Israel yawashushia Kitu kizito Houthi wa Yemen

Wayemen ni km WaTaliban! Ni watu ambao maisha au anasa za dunia kwao sio kitu! Hawa Houth walipambana na serikali ya Yemeni wakisaidiwa na Nchi za Kiarabu km Saudia,UAE,Baharain, Egypt uku msaada wa Kiingelegensia ukitoka US na US wakiweka Patriot air defence system Saudia na UAE uku wahouth wakisaidiwa na Iran kwa muda karibia miaka 2 uki naval blockade ikiwekwa na US/KSa ili Iran lakin bado wahouth waliyachukua maeneo mengi ya Yemen! Leo Wahouth wamekua ni formidable force in meddle east hadi kuweka zuio la meli za biashara za Israel na kupelekea bandari ya Eliat ya Israel kuparalyse kwa meli zinazoingia hadi kupelekea kupunguza 50% ya wafanyakazi na operation... Kinachoendelea sasa kwa Houth/Israel wote ni wabishi
 
M
Kwa kiegezo gani unawaita wa Haouthi magaidi?
Siasa za Mashariki ya kati sio sawa na ugomvi wa Kibosho na Machame , punguza mbege ya msesewe.
Magaaidi tu hao ndo wakome kuingilia ugomvi usio wagusu....
 
Vilio kama hivi vilitarajiwa. Kama wanajua kua raia watauliwa wangekaa kimya wasingerusha viroketi vyao
Kwahiyo maharamia waendelee kukaa kimabavu ardhi ya watu!

Ni vile sio muislamu wewe, so huwezi kuwa upande wao
 
Hodeida is burning!
Yahudi Si mchezo mchezo!
Yemen itageuka kifusi!😇😭😭😭
👇👇
Middle East crisis live: Yemen’s Houthis pledge ‘huge’ response to Israel’s strike on port city Middle East crisis live: Yemen’s Houthis will not abide by any rules of engagement in continued attacks on Israel, group says
 
"Israel says it intercepted missile fired by Houthis at port city of Eilat | Israel | The Guardian" Israel says it intercepted missile fired by Houthis at port city of Eilat
Houthi wanasema wamefikia shabaha zao mashambulio ya Leo alfajiri, Israel wanadai arrows zimeyatungua makombora ya houthi nje ya anga ya Israel na kwamba ving'ora huko Eilat Israel vilikua vya tahadhari tu,raia Eilat wanasema walisikia milipuko alfajiri, Israel wazee wa propaganda,ndani moyoni wanajua kwamba majirani zao wamepanda kiuwezo wa kijeshi,na kwamba ngoma inogile, houthi hawana shughuli ya maana duniani zaidi ya vurugu Kama hizi,hapa wamefurahia kweli,na hili haliishi leo
 
Wamepiga matanki ya mafuta bandarini,Kama hapa dar upige matank pale bandarini,na zimetumika kambi za marekani na UK mashariki ya kati kupiga yemen
Hayo ni maeneo muhimu kwa hao magaidi, uelewe
 
Hao jamaa wamekitafuta sana hicho kiama kutoka kwa Myahudi, hiyo ni trela tu, mziki bado

Tuliwaambia humu hao wahouth wa kwa mpalange na kijichi huko wakasema,,, ooh sijiu aallah atawafuta mayahudi wakipiga Yemen

Sasa hapo vipi
Quote: "Sasa hapo vipi"
Hapo pouwa.
Wale Jamaa waliosema eti Pongezi ziende kwa Russia na Iran... sijawasikia tena. Manake waliambiwa Vilio, simanzi na huzuni pia viende kwa Russia na Iran na hawakuelewa maana yake.
 
Takbi
Takbirrr ✊walahi hatukubali 👊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…