Taifa la Mungu linapigania ku-survive? huyo atakuwa Mungu wa Gubiro.Unaacha kumtangazia fatwa Putin anayeua ovyo Ukraine unatangaza arrest warrant ya masihi wa taifa la Mungu linalopigania ku-survive! Akili matope?
Mungu yupi unayemzungumzia hapa? yule waliyemkataa na kumuua?Unaacha kumtangazia fatwa Putin anayeua ovyo Ukraine unatangaza arrest warrant ya masihi wa taifa la Mungu linalopigania ku-survive! Akili matope?