nje. hao waliohamishiwa kusini, wote wana ndugu nchi za nje, pia, kuna funding kubwa sana dunia nzima kwa mashirika ya kiyahudi, ndio yanachanga pesa kujenga majengo mapya hayo kila siku, hawawezi kushindwa kulisha hao waliohamishwa kusini. pia, ukiona hili linawekwa wazi, jua wakati mwingine ni mbinu tu ya kuwafanya wachangaji kuchangishana kwa ajili ya matunzo na uchumi. wayahudi walishaapa kwamba mateso waliyoyapata enzi zile za holocost hayatakiwi kujirudia tena, watasaidiana kwa namna yeyote waishi. unayepata shida ni wewe na wengine wanaotamani wapate mabaya, ila wanaona hayawafikii. wao wana maisha mazuri, tenaya ulimwengu wa kwanza.
 
kwa kukusaidia tu, ni asilimia ndogo sana ya waisrael wana uraia wa nchi moja, ukiona wanakimbia nchi jua wanaenda kuishi kwenye nyumba zao huko nchi za nje. hao waliohamishiwa kusini, wote wana ndugu nchi za nje, pia, kuna funding kubwa sana dunia nzima kwa mashirika ya kiyahudi, ndio yanachanga pesa kujenga majengo mapya hayo kila siku, hawawezi kushindwa kulisha hao waliohamishwa kusini. pia, ukiona hili linawekwa wazi, jua wakati mwingine ni mbinu tu ya kuwafanya wachangaji kuchangishana kwa ajili ya matunzo na uchumi. wayahudi walishaapa kwamba mateso waliyoyapata enzi zile za holocost hayatakiwi kujirudia tena, watasaidiana kwa namna yeyote waishi. unayepata shida ni wewe na wengine wanaotamani wapate mabaya, ila wanaona hayawafikii. wao wana maisha mazuri, tenaya ulimwengu wa kwanza.
Wale waliohamishwa kwenye mashamba yao na kuvunjiwa majumba yao na kuuliwa ndugu zao wameapa kwamba hawatakubali kuhamishwa huko kuwe ni kitu cha kudumu.
Unapozungumza mateso waliyoyapata mayahudi wala Hamas na wapalestina hawajahusika na ni historia ya mbali sana.
Unapotaja mateso ya wapalestina ni kitu kiko wazi na kila siku kinatokea na anayefanya hivyo yupo jirani au miongoni mwao.Sasa ubaya uko wapi kwa kiapo cha Hamas na wapalestina na wanaowasaidia kutoka Yemen na Lebanon.
 
Wale waliohamishwa kwenye mashamba yao na kuvunjiwa majumba yao na kuuliwa ndugu zao wameapa kwamba hawatakubali kuhamishwa huko kuwe ni kitu cha kudumu.
Unapozungumza mateso waliyoyapata mayahudi wala Hamas na wapalestina hawajahusika na ni historia ya mbali sana.
Unapotaja mateso ya wapalestina ni kitu kiko wazi na kila siku kinatokea na anayefanya hivyo yupo jirani au miongoni mwao.Sasa ubaya uko wapi kwa kiapo cha Hamas na wapalestina na wanaowasaidia kutoka Yemen na Lebanon.
mateso ya wayahudi ni ya zamani, hawakutendewana waarabu hao, ni wazungu walifanya, na wayahudi waliapa hakuna mwanadamu mwingine atakayewaletea mataso kama yale tena wakakubali,ndio maana wanapigana. ndicho nilichokuwa nasema.

kuhusu gaza, kila israel anapopiga, amekuwa na greda linasembua panakuwa peupe kwa ajili ya kuunda mji mpya wa kiyahudi. ni kitu kibaya kibinadamu lakini hamas wameyataka wenyewe.
 
mateso ya wayahudi ni ya zamani, hawakutendewana waarabu hao, ni wazungu walifanya, na wayahudi waliapa hakuna mwanadamu mwingine atakayewaletea mataso kama yale tena wakakubali,ndio maana wanapigana. ndicho nilichokuwa nasema.

kuhusu gaza, kila israel anapopiga, amekuwa na greda linasembua panakuwa peupe kwa ajili ya kuunda mji mpya wa kiyahudi. ni kitu kibaya kibinadamu lakini hamas wameyataka wenyewe.
Unaposema wameyatak kwa kweli unakosa heshima na mateso ya wenzako na kujaribu kutetea makosa ya watu waovu.
Hicho ndicho ambacho kitaleta vita vya tatu vya dunia.Kwamba Marekani na wenzake kumiliki nyuklia ni sawa lakini kwa wengine ni kosa.Na kwamba Israel kuuwa wapalestina ambao hawajahusika na mateso yao ni sawa lakini wapalestina kujitetea ni kosa.
Kibinadamu sera hiyo haitaleta faida kwani wanyonge daima watatafuta njia ya kujitetea,Dawa ni kuheshimiana tu na kuacha dhulama na kumuogopa Mungu.
 
Back
Top Bottom