Waziri Mkuu Bibi, katika kauli thabiti na pasipokupepesa macho ametoka hadharani kulaani kile alichokiita makosa makubwa ya Muendesha Mashtaka wa ICC.
Netanyahu anasema Israel itajilinda na Israel hii ya leo si ile ya enzi za Manazi wa Ujerumani.
My take: Je, Muendesha Mashtaka wa ICC amechoka kula ugali?
Netanyahu anasema Israel itajilinda na Israel hii ya leo si ile ya enzi za Manazi wa Ujerumani.
My take: Je, Muendesha Mashtaka wa ICC amechoka kula ugali?