Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua hivyo vilikuwa tayari kufyatuliwa dhidi ya Israel. Haijajulikana mara moja kama kuna wahanga wowote.

Shirika la Habari la Taifa la Lebanon limesema Israel imefanya angalau mashambulizi 52 kusini mwa nchi hiyo Alhamisi jioni.

Wakati huo huo, Hezbollah imesema pia imefanya mashambulizi kwenye maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel.

Mashambulizi hayo ya anga ya Israel, ambayo yalidumu kwa zaidi ya saa mbili, yalikuwa miongoni mwa mashambulizi makali zaidi kutokea hivi karibuni.

=================================

Israel has carried out extensive air strikes on southern Lebanon, saying its warplanes have hit more than 100 Hezbollah rocket launchers and other "terrorist sites" including a weapons storage facility.

The Israel Defense Forces (IDF) said the launchers were ready to be fired against Israel. It was not immediately clear if there were any casualties.

Lebanon's state-run National News Agency said Israel carried out at least 52 strikes in the south of the country on Thursday evening. Hezbollah, meanwhile, said it had also launched strikes on military sites in northern Israel.

The Israeli air strikes, which lasted more than two hours, were some of the most intense of the recent conflict.

On Friday morning, Israel lifted orders restricting movement that it had issued on Thursday for communities in the Golan Heights and parts of northern Israel, its military confirmed.

The IDF added it would be carrying out "activities in the training areas" of northern Israel over the weekend and that "gunshots and explosions" might be heard in nearby settlements.

Source: BBC News
 
Wadau hamjamboni nyote?

Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua hivyo vilikuwa tayari kufyatuliwa dhidi ya Israel. Haijajulikana mara moja kama kuna wahanga wowote.

Shirika la Habari la Taifa la Lebanon limesema Israel imefanya angalau mashambulizi 52 kusini mwa nchi hiyo Alhamisi jioni.

Wakati huo huo, Hezbollah imesema pia imefanya mashambulizi kwenye maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel.

Mashambulizi hayo ya anga ya Israel, ambayo yalidumu kwa zaidi ya saa mbili, yalikuwa miongoni mwa mashambulizi makali zaidi kutokea hivi karibuni.

=================================

Israel has carried out extensive air strikes on southern Lebanon, saying its warplanes have hit more than 100 Hezbollah rocket launchers and other "terrorist sites" including a weapons storage facility.

The Israel Defense Forces (IDF) said the launchers were ready to be fired against Israel. It was not immediately clear if there were any casualties.

Lebanon's state-run National News Agency said Israel carried out at least 52 strikes in the south of the country on Thursday evening. Hezbollah, meanwhile, said it had also launched strikes on military sites in northern Israel.

The Israeli air strikes, which lasted more than two hours, were some of the most intense of the recent conflict.

On Friday morning, Israel lifted orders restricting movement that it had issued on Thursday for communities in the Golan Heights and parts of northern Israel, its military confirmed.

The IDF added it would be carrying out "activities in the training areas" of northern Israel over the weekend and that "gunshots and explosions" might be heard in nearby settlements.

Source: BBC News
Hayaaa ndio Mambo sasa ,mengine ya huko Bongo land i have no ideas
 
Japo ni ndefu nimeisoma kwa points. Hapa naona Israel anataka vita na sio operations. Hezbollah walishamshinda kitambo, hamars bado hajawapunguza. Nia ni iran aingie ili Marekani nae aingie vitani. Hakuna jingine
Kabisa. Hapo marekan alisha peleka mavifaa yake anakodoa tu kenge ajae aisee atachakazwa maana kazunguka muda sana
 
Muda si mrefu Hezbollah wataenda store kuchukua mzigo wa Pagers uliobaki na kuanzaa kusambaza kinguvu kwa akina mama na watoto ili zikiripuka na na wao wafe waanze kusema Israel inaua akina mama na watoto kupitia pagers
 
Japo ni ndefu nimeisoma kwa points. Hapa naona Israel anataka vita na sio operations. Hezbollah walishamshinda kitambo, hamars bado hajawapunguza. Nia ni iran aingie ili Marekani nae aingie vitani. Hakuna jingine
Israel sio kwamba anashindwa kumtandika Hizbullah hapana Bali Kuna juhudi za kidiplomasia zilikuwa zinafanywa hasa na Marekan kuzuia jambo hilo lisitokee na inavyoonekana hizo juhudi zimefeli kutokana na kibri Cha Hassan Nasrailla sasa Israel anaona hakuna namna nyingine zaidi ya kumtembezea mtu moto.

Kinachonisikitisha Mimi Israel anapiga popote anapojisikia iwe Lebanon,Syria,Gaza,West Bank mpaka Iran kwenyewe kwa Hami Yao na madhara ni makubwa ila wao wanaishia kujibu kwa kurusha fashi fashi ambazo madhara yake sio makubwa kuliko wanayopata wao.
 
Israel sio kwamba anashindwa kumtandika Hizbullah hapana Bali Kuna juhudi za kidiplomasia zilikuwa zinafanywa hasa na Marekan kuzuia jambo hilo lisitokee na inavyoonekana hizo juhudi zimefeli kutokana na kibri Cha Hassan Nasrailla sasa Israel anaona hakuna namna nyingine zaidi ya kumtembezea mtu moto.

Kinachonisikitisha Mimi Israel anapiga popote anapojisikia iwe Lebanon,Syria,Gaza,West Bank mpaka Iran kwenyewe kwa Hami Yao ila wao wanaishia kujibu kwa kurusha fashi fashi ambazo madhara yake sio makubwa kuliko wanayopata wao.
Leo kuna mtu anaenda kutafuna bikra zake 72 kwa allah

View: https://x.com/Osint613/status/1837146538729939424?t=95MQ93rOAYke9rXKVfWEXA&s=19
 
Back
Top Bottom