Israel yakata usambazaji umeme kwenye maeneo yote ya gaza, lengo kuwalazimisha magaidi wa Hamas kuachia huru mateka 59 inaowashikilia hadi sasa

Israel yakata usambazaji umeme kwenye maeneo yote ya gaza, lengo kuwalazimisha magaidi wa Hamas kuachia huru mateka 59 inaowashikilia hadi sasa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Waziri wa Nishati, Eli Cohen, ameagiza Shirika la Umeme la Israel (IEC) kusitisha mara moja usambazaji wa umeme kwa Ukanda wa Gaza, katika kile kinachoonekana kuwa ni juhudi za kuongeza shinikizo kwa eneo hilo, ambapo mateka 59 waliotekwa kutoka Israel bado wanashikiliwa.

"Tutatumia kila zana tuliyonayo ili kuhakikisha mateka wote wanarudi, na tutahakikisha kwamba Hamas haitakuwepo Gaza ‘siku ya baadae’,” amesema Cohen katika taarifa ya video.

Ofisi ya Cohen imesambaza barua iliyotumwa kwa IEC ikiliagiza kusitisha uuzaji wa umeme kwa vituo vya kuzalisha umeme vya Gaza.
====================
Mungu ibariki Israel

Energy Minister Eli Cohen has instructed the Israel Electric Corporation to immediately cut off the supply of electricity to the Gaza Strip, in an apparent bid to pile pressure on the enclave where 59 hostages kidnapped from Israel are still held.

“We will employ all the tools available to us so that all the hostages will return, and we will ensure that Hamas won’t be in Gaza on the ‘day after,'” says Cohen in a video statement.

Cohen’s office circulates a letter sent to the IEC ordering it to stop selling electricity to Gaza power stations.

The move comes after Israel announced it was halting the entry of goods into Gaza over what it called Hamas’s refusal to accept a proposal to extend the initial stage of the ceasefire and hostage release deal, and threatened “additional consequences” and a return to war.

Prime Minister Benjamin Netanyahu said last week that he was prepared to raise the pressure and would not rule out cutting off all electricity to Gaza if Hamas didn’t budge on its demands in talks to free the hostages and end the war.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Waziri wa Nishati, Eli Cohen, ameagiza Shirika la Umeme la Israel (IEC) kusitisha mara moja usambazaji wa umeme kwa Ukanda wa Gaza, katika kile kinachoonekana kuwa ni juhudi za kuongeza shinikizo kwa eneo hilo, ambapo mateka 59 waliotekwa kutoka Israel bado wanashikiliwa.

"Tutatumia kila zana tuliyonayo ili kuhakikisha mateka wote wanarudi, na tutahakikisha kwamba Hamas haitakuwepo Gaza ‘siku ya baadae’,” amesema Cohen katika taarifa ya video.

Ofisi ya Cohen imesambaza barua iliyotumwa kwa IEC ikiliagiza kusitisha uuzaji wa umeme kwa vituo vya kuzalisha umeme vya Gaza.
====================
Mungu ibariki Israel

Energy Minister Eli Cohen has instructed the Israel Electric Corporation to immediately cut off the supply of electricity to the Gaza Strip, in an apparent bid to pile pressure on the enclave where 59 hostages kidnapped from Israel are still held.

“We will employ all the tools available to us so that all the hostages will return, and we will ensure that Hamas won’t be in Gaza on the ‘day after,'” says Cohen in a video statement.

Cohen’s office circulates a letter sent to the IEC ordering it to stop selling electricity to Gaza power stations.

The move comes after Israel announced it was halting the entry of goods into Gaza over what it called Hamas’s refusal to accept a proposal to extend the initial stage of the ceasefire and hostage release deal, and threatened “additional consequences” and a return to war.

Prime Minister Benjamin Netanyahu said last week that he was prepared to raise the pressure and would not rule out cutting off all electricity to Gaza if Hamas didn’t budge on its demands in talks to free the hostages and end the war.
Mungu ibariki Israel,Mungu waangamize viongozi washezi wa Israel.
 
Ila Wayahudi bhana! Wamepeleka jeshi wameshindwa sasa wamehamia kwenye umeme
 
Wadau hamjamboni nyote?

Waziri wa Nishati, Eli Cohen, ameagiza Shirika la Umeme la Israel (IEC) kusitisha mara moja usambazaji wa umeme kwa Ukanda wa Gaza, katika kile kinachoonekana kuwa ni juhudi za kuongeza shinikizo kwa eneo hilo, ambapo mateka 59 waliotekwa kutoka Israel bado wanashikiliwa.

"Tutatumia kila zana tuliyonayo ili kuhakikisha mateka wote wanarudi, na tutahakikisha kwamba Hamas haitakuwepo Gaza ‘siku ya baadae’,” amesema Cohen katika taarifa ya video.

Ofisi ya Cohen imesambaza barua iliyotumwa kwa IEC ikiliagiza kusitisha uuzaji wa umeme kwa vituo vya kuzalisha umeme vya Gaza.
====================
Mungu ibariki Israel

Energy Minister Eli Cohen has instructed the Israel Electric Corporation to immediately cut off the supply of electricity to the Gaza Strip, in an apparent bid to pile pressure on the enclave where 59 hostages kidnapped from Israel are still held.

“We will employ all the tools available to us so that all the hostages will return, and we will ensure that Hamas won’t be in Gaza on the ‘day after,'” says Cohen in a video statement.

Cohen’s office circulates a letter sent to the IEC ordering it to stop selling electricity to Gaza power stations.

The move comes after Israel announced it was halting the entry of goods into Gaza over what it called Hamas’s refusal to accept a proposal to extend the initial stage of the ceasefire and hostage release deal, and threatened “additional consequences” and a return to war.

Prime Minister Benjamin Netanyahu said last week that he was prepared to raise the pressure and would not rule out cutting off all electricity to Gaza if Hamas didn’t budge on its demands in talks to free the hostages and end the war.
Naipenda Israel lakini kuwakatia Umeme na maji wapalestina siyo sawa kabisa. Wasidhani wanawakomoa Hamas bali watoto, wanawake na wazee.

Hii Vita iishe mara moja.

N de A
 
Asante kwa kutujuza lkn Wakilejesha pia iwe habari sio wakikata tu apo mwanzo tuliambiwa kila kitu kimekatwa kwenda GAzA !!!!!

Sasa tunasikia tena Gaza imekatiwa Umeme!!!!!!
 
Wasidhani wanawakomoa Hamas bali watoto, wanawake na wazee
Huwa nashangaa sana mnapowageuza watoto, wanawake na wazee vichaka vya kufichia uhuni. Kwani hao watoto, wanawake na wazee sio wanachama wa Hamas? Kama ndio, nani alichagua Hamas huko Gaza?
 
Huwa nashangaa sana mnapowageuza watoto, wanawake na wazee vichaka vya kufichia uhuni. Kwani hao watoto, wanawake na wazee sio wanachama wa Hamas? Kama ndio, nani alichagua Hamas huko Gaza?
Grok just answer this..

Grok: loading.....
 
Naipenda Israel lakini kuwakatia Umeme na maji wapalestina siyo sawa kabisa. Wasidhani wanawakomoa Hamas bali watoto, wanawake na wazee.

Hii Vita iishe mara moja.

N de A
Kumbe siku hizi umeanza kuwa binadamu , umepunguza bange ?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Waziri wa Nishati, Eli Cohen, ameagiza Shirika la Umeme la Israel (IEC) kusitisha mara moja usambazaji wa umeme kwa Ukanda wa Gaza, katika kile kinachoonekana kuwa ni juhudi za kuongeza shinikizo kwa eneo hilo, ambapo mateka 59 waliotekwa kutoka Israel bado wanashikiliwa.

"Tutatumia kila zana tuliyonayo ili kuhakikisha mateka wote wanarudi, na tutahakikisha kwamba Hamas haitakuwepo Gaza ‘siku ya baadae’,” amesema Cohen katika taarifa ya video.

Ofisi ya Cohen imesambaza barua iliyotumwa kwa IEC ikiliagiza kusitisha uuzaji wa umeme kwa vituo vya kuzalisha umeme vya Gaza.
====================
Mungu ibariki Israel

Energy Minister Eli Cohen has instructed the Israel Electric Corporation to immediately cut off the supply of electricity to the Gaza Strip, in an apparent bid to pile pressure on the enclave where 59 hostages kidnapped from Israel are still held.

“We will employ all the tools available to us so that all the hostages will return, and we will ensure that Hamas won’t be in Gaza on the ‘day after,'” says Cohen in a video statement.

Cohen’s office circulates a letter sent to the IEC ordering it to stop selling electricity to Gaza power stations.

The move comes after Israel announced it was halting the entry of goods into Gaza over what it called Hamas’s refusal to accept a proposal to extend the initial stage of the ceasefire and hostage release deal, and threatened “additional consequences” and a return to war.

Prime Minister Benjamin Netanyahu said last week that he was prepared to raise the pressure and would not rule out cutting off all electricity to Gaza if Hamas didn’t budge on its demands in talks to free the hostages and end the war.
Huko ni kutapatapa kwa Israel kwani vituo vya umeme Gaza vilisitisha kazi tangu mwaka jana na watu wanaiishi hivyo hivyo kwa nguvu za jua.
 
Trump sinalisema Hamasi watakipa wanachokitafuta??

Hamasi shikilieni hapo hapo no reform no mateka realize. Hamna Cha kupoteza zaidi.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Waziri wa Nishati, Eli Cohen, ameagiza Shirika la Umeme la Israel (IEC) kusitisha mara moja usambazaji wa umeme kwa Ukanda wa Gaza, katika kile kinachoonekana kuwa ni juhudi za kuongeza shinikizo kwa eneo hilo, ambapo mateka 59 waliotekwa kutoka Israel bado wanashikiliwa.

"Tutatumia kila zana tuliyonayo ili kuhakikisha mateka wote wanarudi, na tutahakikisha kwamba Hamas haitakuwepo Gaza ‘siku ya baadae’,” amesema Cohen katika taarifa ya video.

Ofisi ya Cohen imesambaza barua iliyotumwa kwa IEC ikiliagiza kusitisha uuzaji wa umeme kwa vituo vya kuzalisha umeme vya Gaza.
====================
Mungu ibariki Israel

Energy Minister Eli Cohen has instructed the Israel Electric Corporation to immediately cut off the supply of electricity to the Gaza Strip, in an apparent bid to pile pressure on the enclave where 59 hostages kidnapped from Israel are still held.

“We will employ all the tools available to us so that all the hostages will return, and we will ensure that Hamas won’t be in Gaza on the ‘day after,'” says Cohen in a video statement.

Cohen’s office circulates a letter sent to the IEC ordering it to stop selling electricity to Gaza power stations.

The move comes after Israel announced it was halting the entry of goods into Gaza over what it called Hamas’s refusal to accept a proposal to extend the initial stage of the ceasefire and hostage release deal, and threatened “additional consequences” and a return to war.

Prime Minister Benjamin Netanyahu said last week that he was prepared to raise the pressure and would not rule out cutting off all electricity to Gaza if Hamas didn’t budge on its demands in talks to free the hostages and end the war.
Ohoooo.
 
Back
Top Bottom