Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Tena mengine jamani mbona hawa wapumbavu wanataka kutuchukulia kama maboya ivi
Nimecheka Sana Tena amepatikana mwingine aliyechanyikana na Mafua😀😀😀😀Mwanamke mjamzito nchini Israel ambaye hakupata chanjo ya corona amegundulika kuwa na mchanganyo wa mafua(flu) na corona ambayo yanaitwa 'Flurona'
Mchanganyo wa magonjwa hayo umetajwa kuwa hatari zaidi kwa kuwa maradhi yote yana athari katika mfumo wa upumuaji
Mkuu wa Kitengo cha Matibabu kwa wanawake Prof. Arnon Vizhnister kwa sasa wanakutana na wanawake wengi wajawazito wenye dalili za mafua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na Gorona nayo ipo ni Gonorrhoea na corona, hiyo ni hatari zaidi
Delta ....omicron...fluronaWanatutilia kelele tu mbwa hawa,hata ije COLONEL
Sichanji ng'o!
Wameunganisha Flu and Corona. Flurona [emoji3]Flurona ni kirusi kipya tena?
Na ugonjwa wa mafua ya ndege umetamalaki huko IsraelMwanamke mjamzito nchini Israel ambaye hakupata chanjo ya corona amegundulika kuwa na mchanganyo wa mafua(flu) na corona ambayo yanaitwa 'Flurona'
Mchanganyo wa magonjwa hayo umetajwa kuwa hatari zaidi kwa kuwa maradhi yote yana athari katika mfumo wa upumuaji
Mkuu wa Kitengo cha Matibabu kwa wanawake Prof. Arnon Vizhnister kwa sasa wanakutana na wanawake wengi wajawazito wenye dalili za mafua